Bill Gates, tajiri namba moja duniani, yeye anasoma vitabu 50 kwa mwaka (wastani wa kitabu kimoja kwa wiki).
Warren Buffet, Tajiri namba Mbili duniani, anasoma kurasa 600 kwa siku (wastani wa vitabu vitatu kwa siku),unadhani kwa mwaka anasoma vitabu vingapi???,,,noma sana!!!
wewe mpaka sasa umesoma vitabu vingapi?
mimi mwenyewe kiukweli nimegusagusa tu vitabu mbalimbali hata sijamaliza kuvisoma na wakati mwingine sisomi kabisaa...nafanya mambo mengine...ila sasa hivi najitahidi kusoma vitabu tofauti na mengi nazidi kujivunza vitu mbalimbali na kuongeza maarifa zaidi.
Warren Buffet, Tajiri namba Mbili duniani, anasoma kurasa 600 kwa siku (wastani wa vitabu vitatu kwa siku),unadhani kwa mwaka anasoma vitabu vingapi???,,,noma sana!!!
wewe mpaka sasa umesoma vitabu vingapi?
mimi mwenyewe kiukweli nimegusagusa tu vitabu mbalimbali hata sijamaliza kuvisoma na wakati mwingine sisomi kabisaa...nafanya mambo mengine...ila sasa hivi najitahidi kusoma vitabu tofauti na mengi nazidi kujivunza vitu mbalimbali na kuongeza maarifa zaidi.