Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,226
Jana niliishiwa nguvu kidogo baada ya kugundua kuwa bajeti iliyopita ya wizara ya uchukuzi utekelezaji wake haufiki ata 50% kwa mujibu wa kamati ya bunge.
Sasa najiuliza fedha ambazo zilizotengwa zilienda wapi na zimefanya nini?
I am sure kuna ufujaji apo.
Na mwaka huu tunaambiwa bajeti itakwenda as far as 15 trillion kuna haja ya kufanya tathmini ya bajeti iliyopita ili tujue tuliitekeleza kwa % ngapi then ambayo hayakutekelezwa yaingizwe kwa bajeti mpya!
Sasa najiuliza fedha ambazo zilizotengwa zilienda wapi na zimefanya nini?
I am sure kuna ufujaji apo.
Na mwaka huu tunaambiwa bajeti itakwenda as far as 15 trillion kuna haja ya kufanya tathmini ya bajeti iliyopita ili tujue tuliitekeleza kwa % ngapi then ambayo hayakutekelezwa yaingizwe kwa bajeti mpya!