Tathmini yangu fupi ya utendaji wa Marais wetu; Inaonesha Mkapa alikuwa Rais wa daraja la juu sana

The Phylosopher

JF-Expert Member
Mar 11, 2015
1,503
2,046
Nimejaribu kufikiria namna marais wetu wanavyoshughulikia mambo mbalimbali, kila mmoja kwa wakati na kwa namna yake ndipo napata kuelewa kwamba yule makonde alikuwa bonge la genius.

Mkapa aliamini sana katika taasisi hivyo kila changamoto anayoiona alifikiria kuunda taasisi na ndio maana chini yake aliunda taasisi nyingi sana ambazo zinafanya kazi mpaka sasa mf, TRA,TAKUKURU,TANROADS,CAG nk.

Zipo changamoto ambazo kwa namna zinavyotatuliwa sasa hata kama huna akili unajua huu ni utatuzi kwa mfumo wa zimamoto.

Mf ishu kama za upungufu wa madawati ujenzi wa madarasa unaopigiwa debe kwa sasa unaweza ukadhani tatizo litaisha ila kwa kuwa hatujayaweka kitaasisi utasikia baada ya miaka miwili tunaambiwa kuna upungufu wa madawati na madarasa.
 
Mimi namheshimu mno Mkapa.

Binafsi sometimes naona Mkapa probably alikuwa best President ..lakini
Ninachopinga ni kumpa sifa zilizo na uongo..na kusahau pia Mkapa alikuwa na weaknesses za ubabe na kubana vyombo vya habari hivyo na yeye alifaidika na mbinu za kidikteta pia..

Mkapa hakuunzisha TRA ..kuna uzi hapa tulijadili kwa kina .

Mkapa pia hakuanzisha TAKUKURU kwa maana ya kuanzisha ..alifanyia mabadiliko
Kikosi cha kuzuia Rushwa.

Ni kweli Mkapa alikuwa na impact kubwa ya kuanzisha taasisi nyingi Ila usisahau hizo taasisi pia zilikuwa na taasisi zingine kabla.

Alichofanya ni kuleta mabadiliko kulingana na wakati na ushauri wa wataalam..
Labda tuseme alisikiliza wataalam.
 
Mimi namheshimu mno Mkapa ..
Binafsi sometimes naona Mkapa probably alikuwa best President ..lakini
Ninachopinga ni kumpa sifa zilizo na uongo..na kusahau pia Mkapa alikuwa na weaknesses za ubabe na kubana vyombo vya habari hivyo na yeye alifaidika na mbinu za kidikteta pia..

Mkapa hakuunzisha TRA ..kuna uzi hapa tulijadili kwa kina ...

Mkapa pia hakuanzisha TAKUKURU kwa maana ya kuanzisha ..alifanyia mabadiliko
Kikosi cha kuzuia Rushwa.....

Ni kweli Mkapa alikuwa na impact kubwa ya kuanzisha taasisi nyingi Ila usisahau hizo taasisi pia zilikuwa na taasisi zingine kabla ..

Alichofanya ni kuleta mabadiliko kulingana na wakati na ushauri wa wataalam..
Labda tuseme alisikiliza wataalam
Taasisi zote unazoziona leo zilianza serikali ya awamu ya tatu. Awamu ya pili serikali ilikuwa imekufa. Mifumo ya kodi na sheria mbalimbali zilianzishwa enzi zake.
 
Mimi namheshimu mno Mkapa ..
Binafsi sometimes naona Mkapa probably alikuwa best President ..lakini
Ninachopinga ni kumpa sifa zilizo na uongo..na kusahau pia Mkapa alikuwa na weaknesses za ubabe na kubana vyombo vya habari hivyo na yeye alifaidika na mbinu za kidikteta pia..

Mkapa hakuunzisha TRA ..kuna uzi hapa tulijadili kwa kina ...

Mkapa pia hakuanzisha TAKUKURU kwa maana ya kuanzisha ..alifanyia mabadiliko
Kikosi cha kuzuia Rushwa.....

Ni kweli Mkapa alikuwa na impact kubwa ya kuanzisha taasisi nyingi Ila usisahau hizo taasisi pia zilikuwa na taasisi zingine kabla ..

Alichofanya ni kuleta mabadiliko kulingana na wakati na ushauri wa wataalam..
Labda tuseme alisikiliza wataalam
Kuna kijadili na kuna kujua facts. Humu kila mtu anaweza kujadili chochote hata kama hawakijui.

TRA imeanza kazi kipindi cha mkapa mwaka 1996 ingawa sheria ya kuanzia TRA ilitungwa mwaka 1995 chini ya Mwinyi.

Watu kumpa credit mkapa kuanzisha TRA hawakosei maana kwa Tanzania kua na sheria na kuitekeleza ni vitu 2 tofauti. Tuna sheria nyingi tu zimetungwa kuanzisha vitu flani na wala hazijawahi kutekelezwa. Hivyo mkapa kukubali kuanza utekelezwaji wa sheria ya mapato ya mwaka 1995 lazima apewe hizo credits.
 
