Sina shaka na hili kuwa kwa kila anayemfahmu na aliyemfahamu Polepole kabla ya kuteuliwa kuwa mkuu Wa wilaya mnamo mwaka huu, basi atakubaliana na Mimi kuwa mwenzetu kwa sasa hana amani kabisa ingawa amekabidhiwa cheo kikubwa.
Polepole hakuwa MTU Wa namna alivyo kwa sasa ambapo anaonekana kama kuna kitu hakimpendezi nafsini mwake. Hali hii inaweza kupelekea utendaji hafifu katika nafasi yake.
Wanasaikolojia na wachambuzi wa mambo tusaidieni kudadafua hali inayopelekea mwenzetu kuwa katika aliyonayo kwa sasa
Polepole hakuwa MTU Wa namna alivyo kwa sasa ambapo anaonekana kama kuna kitu hakimpendezi nafsini mwake. Hali hii inaweza kupelekea utendaji hafifu katika nafasi yake.
Wanasaikolojia na wachambuzi wa mambo tusaidieni kudadafua hali inayopelekea mwenzetu kuwa katika aliyonayo kwa sasa