Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
<br />
<br />
Mke una kafundwa akafundika,eti umuache.au una smallhouse nini?
Huwa siyo hivyo tu wakati akisha chemsha na ugomvi kutokea mkubwa ukianza kumwambia sikutaki tena yeye kuliko aondoke kuna wakati unamkuta sebuleni anaendelea kupasi nguo zako na baada ya hapo anakutengenezea chai ingawaje inakuwaga vigumu kunywa kutokana na hasira.
<br />Huwa siyo hivyo tu wakati akisha chemsha na ugomvi kutokea mkubwa ukianza kumwambia sikutaki tena yeye kuliko aondoke kuna wakati unamkuta sebuleni anaendelea kupasi nguo zako na baada ya hapo anakutengenezea chai ingawaje inakuwaga vigumu kunywa kutokana na hasira.
you sound like control freak,na hii ndoa umeichoka unamtafutia reasons tu mwenzio za kujustfy kuchoka kwako....wanaume sijui mkoje mnataka kwenda kutafuta nyumba ndogo nendeni sio mnaanza kumtafuta mchawi kwa kutafuta vikosa vidogo vidogo na kuanza kuvikuza,mkeo hana tatizo wewe ndio una tatizo kama ukimfukuza haondoki,ondoka wewe,wewe si ndio umeichoka ndoa? kwa nini yeye aondoke?
Si ndo na mimi nazidi kuona jinsi mkewe alivyo a blessing. Yani ugombane na wife afu akakupikie chai??? Wenzano wananuniwa mwezi na unyumba hawapewi.
We nomally take what we have for granted (untill its gone.)
you sound like control freak,na hii ndoa umeichoka unamtafutia reasons tu mwenzio za kujustfy kuchoka kwako....wanaume sijui mkoje mnataka kwenda kutafuta nyumba ndogo nendeni sio mnaanza kumtafuta mchawi kwa kutafuta vikosa vidogo vidogo na kuanza kuvikuza,mkeo hana tatizo wewe ndio una tatizo kama ukimfukuza haondoki,ondoka wewe,wewe si ndio umeichoka ndoa? kwa nini yeye aondoke?
<br />Mimi ni mwadilifu itakuwa hatari kila mwana nke kunichungulia navuta subira kwanza bana!!!!!!!
Mkuu NK, Mke hapa si tatizo kabisa, mwenye matatizo ni huyu jamaa ambaye hajui kama amebahatika kuwa na mke mwenye tabia nzuri sana. Kweli waswahili hawakukosea waliposema kwenye miti hakuna wajenzi.
<br />TGNP mko very biased kwani siku zote mnawaona wanawake ni malaika na siku zote tunawaonea. Nitake radhi kuniambia niondoke kwenye nyumba yangu niliyojenga; kumbuka mimi niklikuwepo yeye ndo aliyekuja. Iweje nimwachie aliyekaribishwa nyumba; Nikithubutu tu kufanya hivyo itabidi ndugu zangu na marafiki wanipeleke Mirembe kupimwa kama bado zimetimia au nahitaji kuwekewa drip ya ufahamu.
<br />
<br />
Kwani umeshachunguliwa mara ngapi mpaka hapo ulipo?au huyo ndio alikutoa bikra?
<br />
<br />
Yaani wewe ungekuwa mme wangu ningekuonyesha adabu,MIMI KWEnye nyumba sitoki haijalishi umejenga wewe.NAJUA MLANGo Wa kuingilia wa kutokea siujui
Mwana kwetu,
Hii inanishangaza kidogo hasa nikizingatia umri wa hiyo ndoa(12yrs). Kwa haya maelezo kwa haraka mtu anaweza kufikiri ndoa ina less than 5yrs! Hii ndoa yenu ina watoto? Wangapi? Na je mke ana umri gani (just a 2yrs range will do)?
<br />
<br />
Yaani wewe ungekuwa mme wangu ningekuonyesha adabu,MIMI KWEnye nyumba sitoki haijalishi umejenga wewe.NAJUA MLANGo Wa kuingilia wa kutokea siujui
Mnaochangia mmeoa au mnachangia tu kwa uzoefu wa kusoma kwenye vitabu vya udaku.? Kuanzia wadhamini nimewaeleza na walishachoka kumweleza na wakasema hatuwezi kuongea na sikio la kufa. wazazi wake walishamwambia na kumwonya na kumfunda mara ya pili na wakaniomba nirudi kukaa naye akileta shida niwaambie tena . Hii ndo ni mojawapo ya sababu kuwa hathubutu kabisa kwenda kwao nikimfukuza. NINGEKUWA MI NINA MATATIZO HAWA MASHAHIDI WOTE INCLUDING WAZAZI WAKE TENA WENYE UWEZO WASINGEMWONYA NA KUMWEKA KIKAO.
Mnaochangia mmeoa au mnachangia tu kwa uzoefu wa kusoma kwenye vitabu vya udaku.? Kuanzia wadhamini nimewaeleza na walishachoka kumweleza na wakasema hatuwezi kuongea na sikio la kufa. wazazi wake walishamwambia na kumwonya na kumfunda mara ya pili na wakaniomba nirudi kukaa naye akileta shida niwaambie tena . Hii ndo ni mojawapo ya sababu kuwa hathubutu kabisa kwenda kwao nikimfukuza. NINGEKUWA MI NINA MATATIZO HAWA MASHAHIDI WOTE INCLUDING WAZAZI WAKE TENA WENYE UWEZO
WASINGEMWONYA NA KUMWEKA KIKAO.
mweeh! u need a secretary wa kutunza hiz ahadi for future reference. u must be very controlling and u blv u ar perfect. usishangae one time ukamfukuza akafurahia hadi ukasononeka! sijui kama nyumbani naweza kuwa na targets agreement contract kama kazini. una Personal Development Plan?
<br />
<br />