Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,785
- Thread starter
- #61
Nikiwa na habari za Ki-Intelejensia na za uhakika kuwa Vijitoto vya Mafisadi vimeambiwa kuwa vielekeze nguvu zao kwenye mitandao ili kukisafisha chama chao na huku Mifisadi mikubwa ikitumia Magazeti na TV's Kujisafisha wakati hawasafishiki. Kwa hiyo Wana-JF mvumilie kipindi hichi cha Mafisadi wadogo wakiwatetea baba zao kwenye mitandao, na baba zao wakiwa upande wa pili wa TV's. Zipuuzeni wana-JF hizo post zao wanatafuta cha kuanzaia nacho. Nawasilisha
See how you have proved my hypothesis! mnaboa hakuna hoja ya wanachadema humu ya kulijenga taifa ni blah blah tu