Tathmini yangu fupi kuhusu Baraza Jipya la Mawaziri

Bashite -Waziri Mkuu
Gambo -Wizara ya Ulinzi
Queen Sendiga-Anapewa wilaya
Joketi-Mbunge wa kuteuliwa halafu analamba unaibu waziri
Sabaya-mkuu wa mkoa
 
Nampendekeza Mueshimiwa Askofu Ngwajima Anauwezo mkubwa sana
Namuomba muheshimiwa aturudishie Makonda Dar au hatuletee Jerry muro jiji letu hili linapendeza Sana likiwa na watu hao
Makonda Dar sawa; Jerry atulie palepale kwenye ileee miradi bomba anayoipaisha. "Milioni 900 itapendeza!"
 
Wazee kama akina Manyanya ,Mkuchika, Jenista, kuwarudisha tena ni kupoteza muda , tunataka vijana. Damu mpya. Hawa wazee wakapumzike sasa
Vijana wegi wana ulimbukeni mwingi sana na wanaharibu sana kazi nadhani wazee waendelee kuwekwa hasa kwa sehemu nyeti zinazo guza jamii kwa upana zaid
 
Hao ndo wakushukuriwa.
Pamoja na NEC NA ZEC.
sio ballot box.
No polisi,no ccm.
Umeshindwa vibaya kwenye ballot box, "Nikusaidieje" (Prof. J).
Screenshot_20201106-094418.jpg
 
Vijana wegi wana ulimbukeni mwingi sana na wanaharibu sana kazi nadhani wazee waendelee kuwekwa hasa kwa sehemu nyeti zinazo guza jamii kwa upana zaid
2015 - 2020: Vijana wapewe kipaumbele ili kuibua & kukuza vipaji vipya, kujenga umoja na imani yao na kuleta ushindani

2020 - 2025: Vijana wasipewe fursa; wana ulimbukeni mwingi sana na wanaharibu sana kazi; naadhani wazee waendelee kuwekwa, hasa kwa sehemu nyeti zinazogusa jamii kwa upana zaidi

????
 
2015 - 2020: Vijana wapewe kipaumbele ili kuibua & kukuza vipaji vipya, kujenga umoja na imani yao na kuleta ushindani

2020 - 2025: Vijana wasipewe fursa; wana ulimbukeni mwingi sana na wanaharibu sana kazi; naadhani wazee waendelee kuwekwa, hasa kwa sehemu nyeti zinazogusa jamii kwa upana zaidi

????
Hapana vijana walio pewa kwa majaribio wameharibu sana vijana wasipewe hata kidogo
 
Kinachofurahisha ni kwamba safari hii ni kazi kazi hakuna excuse, asilimia kubwa ya wabunge na madiwani wanatoka chama tawala na hii itawasaidia sana kwenye utendaji.

Naiona connection nzuri kati ya serikali yaani mawaziri na wawakilishi wa wananchi.

Wakuu wa mikoa, wilaya na wakurugenzi wakitumia wataalamu katika sehemu zao, na wakashirikiana na wabunge na madiwani wao vizuri watamsaidia sana rais katika kutatua kero za wananchi na kuwaletea watanzania maendeleo.

Tufike mahali rais anapopita kwenye maeneo yetu tuone akipewa pongezi zaidi ya yale malalamiko ya wananchi kukosa huduma au kukosa wa kuwasikiliza.
In short, muhula huu TOCHI YA USTAWI, MAENDELEO & FANAKA INAWAKA MNG'AO WA ENEJI YA "NYUKI-WANALIA." Magunzi yote out!!!
 
hata uwe na watendaji wote unaowajua wanachapa kaziii kwa weledi na ustadi .... endapo maamuzi ya mwisho lazima yatoke kwa mmoja tu ni vigumu kuwa na mabadiliko ya kimaendeleo, na endapo kutaendelea kuwa ule utaratibu wa kutengua alichoamua waziri kila mara ..... sahauuu Tanzania uiwazayoo

fanya kazi, Tanzania ni zaidi ya tuijuavyoo
Kwa propaganda hizi dufu za utahajasimu (pessimism), si ajabu mmeshindwa uchaguzi kila msimu wa uchaguzi
 
Mkuu unaamjni kweli nchi hii itapaa???

Usilete uongo kama Jiwe....

Dodoma kila akija anahaidi uwanja wa michezo.
Jamaa waajabu sana.
Wewe ndio wa ajabu. acha watu watoe maoni ya kuipaisha nchi yao. Kama vipi nenda ubalozini ukafungiwe chumbani na mwenzako.
 
Kama tunavyojua kuanzia leo ndio ukomo la Mawaziri. Kutokana na kuapishwa rasmi kwa Raia John Magufuli. Kinachofuata sasa ni Rais kuitisha bunge na kupeleka jina la Waziri Mkuu ambaye pasipo shaka naona Majaliwa Kassim atarudi.... Pamoja na kurudi Majaliwa, hawa watu watamsaidia sana Rais katika utendaji wake...

1. Ummy Mwalimu - abaki pale pale Afya
2. Sagini (Butiama) - aende TAMISEMI
3. Prof. Ndalichako - abaki pale pale
4. Prof. Muhongo - aende Madini
5. Dr. Kalemani - abaki pale pale
6. Mwigulu - abaki pale pale
7. Bashe - apandishwe either Kilimo au Biashara au ujenzi
8. Kabudi - abaki pale pale
9. Zungu - abaki pale pale. Naibu wake awe Mrisho Gambo
10. Dr. Kimei - Biashara au Naibu Fedha
11. Prof. Kitila Mkumbo - wizara ya Maji au Ujenzi
12. Jenista Mhagama - abaki pale pale
13. Prof. Mkenda - Maliasili

PREDICTION YA INGIZO JIPYA MANAIBU...
1. Mwambe (Masasi) former TIC DG
2. David Silinde
3. Kunambi - Former Director wa Dodoma Jiji

AMBAO WAMEFANYA KAZI KUBWA ILA UMEFIKA MUDA WA WA KUPUMNZISHWA, AS THEIR LEVEL IMEFIKA LIMIT
1. Bashungwa - Aliyekuwa Waziri wa vViwanda
2. Stela Manyanya - Aliyekuwa Naibu Viwanda
3. Juliana Shonza - Michezo
4. Kanyasu - Maliasili Naibu
5. Simar - aliyekuwa Naibu Mazingira
6. Kamwele - aliyekuwa wa Ujenzi

These will be a dream team 2020-2025!. hao niliobashiri ni wachapa kazi na wabunifu...
taifa la wajinga bwana nchi inapaa kwa mipango au Ina paa kwa prediction zako za Baraza la wajinga?
 
Hapana vijana walio pewa kwa majaribio wameharibu sana vijana wasipewe hata kidogo
Najua maana yake. Adui ama mpinzani wako akikusifu, jiulize mara mbili2 umekosea wapi; akikukosoa, nenda kasherehekee na wala usibadili welekeo na kasi na mbinu.
 
Back
Top Bottom