Tathmini uchaguzi mdogo udiwani;Kata nyingi kwenda CCM

utaifakwanza

JF-Expert Member
Feb 1, 2013
14,193
2,812
Tathmini na utafiti makini uliyofanywa kuhusu uchaguzi mdogo wa kuziba mapengo ya madiwani mbalimbali unaoendelea hivi sasa nchini ni kwamba, CCM itazoa kata nyingi kuliko vyama vingine huku ikifuatiwa kwa mbaaali na CHADEMA halafu CUF na ACT.
Utafiti huo umebaini kuwa sababu zinazoipa CCM kushinda kata nyingi ni kasi ya utendaji kazi wa Rais Magufuli ambayo inawakonga nyoyo watanzania na hivyo kuwa na imani kubwa na chama hicho. mambo makubwa yaliyofanywa na serikali ya CCM chini ya rais Magufuli ndani ya miaka hii miwili ni kutumbua majipu katika maeneo mbalimbali ya utumishi wa umma, kukomesha ufisadi na rushwa, kuziba mianya ya uvujaji rasilimali za nchi maeneo ya madini, kurudisha nidhamu ya utumishi wa umma na kusimamia ipasavyo falsafa ya hapa kazi tu.
 
Tathmini na utafiti makini uliyofanywa kuhusu uchaguzi mdogo wa kuziba mapengo ya madiwani mbalimbali unaoendelea hivi sasa nchini ni kwamba, CCM itazoa kata nyingi kuliko vyama vingine huku ikifuatiwa kwa mbaaali na CHADEMA halafu CUF na ACT.
Utafiti huo umebaini kuwa sababu zinazoipa CCM kushinda kata nyingi ni kasi ya utendaji kazi wa Rais Magufuli ambayo inawakonga nyoyo watanzania na hivyo kuwa na imani kubwa na chama hicho. mambo makubwa yaliyofanywa na serikali ya CCM chini ya rais Magufuli ndani ya miaka hii miwili ni kutumbua majipu katika maeneo mbalimbali ya utumishi wa umma, kukomesha ufisadi na rushwa, kuziba mianya ya uvujaji rasilimali za nchi maeneo ya madini, kurudisha nidhamu ya utumishi wa umma na kusimamia ipasavyo falsafa ya hapa kazi tu.
Endelea kupima upepo tu, Kimara wanawasubili kwa hamu tu ili muyajuwe machungu ya waliobomolewa nyumba zao.
 
Tathmini na utafiti makini uliyofanywa kuhusu uchaguzi mdogo wa kuziba mapengo ya madiwani mbalimbali unaoendelea hivi sasa nchini ni kwamba, CCM itazoa kata nyingi kuliko vyama vingine huku ikifuatiwa kwa mbaaali na CHADEMA halafu CUF na ACT.
Utafiti huo umebaini kuwa sababu zinazoipa CCM kushinda kata nyingi ni kasi ya utendaji kazi wa Rais Magufuli ambayo inawakonga nyoyo watanzania na hivyo kuwa na imani kubwa na chama hicho. mambo makubwa yaliyofanywa na serikali ya CCM chini ya rais Magufuli ndani ya miaka hii miwili ni kutumbua majipu katika maeneo mbalimbali ya utumishi wa umma, kukomesha ufisadi na rushwa, kuziba mianya ya uvujaji rasilimali za nchi maeneo ya madini, kurudisha nidhamu ya utumishi wa umma na kusimamia ipasavyo falsafa ya hapa kazi tu.

Tafiti gani hii hakuna figures, tupe statistics kwamba unayoyasema haya hapa. Unabwabwaja tu.
 
Acha porojo basii, miaka yote ccm huwa inazoa kata nyingi kuliko vyama vyingine katika chaguzi ndogo, hii inajulikana. Hayo masifa mengine ni ngonjera tu, eti kukomesha ufisadi na rushwa!
 
Ccm nadhani inaweza kushinda kata nyingi kweli lakini si kwa sababu hizo ulizozitaja mkuu.
Labda sana sana kwasababu ya goli la mkono na pia kuifanya Tbc kuwa kama yao kusifia mambo ya serikali hii na kwakuwa ina coverage kubwa kufanya wananchi wengi hususani wa vijijini kuamini hayo wanayoaminishwa.
Vinginevyo ngoja tusubiri tuone
 
Ccm nadhani inaweza kushinda kata nyingi kweli lakini si kwa sababu hizo ulizozitaja mkuu.
Labda sana sana kwasababu ya goli la mkono na pia kuifanya Tbc kuwa kama yao kusifia mambo ya serikali hii na kwakuwa ina coverage kubwa kufanya wananchi wengi hususani wa vijijini kuamini hayo wanayoaminishwa.
Vinginevyo ngoja tusubiri tuone
Wanachi wenye njaa wanaweza kuaminishwa na TBC kwamba wameshiba pilau la kuku?
 
