Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,597
- 5,788
Nilijiuliza sana, kwanini siku hizi wanafunzi wanahitimu kidato cha nne lakini hawawezi hata kujitambulisha kwa kingereza. Japo hata kwa kutumia simple vocaubulary.
Nilifanya utafiti, nikagundua kuwa tatizo ni waalimu. Somo la kingereza linafundishwa kwa kiswahili. Je hapa mtoto atakuelewa kweli?
Lazma waalimu wabadilike.
Nilifanya utafiti, nikagundua kuwa tatizo ni waalimu. Somo la kingereza linafundishwa kwa kiswahili. Je hapa mtoto atakuelewa kweli?
Lazma waalimu wabadilike.