Tathmini yangu fupi kuhusu Baraza Jipya la Mawaziri

Kufuatia matokeo ya uchaguzi mkuu ambapo asilimia 99 ya wabunge watakuwa wakitoka CCM basi, na pia kwa kuwa zipo sura mpya kabisa ambazo zimeingia bungeni kwa mara ya kwanza na nyingine kuendelea kukalia nafasi zao basi, huu uzi ni mahsusi kwa ajili ya kuwatambua wale ambao dalili zinaonyesha kuwa watakuwa sehemu ya baraza la mawaziri

Wafuatao ni top 10 ya wale ambao hawajawahi kuwa wabunge lakini kwa vyovyote wengi wao watakuwa sehemu ya baraza jipya la Mawaziri, wapo watakaokuwa mawaziri kamili na wengine manaibu

1. Charles Kimei
2. Prof. Adolf Mkenda
3. Prof. Kitila Mkumbo
4. Askofu Josephat Gwajima
5. Jerry Slaa
6. Mrisho Gambo
7. Fredy Lowassa
8. Shaashisha Mafuwe
9. Patrobas Katambi
10. Kirumbe Ng'enda

Lakini pia wapo wengine watakaoteuliwa kuwa wabunge na Mh, hivyo wana nafasi kubwa pia ya kuwa ndani ya baraza hilo!

Kwa hizo sura mpya, na maeneo ambayo pia waligombea ni wazi kabisa ni mkakati mahsusi wa kuwaingiza sehemu nyingine nyeti zaidi!

N.B: Ieleweke kuwa Mh, naye hatabiriki pengine anaweza akabadilisha upepo humo angani na akaendelea na lile baraza lake la awali!
Saashisha Apewe Madini Alaf Biteko Apewe Maliasili na Utalii Yule Mchonga Ngenga wa Simba Adhabu yake Awe Naibu (W) Afya Mana Huko Ndio Taaluma yake..Alaf Kimei Awe Fedha na Mipango..Dkt.Phillip Mpango Apumzishwe majukumu awe naibu wake..

Ova Ova Ova..
Alaf veep Khsu Ole Sabaya yule kamati ya roho mbaya iliyotumwa kumtoa Mbowe pale Hai Tumweke wap?..
 
Nashauri kwe hivi
  • Mpango - waziri wa fedha, naibu awe kimei
  • Gambo - waziri wa mambo ya ndani, naibu awe Makonda
  • Biteko - waziri wa madini, naibu awe mwanyika
  • Mbowe awe mume halali wa joyce mukya
 
1. Charles Kinei - Atapewa uwaziri Fedha/Mipango.
2. Mrisho Gambo - Atapewa wizara ya mambo ya ndani.
3. Hussein Bashe - Atapanda na kuwa waziri kamili Kilimo/Mifugo.
4. Ndalichako - Anarudikua Elimu.
5. Ummy - Atabakia wizara ya Afya.
6. Kalemani - Anabaki nishati.
7. Dotto Biteko - Anabaki madini.
8. Mwanry (X-RC Tabora) namuona akateuliwa kwenye nafasi ya ubunge na atapewa wizara.
9. Paul Makonda - Ni mmoja kati ya vijana watakao teuliwa na kisha kupewa unaibu waziri (mambo ya ndani).
10.........
11...........
12..............
Nitaendelea badae

Akiteuliwa makonda basi mjue sera ya kuteka, kupiga watu risasi na kuua watu itaendelezwa
 
Back
Top Bottom