Kama watatangazwa walioshinda na si WASHINDI basi kazi itakuwa pevu. Kikubwa wasimamizi wasiwe na hofu na wakumbuke majukumu yao bila uwoga. CCM tunashinda mara nyingi inajulikana....
 
Jambo jingine kubwa alilofanya Magufuli ni kuchota mabilioni ya fedha bila idhini ya Bunge kisha kwenda kujenga uwanja wa ndege huko kijijini kwao ambako hakuna hata mtu anayeweza kumudu gharama za usafiri wa ndege.
 
Tathmini na utafiti makini uliyofanywa kuhusu uchaguzi mdogo wa kuziba mapengo ya madiwani mbalimbali unaoendelea hivi sasa nchini ni kwamba, CCM itazoa kata nyingi kuliko vyama vingine huku ikifuatiwa kwa mbaaali na CHADEMA halafu CUF na ACT.
Utafiti huo umebaini kuwa sababu zinazoipa CCM kushinda kata nyingi ni kasi ya utendaji kazi wa Rais Magufuli ambayo inawakonga nyoyo watanzania na hivyo kuwa na imani kubwa na chama hicho. mambo makubwa yaliyofanywa na serikali ya CCM chini ya rais Magufuli ndani ya miaka hii miwili ni kutumbua majipu katika maeneo mbalimbali ya utumishi wa umma, kukomesha ufisadi na rushwa, kuziba mianya ya uvujaji rasilimali za nchi maeneo ya madini, kurudisha nidhamu ya utumishi wa umma na kusimamia ipasavyo falsafa ya hapa kazi tu.
Kama kweli umefanya utafiti basi wewe ni kanjanja, haihitaji utafiti kujua CCM itashinda kata 37 na UKAWA 6!!
 
Tathmini na utafiti makini uliyofanywa kuhusu uchaguzi mdogo wa kuziba mapengo ya madiwani mbalimbali unaoendelea hivi sasa nchini ni kwamba, CCM itazoa kata nyingi kuliko vyama vingine huku ikifuatiwa kwa mbaaali na CHADEMA halafu CUF na ACT.
Utafiti huo umebaini kuwa sababu zinazoipa CCM kushinda kata nyingi ni kasi ya utendaji kazi wa Rais Magufuli ambayo inawakonga nyoyo watanzania na hivyo kuwa na imani kubwa na chama hicho. mambo makubwa yaliyofanywa na serikali ya CCM chini ya rais Magufuli ndani ya miaka hii miwili ni kutumbua majipu katika maeneo mbalimbali ya utumishi wa umma, kukomesha ufisadi na rushwa, kuziba mianya ya uvujaji rasilimali za nchi maeneo ya madini, kurudisha nidhamu ya utumishi wa umma na kusimamia ipasavyo falsafa ya hapa kazi tu.

UJINGA ULIOTUKUKA, FANYA NAMNA YA KUPIGA KURA HAPA UTAPATA MAJIBU, KUANGUKA KWA CCM NI UTENDAJI WA MWENYEKITI WAO, OPPOSITE IS TRUE!
 
Tathmini na utafiti makini uliyofanywa kuhusu uchaguzi mdogo wa kuziba mapengo ya madiwani mbalimbali unaoendelea hivi sasa nchini ni kwamba, CCM itazoa kata nyingi kuliko vyama vingine huku ikifuatiwa kwa mbaaali na CHADEMA halafu CUF na ACT.
Utafiti huo umebaini kuwa sababu zinazoipa CCM kushinda kata nyingi ni kasi ya utendaji kazi wa Rais Magufuli ambayo inawakonga nyoyo watanzania na hivyo kuwa na imani kubwa na chama hicho. mambo makubwa yaliyofanywa na serikali ya CCM chini ya rais Magufuli ndani ya miaka hii miwili ni kutumbua majipu katika maeneo mbalimbali ya utumishi wa umma, kukomesha ufisadi na rushwa, kuziba mianya ya uvujaji rasilimali za nchi maeneo ya madini, kurudisha nidhamu ya utumishi wa umma na kusimamia ipasavyo falsafa ya hapa kazi tu.
Yaani magufuli kwa miaka miwili ametuaminisha kuwa mafisadi ni seth,rugemalila,na viongozi wa club ya simba na hakuna kiongozi yeyote wa ccm aliyewahi kujihusisha na ufisadi toka tupate uhuru.
Ccm hoiyeee
 
Endelea kupima upepo tu, Kimara wanawasubili kwa hamu tu ili muyajuwe machungu ya waliobomolewa nyumba zao.
Kimara hata kabla ya kuvunjiwa sidhani kama waliwahi kuwa watu wa CCM kwa hiyo hakuna la ajabu wakiendelea na msimamo wao
 
Yaani bila ya kujipendekeza huwezi kuwa mwana CCM bora! Hapa Iringa inawezekana CCM ikapigwa mbili bila, sijui kwingine.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom