Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,837
- 93,610
Nchi ni mali binafsi ya mtuHawa waliojimilkisha nchi ni lazima kufika mahali tuwafahamishe wenye meno la mwisho ni sisi si wao.
Nchi ni mali binafsi ya mtuHawa waliojimilkisha nchi ni lazima kufika mahali tuwafahamishe wenye meno la mwisho ni sisi si wao.
Furaha imerejea. Tabasamu Kila mahaliUnadhani ofisi ya DPP mko wenyewe tu? Mnadhani polisi ni ninyi peke yenu?
Mnadhani ziwa Victoria limekauka? Au mnadhani Ruvu kumekauka au maji wamekunywa maji?
Vaeni kombati na hata bukta kabisa. Ila tulipo subirini kidogo hatuko mbali sana.