Mkwaruu Kombo-Tapa
Member
- Aug 1, 2020
- 62
- 60
Mm ni mwanaccm asili ila kwa uchambuzi wako juu Lusu tumeshafeli kwani kumbuka tumeshajisahau kunadi sera zetu na kuanza kucopy za upinzani issue ya Bima na m engine. Inainyesha hatukujiandaa au hatukujua kama upepo ungetuvumia vibaya kiasi cha kubaki kumjibu Lisu. Huku kazi ya Katibu Mku na Mwenezi hazijulikani. Kwa mfano Polepole amesahau kazi yake na kuamua Mc