Tathmini yangu fupi kuhusu Baraza Jipya la Mawaziri

ubunifu wa wizara mpya ni muhimu,wizara ya mahusiano ya jamii,amani na mshikamano wa kitaifa apewe Askofu Josephat Gwajima,ni msomi wa mambo ya dini na imani atalisaidia taifa dhidi ya mmomonyoko wa maadili katika jamii
 
Matamanio yangu mimi nikama ifuatavyo:

Philip Mpango - Waziri wa Fedha & Mipango

Charles Kimei - Naibu Waziri wa Fedha na Mipango (Kimei asaidiane na Philip Mpango)

Note: Combination ya Philip Mpango na Charles Kimei itanoga kwa sababu Philip Mpango nikama anauzoefu wakutosha wa upande wa Planning na Charles Kimei anauzoefu wakutosha wa upande wa Finance 'Banking Industry'

Au

Charles Kimei - awe Waziri wa Wizara mpya itwayo Wizara ya Uwekezaji, Viwanda, Biashara na Masoko

Ili mchumi huyu akatusaidie kutuletea wawekezaji nchini na kututafutia masoko ya bidhaa zetu
Philip Mpango hana mpinzani, kuifikisha nchi uchumi wa kati ni credit tosha ya kumrudisha fedha.Pia kumuondoa vyombo vya fedha vya kimataifa vitaonyesha kutokuridhishwa na mabadiliko na inaweza kupunguza confidence kwa sera zilizopo.Mpango ni tegemeo kwa sasa
 
ubunifu wa wizara mpya ni muhimu,wizara ya mahusiano ya jamii,amani na mshikamano wa kitaifa apewe Askofu Josephat Gwajima,ni msomi wa mambo ya dini na imani atalisaidia taifa dhidi ya mmomonyoko wa maadili katika jamii
Huyu jamaa i cant categorise her at all HE SHOULD CHOOSE ONE KUITUMIKIA DUNIA AU KUMTUMIKIA MUNGU MUNGU THE OMNI PONENT SIYO WA UTANI UTANI AS WE JOKES
 
Kimei awekwe uwekezaji ili asimamie vizuri implementation ya business BLUE PRINT na asaidiwe na Angel Kariuki
 
Mwanzo kabla ya kuteua hao mawaziri huwa inaandaliwa instrument ambayo inaelezea themes na taasisi zitakazohusika. Kwa hilo ninamuomba Mh. Rais aunganishe baadhi ya taasisi maana bado zina duplications ya majukumu mno. Kwa mfano taasisi zifuatazo:

1. SIDO na TIRDO kuwe na taasisi moja kubwa yenye kubeba majukumu yote combined na kuwe na idara kubwa zikiwemo Research na Industrial Development

2. Tanzania National Business Council unga na Tanzania Investment Centre na National Economic Empowerment Council. Hizi zinafanya very duplicate roles na nyingine zinamezana mfano investment vs empowerment n.k

3. Ongezeeni nyingine
Cccm na polinsi
 
Kama tunavyojua kuanzia leo ndio ukomo la Mawaziri. Kutokana na kuapishwa rasmi kwa Raia John Magufuli. Kinachofuata sasa ni Rais kuitisha bunge na kupeleka jina la Waziri Mkuu ambaye pasipo shaka naona Majaliwa Kassim atarudi.... Pamoja na kurudi Majaliwa, hawa watu watamsaidia sana Rais katika utendaji wake...

1. Ummy Mwalimu - abaki pale pale Afya
2. Sagini (Butiama) - aende TAMISEMI
3. Prof. Ndalichako - abaki pale pale
4. Prof. Muhongo - aende Madini
5. Dr. Kalemani - abaki pale pale
6. Mwigulu - abaki pale pale
7. Bashe - apandishwe either Kilimo au Biashara au ujenzi
8. Kabudi - abaki pale pale
9. Zungu - abaki pale pale. Naibu wake awe Mrisho Gambo
10. Dr. Kimei - Biashara au Naibu Fedha
11. Prof. Kitila Mkumbo - wizara ya Maji au Ujenzi
12. Jenista Mhagama - abaki pale pale
13. Prof. Mkenda - Maliasili

PREDICTION YA INGIZO JIPYA MANAIBU...
1. Mwambe (Masasi) former TIC DG
2. David Silinde
3. Kunambi - Former Director wa Dodoma Jiji

AMBAO WAMEFANYA KAZI KUBWA ILA UMEFIKA MUDA WA WA KUPUMNZISHWA, AS THEIR LEVEL IMEFIKA LIMIT
1. Bashungwa - Aliyekuwa Waziri wa vViwanda
2. Stela Manyanya - Aliyekuwa Naibu Viwanda
3. Juliana Shonza - Michezo
4. Kanyasu - Maliasili Naibu
5. Simar - aliyekuwa Naibu Mazingira
6. Kamwele - aliyekuwa wa Ujenzi

These will be a dream team 2020-2025!. hao niliobashiri ni wachapa kazi na wabunifu...
Kura yako ya tarehe 28 Oktoba 2020 ulimpa Rais Dk. Magufuli au kwa wale Wanaopoteza muda kila wakati wa Uchaguzi Mkuu wa hapa Tanzania?
 