Nimejaribu kufikiria namna marais wetu wanavyoshughulikia mambo mbalimbali, kila mmoja kwa wakati na kwa namna yake ndipo napata kuelewa kwamba yule makonde alikuwa bonge la genius.
Mkapa aliamini sana katika taasisi hivyo kila changamoto anayoiona alifikiria kuunda taasisi na ndio maana chini yake aliunda taasisi nyingi sana ambazo zinafanya kazi mpaka sasa mf, TRA,TAKUKURU,TANROADS,CAG nk.
Zipo changamoto ambazo kwa namna zinavyotatuliwa sasa hata kama huna akili unajua huu ni utatuzi kwa mfumo wa zimamoto.
Mf ishu kama za upungufu wa madawati ujenzi wa madarasa unaopigiwa debe kwa sasa unaweza ukadhani tatizo litaisha ila kwa kuwa hatujayaweka kitaasisi utasikia baada ya miaka miwili tunaambiwa kuna upungufu wa madawati na madarasa!!.
Good alijitahidi sn
 
Mimi namheshimu mno Mkapa ..
Binafsi sometimes naona Mkapa probably alikuwa best President ..lakini
Ninachopinga ni kumpa sifa zilizo na uongo..na kusahau pia Mkapa alikuwa na weaknesses za ubabe na kubana vyombo vya habari hivyo na yeye alifaidika na mbinu za kidikteta pia..

Mkapa hakuunzisha TRA ..kuna uzi hapa tulijadili kwa kina ...

Mkapa pia hakuanzisha TAKUKURU kwa maana ya kuanzisha ..alifanyia mabadiliko
Kikosi cha kuzuia Rushwa.....

Ni kweli Mkapa alikuwa na impact kubwa ya kuanzisha taasisi nyingi Ila usisahau hizo taasisi pia zilikuwa na taasisi zingine kabla ..

Alichofanya ni kuleta mabadiliko kulingana na wakati na ushauri wa wataalam..
Labda tuseme alisikiliza wataalam
Utamu wa madaraka mkuu
 
Kuna kijadili na kuna kujua facts. Humu kila mtu anaweza kujadili chochote hata kama hawakijui.

TRA imeanza kazi kipindi cha mkapa mwaka 1996 ingawa sheria ya kuanzia TRA ilitungwa mwaka 1995 chini ya Mwinyi.

Watu kumpa credit mkapa kuanzisha TRA hawakosei maana kwa Tanzania kua na sheria na kuitekeleza ni vitu 2 tofauti. Tuna sheria nyingi tu zimetungwa kuanzisha vitu flani na wala hazijawahi kutekelezwa. Hivyo mkapa kukubali kuanza utekelezwaji wa sheria ya mapato ya mwaka 1995 lazima apewe hizo credits.
Naunga mkono hoja mkuu
 
Kuna kijadili na kuna kujua facts. Humu kila mtu anaweza kujadili chochote hata kama hawakijui.

TRA imeanza kazi kipindi cha mkapa mwaka 1996 ingawa sheria ya kuanzia TRA ilitungwa mwaka 1995 chini ya Mwinyi.

Watu kumpa credit mkapa kuanzisha TRA hawakosei maana kwa Tanzania kua na sheria na kuitekeleza ni vitu 2 tofauti. Tuna sheria nyingi tu zimetungwa kuanzisha vitu flani na wala hazijawahi kutekelezwa. Hivyo mkapa kukubali kuanza utekelezwaji wa sheria ya mapato ya mwaka 1995 lazima apewe hizo credits.
Kabla ya 1996 kodi zilikuwa hazikusanywi?

Au tukisema TFF ilianza mwaka fulani kabla ya hapo hapakuwa na chama cha soka?
 
Nimejaribu kufikiria namna marais wetu wanavyoshughulikia mambo mbalimbali, kila mmoja kwa wakati na kwa namna yake ndipo napata kuelewa kwamba yule makonde alikuwa bonge la genius.
Mkapa aliamini sana katika taasisi hivyo kila changamoto anayoiona alifikiria kuunda taasisi na ndio maana chini yake aliunda taasisi nyingi sana ambazo zinafanya kazi mpaka sasa mf, TRA,TAKUKURU,TANROADS,CAG nk.
Zipo changamoto ambazo kwa namna zinavyotatuliwa sasa hata kama huna akili unajua huu ni utatuzi kwa mfumo wa zimamoto.
Mf ishu kama za upungufu wa madawati ujenzi wa madarasa unaopigiwa debe kwa sasa unaweza ukadhani tatizo litaisha ila kwa kuwa hatujayaweka kitaasisi utasikia baada ya miaka miwili tunaambiwa kuna upungufu wa madawati na madarasa!!.
Best ever one man army john joseph pombe magufuli huyo aliweka taasisi nyingi za upigaji na kulipa fadhila kwa marafiki zake hiyo takukuru ndicho kipindi cha kina mboma na T.I.OT walipopata pesa!
 
