Mpaka kufikia jana usiku tathmini ya kampeni kutoka kwa makada wa CCM walioko mkoani Arusha na Manyara kwenye kata Saba zinazotegemea kufanya uchaguzi kesho Jumapili(16/6/2013) zinaonyesha hali ya kisiasa bado si nzuri kwa chama changu cha CCM.
Ifuatayo ni tathmini fupi ya hali ya mambo ilivyo kwa CCM kwa kuzingatia mwitikio ulivyo na mategemeo yalivyo (Hii ni
kwa mujibu wa taarifa zilizovuja kutoka katika kikao cha tathmini ya kampeni za CCM jana)
KALOLENI-29%
THEMI-27%
ELERAI-27%
KIMANDOLU-28%
MAKUYUNI-41%
BASHANET-34%
DONGOBESH-32%
More updates to come....
Ifuatayo ni tathmini fupi ya hali ya mambo ilivyo kwa CCM kwa kuzingatia mwitikio ulivyo na mategemeo yalivyo (Hii ni
kwa mujibu wa taarifa zilizovuja kutoka katika kikao cha tathmini ya kampeni za CCM jana)
KALOLENI-29%
THEMI-27%
ELERAI-27%
KIMANDOLU-28%
MAKUYUNI-41%
BASHANET-34%
DONGOBESH-32%
More updates to come....