Uwezo wako wa kufikiri umefika mwisho? Kipimo cha umbumbumbu juha hapa JF huwa ni kuisengenya ID ya JF ambayo haitokani na ubatizo msikitini wala kanisani, wewe Mbona ID yako ni ya kishamba tena kibwege lakini hatuhangaiki nayo tmekomaa na Hoja, acha ufala wako lete Hoja tusikie? Kama huna hoja endelea kuvuta Bangi hapa gheto kwa cyprian Musiba mpaka wakupe mimba, waachie CCM wenzako twende nao wewe tayari umefeli huna lolote.😃😃😃😃
Punguza hasira.. nenda hata ukaazime za manki.. ili uelewe.. ufurahie.. barabara/Anga.. uchumi wa kati.. oyeeeeee
Lia kabisa na minyoo yako inayokutafuna.. pokea hizi juu💉💉💉💉..
Magufuli 2020💯
Mkuu upo serious kwamba huu mwandiko ni wako na uliujifunzia shulen, au ndo elimu ya ngumbaru ambao n mtaji mkubwa kwa ccm?Unayandika huku wewe hadi uji wa bure.. CCM wamekunywesha.. ukoo wako wote umesomeshwa nao.. uliongoza wewe.. unayetamani uwe na mwanya wa kuoba fedha tena. tuliza boli.. jibu hoja.. ati kusoma.. 😃😃😃.. ukijua pale nimekusoma wapi.. si utalia kabisaaa.. jibu hoja.. CCM ni BABA LAO.. kwa Magufuli kuiongoza ipo juu..
M
Mkuu upo serious kwamba huu mwandiko ni wako na uliujifunzia shulen, au ndo elimu ya ngumbaru ambao n mtaji mkubwa kwa ccm?
Hongera umeongea point ya ukweliMagufuli anatumia pesa zake binafsi kuleta maendeleo au anatumia pesa za walipa kodi? Walipa kodi siyo CCM ni watanzania wengi ambao siyo wapenzi wa CCM iweje CCM mnatumia pesa zao kwenye miradi ya kifisadi?