Japhari Shabani (RIP)
R I P
- Jan 16, 2007
- 721
- 176
Wanajamii tusikubari usanii wa CCM(MAFISADI)Kututoa katika hoja ya msingi UFISADI.Katika siku za karibuni kumekua na mbinu za makusudi za CCM kutuondoa katika hoja ya msingi ufisadi uliokithiri katika chama hicho,baada ya kushindwa kujivua magamba-kitu ambacho hakiwezekani kwani asilimia 99 viongozi wake CCM na serikali pamoja na JK mwenyewe ndio MAFISADI-Wameanza kupotosha ya kwamba tatizo la CCM ni vita ya makundi ndani ya chama kuelekea uchaguzi wa Rais mwaka 2015!Huu ni uongo mkubwa na upotoshaji!Hivi kweli uozo mkubwa wa ufisadi,rushwa ukosefu wa maadili miongoni mwa viongozi wake uliokitawala chama na serikali ni sababu ya mbio za urais 2015?!swala la ufisadi wizara ya nishati na madini,maliasili na wizara nyingine na taasisi za serikali ni mbio za urais 2015?!
Mfano mdogo ni swala la Jairo ambalo limetupa sura kamili kukithiri kwa rushwa na ufisadi,rushwa,kulindana na ukosefu wa maadili katika wizara nyingi za serikali na taasisi zake,ambapo kwa Rais makini swala la kuwatimua wahusika wa sakata hilo akiwemo waziri wa nishati walikua wanapashwa kutimulia dakika chache baada ya kuawakilishwa kwa taarifa ya kamati je na hilo ni sababu ya mio za urais 2015?!TUSIPOTOSHWE MALIZENI KWANZA SWALA LA KUJIVUA GAMBA KABLA YA KUANZISHA KAULI MBIU NYINGINE "MAKUNDI KUELEKEA MBIO ZA URAIS 2015"TATIZO LA CCM NI UFISADI ULIOKITHIRI MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Mfano mdogo ni swala la Jairo ambalo limetupa sura kamili kukithiri kwa rushwa na ufisadi,rushwa,kulindana na ukosefu wa maadili katika wizara nyingi za serikali na taasisi zake,ambapo kwa Rais makini swala la kuwatimua wahusika wa sakata hilo akiwemo waziri wa nishati walikua wanapashwa kutimulia dakika chache baada ya kuawakilishwa kwa taarifa ya kamati je na hilo ni sababu ya mio za urais 2015?!TUSIPOTOSHWE MALIZENI KWANZA SWALA LA KUJIVUA GAMBA KABLA YA KUANZISHA KAULI MBIU NYINGINE "MAKUNDI KUELEKEA MBIO ZA URAIS 2015"TATIZO LA CCM NI UFISADI ULIOKITHIRI MUNGU IBARIKI TANZANIA.