Tathimini Ya show Ya Diamond Dar na Iringa

ESPRESSO COFFEE

JF-Expert Member
Sep 6, 2014
6,170
7,660
Najua wengi mlikuwa Mkisubiri hili jwa hamu kujua tadhimini nzima ya show mbili za Diamond na Team nzima ya Wasafi zilizo Fanyika Iringa na Dar! Sasa leo nimekuleteeni tathimini ya show zote mbili alizo Fanya Diamond!

Kabla sijatoa tathimini nzima naomba ifahamike hizi show zote mbili za Diamond zilikuwa na Mdhamini mkubwa ambaye ni VODACOM huyu amedhamini show zote mbili Dar na Iringa hadi kupelekea show Hiyo kuitwa VODACOM WASAFI BEACH FESTIVAL!

Kama unajua kadhi ya mdhamini basi ujue hicho ndicho walicho Fanya Vodacom moja ya Kazi yao kubwa ni KUANDAA NA KUTEKELEZA MATAYATISHO YOTE YA SHOW ZOTE MBILI.....kuanzia stage na kuwalipa wote walio husika kwa namna moja au nyengine ikiwa ni pamoja na malipo ya wasanii wote walio toka nje ya Tanzania chini ya SALLAM,NA BABU Tale,

Malipo ya matangazo yote ikiwa ni pamoja na kuwalipa Clouds Fm na Ebony Fm walio husika katika kutangaza hii show Dar na Iringa!,Kusafirisha na kulipia sehemu ambazo show itafika na wahusika kama vile kulipia Jangwani na Samora! ....

Kwa kuwa Diamond ndie alie na Mkataba na Vodacom huenda pia vodacom ilihusika kuwalipa Harmonize,Rich Mavoko,Rayvanny na Queen Darling (JAPO KWA HILI SINA UHAKIKA SANAA ILA MSININUKUU VIBAYA)

Kifupi katika tathimini ninayo ileta Pesa Iliyo patikana ni itaingia moja kwa moja Katika Lebal ya WCB na Itafuata mkataba unavo sema kwa ma meneja!

Tukianzia na Dar Diamond aliingiza Mashabiki zaidi ya 3000 ikiwa sehemu waliyo iindaa ilikuwa na uwezo wa kuchukua watu 1500 hivyo waliingia Mara mbili ya Mategemeo Yao! Na kulikuwa na Tiketi za aina mbili kawaida na VIP.......Tukianza na Kawaida ambayo kiingilio kilikuwa 30,000 waliuza tiketi zaidi ya 2,800

Sasa chukua 2,800+×30,000= Millioni 84+

Kwa VIP waliuza Tiketi 200+ ambapo kila tiketi iliuzwa kwa shilingi 100,000

Sasa chukua 200+x100,000=Millioni 20+

Kwa Dar Jumla ni sh.Millioni 104+

Baada ya Hapo ni Alienda kufanya Show Iringa! Iringa alifanikiwa kuingiza watu 9,000+ kwa kiingilio cha sh 10,000

Sasa chukua 9,000+×10,000=Millioni 90+

Sasa chukua Millioni 104+ + Millioni 90+ =Millioni 194+

Hiyo hela ni kaingiza kwa Siku mbili Tuu!

Kifupi hiyo ndiyo tathimini ya haraka haraka sasa kaaa wewe na Nafsi yako jiulize Ni msanii gani mwingine Tanzania hii anaweza kufanya hivyo? Ifike muda anae Jua apewe heshima yake!

Wasanii wengine waangalie Mikataba ya kuingia..watu walimlaumu Diamond kwa kutokushiriki Fiesta kwa kuwa na Mkataba na Vodacom sasa nafikiri sasa mnaelewa maana ya mkataba alio ingia nao na manufaa anayo yapata! Imagine bila vodacom Diamond hizo millioni 104+ angezigawa vipi?

Sasa kupitia Vodacom wanataka kuzindua Wasafi Festival Ambayo watazunguka mikoa 10 Tanzania wakiaanza na Dar tarehe 14 Feb! Wakiwa na Vodacom means hiyo itakuwa ni zaidi ya Fiesta!

Hiyo Tathimini

DANYA nawasilisha!
 
Najua wengi mlikuwa Mkisubiri hili jwa hamu kujua tadhimini nzima ya show mbili za Diamond na Team nzima ya Wasafi zilizo Fanyika Iringa na Dar! Sasa leo nimekuleteeni tathimini ya show zote mbili alizo Fanya Diamond!

