Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
jibu la swali hilo ni "ndio anachukua posho" mitusi ya nn?
mbona mnapenda kusema mnatukanwa wakati mnaambiwa ukweli
jibu la swali hilo ni "ndio anachukua posho" mitusi ya nn?
HUNA JINGINE LA KUZUNGUMZIA? kila siku ni hilihili 2Vp alizungumza kama anachukua posho au hachukui?
Asante kwaushauri wako ila kwasasa ninacho weza kukushauri wewe kwanza acha kumbambikizia Lema ahadi ambazo sizake kwani kujenga barabara nikazi ya mbunge au alimashauri embu kabla hauja andika upupu wako uliza kwanza usijifanye mwelewa kumbe buree kabisaaa mnapenda kufuatilia maisha ya LEMA sana acheni hizo
Acha kuhamaki hakuna anamfutilia Lema maisha yake, kama kaamua kuwa mbunge lazima wananchi wahoji ahadi zake alizoahidi kwa wananchi..
Hivi wewe kuhoji ahadi za JK ni kumfutalia maisha yake?
Tatizo la pro-Chadema JF, kazi yao kusifia tu chochote kinachafanywa na Chadema hata kama ni pumba za mashudu.
Wewe unataka JF wote tuwe mateka wa Chadema?
Acha kuhamaki hakuna anamfutilia Lema maisha yake, kama kaamua kuwa mbunge lazima wananchi wahoji ahadi zake alizoahidi kwa wananchi..
Hivi wewe kuhoji ahadi za JK ni kumfutalia maisha yake?
Tatizo la pro-Chadema JF, kazi yao kusifia tu chochote kinachafanywa na Chadema hata kama ni pumba za mashudu.
Wewe unataka JF wote tuwe mateka wa Chadema?
Hivi kusomesha watoto yatima kwenye shule za kata tena kwa kusaidiwa na na wafadhili unaweza kujisifia kweli? Mbona Kafulila anasomesha watoto 300, Vick Kamata anasomesha watoto 400.
Shule za kata kila mtu anaweza kusomesha ada ya mtoto mmoja ni 1500 x 400=600.000 tu