zolo
Member
- Sep 29, 2014
- 76
- 23
Tukumbuka mnamo tarehe 25/10/2015 watanzania tulitumia haki yetu kikatiba kuchagua viongozi wetu kati Makundi matatu nayo ni urais ubunge na udiwani.
Katika uchaguzi huo tulishudia kuwa ni moja ya uchuguzi wa ushindani kuwai kutokea maana tulishuhudia vyama takribani kumi vikijinasibu kwenye ngazi ya urasi Ila tulishuhudia vyama vinavyo unda UKAWA na CCM vikiwa vina mvuto mbele ya hadhila na hiyo yote ilitokana na kusimamisha wagombea wenye haiba na mvuto mbele ya jamii UKAWA walimsimamisha Lowassa Edward huku CCM walimsimamisha Magufuli John.
Tumeshudia mengi baada ya uchaguzi yapo mazuri yapo mabaya
Swali Je unazani rais wa awamu ya 5 John Pombe Magufuli ameimarisha uchumi amedhohofisha uchumi au bado yup pale pale ?
Katika uchaguzi huo tulishudia kuwa ni moja ya uchuguzi wa ushindani kuwai kutokea maana tulishuhudia vyama takribani kumi vikijinasibu kwenye ngazi ya urasi Ila tulishuhudia vyama vinavyo unda UKAWA na CCM vikiwa vina mvuto mbele ya hadhila na hiyo yote ilitokana na kusimamisha wagombea wenye haiba na mvuto mbele ya jamii UKAWA walimsimamisha Lowassa Edward huku CCM walimsimamisha Magufuli John.
Tumeshudia mengi baada ya uchaguzi yapo mazuri yapo mabaya
Swali Je unazani rais wa awamu ya 5 John Pombe Magufuli ameimarisha uchumi amedhohofisha uchumi au bado yup pale pale ?