Kabla sijatoa tathimini nzima naomba ifahamike hizi show zote mbili za Diamond zilikuwa na Mdhamini mkubwa ambaye ni VODACOM huyu amedhamini show zote mbili Dar na Iringa hadi kupelekea show Hiyo kuitwa VODACOM WASAFI BEACH FESTIVAL! Kama unajua kadhi ya mdhamini basi ujue hicho ndicho walicho Fanya Vodacom moja ya Kazi yao kubwa ni KUANDAA NA KUTEKELEZA MATAYATISHO YOTE YA SHOW ZOTE MBILI.....kuanzia stage na kuwalipa wote walio husika kwa namna moja au nyengine ikiwa ni pamoja na malipo ya wasanii wote walio toka nje ya Tanzania chini ya SALLAM,NA BABU Tale,Malipo ya matangazo yote ikiwa ni pamoja na kuwalipa Clouds Fm na Ebony Fm walio husika katika kutangaza hii show Dar na Iringa!,Kusafirisha na kulipia sehemu ambazo show itafika na wahusika kama vile kulipia Jangwani na Samora! .... Kwa kuwa Diamond ndie alie na Mkataba na Vodacom huenda pia vodacom ilihusika kuwalipa Harmonize,Rich Mavoko,Rayvanny na Queen Darling (JAPO KWA HILI SINA UHAKIKA SANAA ILA MSININUKUU VIBAYA)

Kifupi katika tathimini ninayo ileta Pesa Iliyo patikana ni itaingia moja kwa moja Katika Lebal ya WCB na Itafuata mkataba unavo sema kwa ma meneja!

Tukianzia na Dar Diamond aliingiza Mashabiki zaidi ya 3000 ikiwa sehemu waliyo iindaa ilikuwa na uwezo wa kuchukua watu 1500 hivyo waliingia Mara mbili ya Mategemeo Yao! Na kulikuwa na Tiketi za aina mbili kawaida na VIP.......Tukianza na Kawaida ambayo kiingilio kilikuwa 30,000 waliuza tiketi zaidi ya 2,800

Sasa chukua 2,800+×30,000= Millioni 84+

Kwa VIP waliuza Tiketi 200+ ambapo kila tiketi iliuzwa kwa shilingi 100,000

Sasa chukua 200+x100,000=Millioni 20+

Kwa Dar Jumla ni sh.Millioni 104+

Baada ya Hapo ni Alienda kufanya Show Iringa! Iringa alifanikiwa kuingiza watu 9,000+ kwa kiingilio cha sh 10,000

Sasa chukua 9,000+×10,000=Millioni 90+

Sasa chukua Millioni 104+ + Millioni 90+ =Millioni 194+

Hiyo hela ni kaingiza kwa Siku mbili Tuu!

Kifupi hiyo ndiyo tathimini ya haraka haraka sasa kaaa wewe na Nafsi yako jiulize Ni msanii gani mwingine Tanzania hii anaweza kufanya hivyo? Ifike muda anae Jua apewe heshima yake!

Wasanii wengine waangalie Mikataba ya kuingia..watu walimlaumu Diamond kwa kutokushiriki Fiesta kwa kuwa na Mkataba na Vodacom sasa nafikiri sasa mnaelewa maana ya mkataba alio ingia nao na manufaa anayo yapata! Imagine bila vodacom Diamond hizo millioni 104+ angezigawa vipi?

Sasa kupitia Vodacom wanataka kuzindua Wasafi Festival Ambayo watazunguka mikoa 10 Tanzania wakiaanza na Dar tarehe 14 Feb! Wakiwa na Vodacom means hiyo itakuwa ni zaidi ya Fiesta!

Hiyo Tathimini

DANYA nawasilisha!
Hayo ni maelezo tunahitaji ushahidi, no data no right to speak.
 
Kwa nyongeza tu... hivi ndivyo entertainment business inavyoenda! Ukiwa msanii ukaingia kwenye mkataba wowote wakati hujui utapata nini na utapoteza nini na compensation ya unachopoteza itakuwa vipi... basi hesabu umeumia!

Usipofahamu hilo, ndipo pale utasikia Mzee Mutta (wa FM) ni mtu wa dhuluma... kumbe tatizo sio Mzee Mutta bali watu walioingia Mkataba na Mutta hawakufahamu watapata nini na watapoteza nini!!!

Pole sana Saida Karoli, ulikuwa na watu wasiofahamu haya mambo yanaendaje!!!

Mkataba wa Diamond na Vodacom as brand ambassador tayari ulishaingiza mgongano wa kimaslahi kwa shughuli zote ambazo zingefanywa na Washindani wa kibiashara wa Vodacom.

Case study hapa ni Fiesta!

