Asiende kuipendelea UtoAnafaa
Saashisha Apewe Madini Alaf Biteko Apewe Maliasili na Utalii Yule Mchonga Ngenga wa Simba Adhabu yake Awe Naibu (W) Afya Mana Huko Ndio Taaluma yake..Alaf Kimei Awe Fedha na Mipango..Dkt.Phillip Mpango Apumzishwe majukumu awe naibu wake..Kufuatia matokeo ya uchaguzi mkuu ambapo asilimia 99 ya wabunge watakuwa wakitoka CCM basi, na pia kwa kuwa zipo sura mpya kabisa ambazo zimeingia bungeni kwa mara ya kwanza na nyingine kuendelea kukalia nafasi zao basi, huu uzi ni mahsusi kwa ajili ya kuwatambua wale ambao dalili zinaonyesha kuwa watakuwa sehemu ya baraza la mawaziri
Wafuatao ni top 10 ya wale ambao hawajawahi kuwa wabunge lakini kwa vyovyote wengi wao watakuwa sehemu ya baraza jipya la Mawaziri, wapo watakaokuwa mawaziri kamili na wengine manaibu
1. Charles Kimei
2. Prof. Adolf Mkenda
3. Prof. Kitila Mkumbo
4. Askofu Josephat Gwajima
5. Jerry Slaa
6. Mrisho Gambo
7. Fredy Lowassa
8. Shaashisha Mafuwe
9. Patrobas Katambi
10. Kirumbe Ng'enda
Lakini pia wapo wengine watakaoteuliwa kuwa wabunge na Mh, hivyo wana nafasi kubwa pia ya kuwa ndani ya baraza hilo!
Kwa hizo sura mpya, na maeneo ambayo pia waligombea ni wazi kabisa ni mkakati mahsusi wa kuwaingiza sehemu nyingine nyeti zaidi!
N.B: Ieleweke kuwa Mh, naye hatabiriki pengine anaweza akabadilisha upepo humo angani na akaendelea na lile baraza lake la awali!
Nileteeni Gwajimaaaaaaaa!Gwajima aongoze wizara? Jamani punguzeni vichekesho basi.
Anamaanisha abaki kuwa mbunge tuSasa mbona mmempitisha Kama mkijua ni kituko na vichekesho , ccm bana hua hata hamjielewi mnataka nn
Chuki za kijinga mtataabika kivp??! Si hamtaki kugombea mtabaki mmezubaa hivyo hivyo watu wanasonga mbeleNamba nne waislam wataendelea kutaabika
Acheni chuki za kijinga hivi unaijua elim ya gwajima au unashabikia tu bila kujua???!acheni chuki za kijinga nyie
Peleka mk wako kule, elimu isiyokusaidia kuelimika ni sawa na kupagawa mapepo.Acheni chuki za kijinga hivi unaijua elim ya gwajima au unashabikia tu bila kujua???!acheni chuki za kijinga nyie
1. Charles Kinei - Atapewa uwaziri Fedha/Mipango.
2. Mrisho Gambo - Atapewa wizara ya mambo ya ndani.
3. Hussein Bashe - Atapanda na kuwa waziri kamili Kilimo/Mifugo.
4. Ndalichako - Anarudikua Elimu.
5. Ummy - Atabakia wizara ya Afya.
6. Kalemani - Anabaki nishati.
7. Dotto Biteko - Anabaki madini.
8. Mwanry (X-RC Tabora) namuona akateuliwa kwenye nafasi ya ubunge na atapewa wizara.
9. Paul Makonda - Ni mmoja kati ya vijana watakao teuliwa na kisha kupewa unaibu waziri (mambo ya ndani).
10.........
11...........
12..............
Nitaendelea badae
Chuki za kijinga hizo utadhani unamjua gwajima kwa saanaa acha hizo weweKuwa mbunge tu imeshakuwa kichekesho, sembuse uwaziri
Kaanza kutesa waislam kabla hajagombea chochote.Chuki za kijinga mtataabika kivp??! Si hamtaki kugombea mtabaki mmezubaa hivyo hivyo watu wanasonga mbele
Kina Gambo,Mnyeti,Petrobas na Gwajima kuna wizara wana uwezo nao kuziongoza.
Gwajima aongoze wizara? Jamani punguzeni vichekesho basi.
Fikra zako tu zilipoishia hapoKaanza kutesa waislam kabla hajagombea chochote.
Kaa kimya matako wewe hujui hata kuongeaPeleka mk wako kule, elimu isiyokusaidia kuelimika ni sawa na kupagawa mapepo.
Gwajima ni wa hovyo tu
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Usijidai ulikuwa ng'ambo, alivyowafelisha waislam akasingizia kompyuta ulikuwa wapi?Fikra zako tu zilipoishia hapo