TUNTEMEKE
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 579
Nnarafiki yangu amekua na tatizo lakusahau kupita maelezo yaani muda mwingine mmeongea hapo haichukui hata muda hakumbuki anasoma sana na vitu anaelewa lkn anasahau kuna watu walimwambia chanzo ni blueband hatuumii kabisa lkn bado msaada kwa mwenye idea na hili