Nampendekeza Mueshimiwa Askofu Ngwajima Anauwezo mkubwa sana
Namuomba muheshimiwa aturudishie Makonda Dar au hatuletee Jerry muro jiji letu hili linapendeza Sana likiwa na watu hao
Mkuu itapendeza sana Ole Sabaya akiteuliwa kuwa mkuu wa mkoa DSM.

Kwa kuwa Makonda ni more senior aende Jiji la Dodoma kuwa mkuu wa mkoa.
 
Kama tunavyojua kuanzia leo ndio ukomo la Mawaziri. Kutokana na kuapishwa rasmi kwa Raia John Magufuli. Kinachofuata sasa ni Rais kuitisha bunge na kupeleka jina la Waziri Mkuu ambaye pasipo shaka naona Majaliwa Kassim atarudi.... Pamoja na kurudi Majaliwa, hawa watu watamsaidia sana Rais katika utendaji wake...

1. Ummy Mwalimu - abaki pale pale Afya
2. Sagini (Butiama) - aende TAMISEMI
3. Prof. Ndalichako - abaki pale pale
4. Prof. Muhongo - aende Madini
5. Dr. Kalemani - abaki pale pale
6. Mwigulu - abaki pale pale
7. Bashe - apandishwe either Kilimo au Biashara au ujenzi
8. Kabudi - abaki pale pale
9. Zungu - abaki pale pale. Naibu wake awe Mrisho Gambo
10. Dr. Kimei - Biashara au Naibu Fedha
11. Prof. Kitila Mkumbo - wizara ya Maji au Ujenzi
12. Jenista Mhagama - abaki pale pale
13. Prof. Mkenda - Maliasili

PREDICTION YA INGIZO JIPYA MANAIBU...
1. Mwambe (Masasi) former TIC DG
2. David Silinde
3. Kunambi - Former Director wa Dodoma Jiji

AMBAO WAMEFANYA KAZI KUBWA ILA UMEFIKA MUDA WA WA KUPUMNZISHWA, AS THEIR LEVEL IMEFIKA LIMIT
1. Bashungwa - Aliyekuwa Waziri wa vViwanda
2. Stela Manyanya - Aliyekuwa Naibu Viwanda
3. Juliana Shonza - Michezo
4. Kanyasu - Maliasili Naibu
5. Simar - aliyekuwa Naibu Mazingira
6. Kamwele - aliyekuwa wa Ujenzi

These will be a dream team 2020-2025!. hao niliobashiri ni wachapa kazi na wabunifu...
Total wrong
Muhongo huwezi kukuona
Kamwele yule ni mpiga dili kama wengne hivyo lazima awepo
 
Mkuu wewe si uliandika uzi hapa kuwa hutamchagua Magufuli kwakua kaharibu private sector sasa unampangia serikali ili iweje??

Acha unafiki mkuu.
nilikuwa mafikisha ujumbe namna private sector ilivyokufa. hivyo kipindi chake cha pili aanze na kufufua private sector
 
Futa wafuatao:-
2.Sagini (Butiama) - aende TAMISEMI
3. Prof. Ndalichako - abaki pale pale
4. Prof. Muhongo - aende Madini
Mwigulu - abaki pale pale
7. Bashe - apandishwe either Kilimo au Biashara au ujenzi
8. Kabudi - abaki pale pale
9. Zungu - abaki pale pale. Naibu wake awe Mrisho Gambo
Naunga mkono hoja Bashe apandishwe,yule bosi wake atolewe pale...
 
Matamanio yangu mimi nikama ifuatavyo:

Philip Mpango - Waziri wa Fedha & Mipango

Charles Kimei - Naibu Waziri wa Fedha na Mipango (Kimei asaidiane na Philip Mpango)

Note: Combination ya Philip Mpango na Charles Kimei itanoga kwa sababu Philip Mpango nikama anauzoefu wakutosha wa upande wa Planning na Charles Kimei anauzoefu wakutosha wa upande wa Finance 'Banking Industry'

Au

Charles Kimei - awe Waziri wa Wizara mpya itwayo Wizara ya Uwekezaji, Viwanda, Biashara na Masoko

Ili mchumi huyu akatusaidie kutuletea wawekezaji nchini na kututafutia masoko ya bidhaa zetu
Waziri wa fedha lusinde,naibu fedha na mipango msukuma
 
Back
Top Bottom