WISTON MWINUKA
Member
- Apr 29, 2012
- 81
- 4
Habari zenu WATANZANIA wenzangu!Leo napenda kuwaombeni wenzangu katika majimbo mbalimbali mnijulishe utekelezaji wa ahadi walizozitoa waheshimiwa wabunge wetu wakati wa uchaguzi kama zimeanza kutekelezwa na kwa kiasi gani?Nitafurahi sana kama wana JF wamajimbo mbalimbali ya uchaguzi hapa nchini watachangia ili tuweze pata takwimu vizuri.Naomba kuwasilisha.