utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,812
Tathmini na utafiti makini uliyofanywa kuhusu uchaguzi mdogo wa kuziba mapengo ya madiwani mbalimbali unaoendelea hivi sasa nchini ni kwamba, CCM itazoa kata nyingi kuliko vyama vingine huku ikifuatiwa kwa mbaaali na CHADEMA halafu CUF na ACT.
Utafiti huo umebaini kuwa sababu zinazoipa CCM kushinda kata nyingi ni kasi ya utendaji kazi wa Rais Magufuli ambayo inawakonga nyoyo watanzania na hivyo kuwa na imani kubwa na chama hicho. mambo makubwa yaliyofanywa na serikali ya CCM chini ya rais Magufuli ndani ya miaka hii miwili ni kutumbua majipu katika maeneo mbalimbali ya utumishi wa umma, kukomesha ufisadi na rushwa, kuziba mianya ya uvujaji rasilimali za nchi maeneo ya madini, kurudisha nidhamu ya utumishi wa umma na kusimamia ipasavyo falsafa ya hapa kazi tu.
Utafiti huo umebaini kuwa sababu zinazoipa CCM kushinda kata nyingi ni kasi ya utendaji kazi wa Rais Magufuli ambayo inawakonga nyoyo watanzania na hivyo kuwa na imani kubwa na chama hicho. mambo makubwa yaliyofanywa na serikali ya CCM chini ya rais Magufuli ndani ya miaka hii miwili ni kutumbua majipu katika maeneo mbalimbali ya utumishi wa umma, kukomesha ufisadi na rushwa, kuziba mianya ya uvujaji rasilimali za nchi maeneo ya madini, kurudisha nidhamu ya utumishi wa umma na kusimamia ipasavyo falsafa ya hapa kazi tu.