Emok Jr
JF-Expert Member
- Mar 17, 2018
- 1,094
- 795
Habari za muda huu wana jf...
Jaman nahitaji msaada, Nina lorry langu nimenunua mwezi uliopita yan used car[Mitsubishi] kutoka Japan.
Baada ya kununua nikaamua kuongeza urefu was trailer na tairi 4 nyuma, sasa baada kufanya haya manuva ili chombo ibebe mzigo was kutosha badala yake gari haina nguvu kabisa licha ya kuwa na turbo mpya kabisa.Mafundi wamechek engine system iko powa kabisa.
Sasa wakuu naomben ujuzi nifanyeje kutatua tatizo hili??
Jaman nahitaji msaada, Nina lorry langu nimenunua mwezi uliopita yan used car[Mitsubishi] kutoka Japan.
Baada ya kununua nikaamua kuongeza urefu was trailer na tairi 4 nyuma, sasa baada kufanya haya manuva ili chombo ibebe mzigo was kutosha badala yake gari haina nguvu kabisa licha ya kuwa na turbo mpya kabisa.Mafundi wamechek engine system iko powa kabisa.
Sasa wakuu naomben ujuzi nifanyeje kutatua tatizo hili??