Kabla ya 1996 kodi zilikuwa hazikusanywi?

Au tukisema TFF ilianza mwaka fulani kabla ya hapo hapakuwa na chama cha soka?
Kabla ya 1996 kodi zilikua zinakusanywa ila idara ya makusanyo ya kodi ilikua ni kitengo pale wizara ya fedha.

Kumeongezeka sana ufanisi wa ukusanyaji kodi toka kuanzishwa kwa TRA.
 
Nimejaribu kufikiria namna marais wetu wanavyoshughulikia mambo mbalimbali, kila mmoja kwa wakati na kwa namna yake ndipo napata kuelewa kwamba yule makonde alikuwa bonge la genius.
Mkapa aliamini sana katika taasisi hivyo kila changamoto anayoiona alifikiria kuunda taasisi na ndio maana chini yake aliunda taasisi nyingi sana ambazo zinafanya kazi mpaka sasa mf, TRA,TAKUKURU,TANROADS,CAG nk.
Zipo changamoto ambazo kwa namna zinavyotatuliwa sasa hata kama huna akili unajua huu ni utatuzi kwa mfumo wa zimamoto.
Mf ishu kama za upungufu wa madawati ujenzi wa madarasa unaopigiwa debe kwa sasa unaweza ukadhani tatizo litaisha ila kwa kuwa hatujayaweka kitaasisi utasikia baada ya miaka miwili tunaambiwa kuna upungufu wa madawati na madarasa!!.
CAG iko kikatiba, katiba hii iliandikwa 1977 Mkapa alikuwa Waziri. TAKUKURU ilikuwepo tangu 1974 kwa sheria namba 2 na kwa jina la Anti-Corruption Squad ACS, ikaja kubadilishwa enzi za Ruksa kuwa Tume, sasa hivi ni Mamlaka. TRA iliboreshwa na Mkapa, zamani ilikuwa ni idara (sasa hivi ni mamlaka) ya mapato chini ya Hazina ikifanyakazi vipande vipande e.g. Customs/forodha, Income Tax, Levy/Ushuru (kwa Halmashauri) nk.

Mwenye kuboresha zaidi aboreshe.
 
Nimejaribu kufikiria namna marais wetu wanavyoshughulikia mambo mbalimbali, kila mmoja kwa wakati na kwa namna yake ndipo napata kuelewa kwamba yule makonde alikuwa bonge la genius.
Mkapa aliamini sana katika taasisi hivyo kila changamoto anayoiona alifikiria kuunda taasisi na ndio maana chini yake aliunda taasisi nyingi sana ambazo zinafanya kazi mpaka sasa mf, TRA,TAKUKURU,TANROADS,CAG nk.
Zipo changamoto ambazo kwa namna zinavyotatuliwa sasa hata kama huna akili unajua huu ni utatuzi kwa mfumo wa zimamoto.
Mf ishu kama za upungufu wa madawati ujenzi wa madarasa unaopigiwa debe kwa sasa unaweza ukadhani tatizo litaisha ila kwa kuwa hatujayaweka kitaasisi utasikia baada ya miaka miwili tunaambiwa kuna upungufu wa madawati na madarasa!!.
Ukisoma Tanzania Vision 2025 vizuri utajua Benjamin alikuwa msomi
 
Best ever one man army john joseph pombe magufuli huyo aliweka taasisi nyingi za upigaji na kulipa fadhila kwa marafiki zake hiyo takukuru ndicho kipindi cha kina mboma na T.I.OT walipopata pesa!
Umeandika non sense. Jpm alikuja ku enforce taasis na sheria zilizopo. Lakin hakuazisha taasisi yoyote. And for the record he is not the best
 
Ukisoma Tanzania Vision 2025 vizuri utajua Benjamin alikuwa msomi
Nyerere alikuwa msomi pia wa ngazi ya Mwanafalsafa wa kimataifa.
Vitabu vya Nyerere vina soko China kuliko Tz. China imeamua kuwekeza kwenye mawazo ya Mwl. Nyerere na Ujamaa wa Kitanzania/wa Nyerere. Wametafsiri vitabu vya Mwl kwenye lugha ya Kichina hivyo vinasomwa kama moto wa nyika na ikumbukwe Wachina ni 18% ya watu wote wa dunia ikiwa na watu 1.4 bl hivyo soko la vitabu hivyo ni kubwa mno China ukiongeza na sehemu zingine zinakosomwa duniani, mapato ya vitabu hivyo yanatosha kukarimu familia ya Mwl.

Mwl aliandika pia juu ya Political Economy ambayo ni aina ya uchumi ambao unaongelea mahusiano ya chumi za dunia (diplomasia ya uchumi), mawazo yake yamesaidia China kuzivimbia nchi za Magharibi hasa kipindi hiki ambacho dunia inavaa gamba jipya la kuwa kijiji kimoja kinachonufaisha kundi dogo huku kundi kubwa la kijiji hicho likibaki kuomboleza.
 
Back
Top Bottom