Kwavile Fiesta mwaka huu ilidhaminiwa na Tigo; tayari ilishaleta mgongano wa kimaslahi kwa Diamond kwa kuwa Tigo ni mshindani wa Vodacom!!!

But Diamond nae muziki ndio kazi yake... sasa kama asishiriki Fiesta kwavile tu mdhamini ni mshindani wa kibiashara wa Vodacom... what next?! Nami nazitaka pesa za Fiesta halafu wewe unaniambia nisishiriki!

Jibu ni very simple: Tunakuandalia show ya kwako! Unakosa Fiesta na pesa zake unapata Vodacom Beach part na pesa zake!!

Tunapiga hatua kubwa hivi sasa kwenye tasnia ya burudani na kwa hilo ni wakati sasa wa kuwa na entertainment lawyers vinginevyo wasanii wataendelea kukosa haki zao nyingi sana huku wenyewe wakidhani wanapiga pesa!
 
Uongo
Kila alie ingia pale Jangwani ukimuuliza wale watu hawakufika hiyo idadi uliyosema
Hata Diamond anajua hivo
 
Kwa nyongeza tu... hivi ndivyo entertainment business inavyoenda! Ukiwa msanii ukaingia kwenye mkataba wowote wakati hujui unapata nini na unakosa nini... hesabu umekwisha!

Usipofahamu hilo, ndipo pale utasikia Mzee Mutta (wa FM) ni mtu wa dhuluma... kumbe tatizo sio Mzee Mutta bali watu walioingia Mkataba na Mutta hawakufahamu wanapata nini na watakosa nini!!!

Pole sana Saida Karoli, ulikuwa na watu wasiofahamu haya mambo yanaendaje!!!

Mkataba wa Diamond na Vodacom as brand ambassador tayari ulishaingiza mgongano wa kimaslahi kwa shughuli zote ambazo zingefanywa na Washindani wa kibiashara wa Vodacom.

Case study hapa ni Fiesta!

Kwavile Fiesta mwaka huu ilidhaminiwa na Tigo; tayari ilishaleta mgongano wa kimaslahi kwa Diamond kwa kuwa Tigo ni mshindani wa Vodacom!!!

But Diamond nae muziki ndio kazi yake... sasa kama asishiriki Fiesta kwavile tu mdhamini ni mshindani wa kibiashara wa Vodacom... what next?! Nami nazitaka pesa za Fiesta halafu wewe unaniambia nisishiriki!

Jibu ni very simple: Tunakuandalia show ya kwako! Unakosa Fiesta na pesa zake unapata Vodacom Beach part na pesa zake!!

Tunapiga hatua kubwa hivi sasa kwenye tasnia ya burudani na kwa hilo ni wakati sasa wa kuwa na entertainment lawyers vinginevyo wasanii wataendelea kukosa haki zao nyingi sana huku wenyewe wakidhani wanapiga pesa!
GREAT THINKER!
 
Kwa nyongeza tu... hivi ndivyo entertainment business inavyoenda! Ukiwa msanii ukaingia kwenye mkataba wowote wakati hujui unapata nini na unakosa nini... hesabu umekwisha!

Usipofahamu hilo, ndipo pale utasikia Mzee Mutta (wa FM) ni mtu wa dhuluma... kumbe tatizo sio Mzee Mutta bali watu walioingia Mkataba na Mutta hawakufahamu wanapata nini na watakosa nini!!!

Pole sana Saida Karoli, ulikuwa na watu wasiofahamu haya mambo yanaendaje!!!

Mkataba wa Diamond na Vodacom as brand ambassador tayari ulishaingiza mgongano wa kimaslahi kwa shughuli zote ambazo zingefanywa na Washindani wa kibiashara wa Vodacom.

Case study hapa ni Fiesta!

Kwavile Fiesta mwaka huu ilidhaminiwa na Tigo; tayari ilishaleta mgongano wa kimaslahi kwa Diamond kwa kuwa Tigo ni mshindani wa Vodacom!!!

But Diamond nae muziki ndio kazi yake... sasa kama asishiriki Fiesta kwavile tu mdhamini ni mshindani wa kibiashara wa Vodacom... what next?! Nami nazitaka pesa za Fiesta halafu wewe unaniambia nisishiriki!

Jibu ni very simple: Tunakuandalia show ya kwako! Unakosa Fiesta na pesa zake unapata Vodacom Beach part na pesa zake!!

Tunapiga hatua kubwa hivi sasa kwenye tasnia ya burudani na kwa hilo ni wakati sasa wa kuwa na entertainment lawyers vinginevyo wasanii wataendelea kukosa haki zao nyingi sana huku wenyewe wakidhani wanapiga pesa!
umeitendea haki elimu yako!hongera yako!
 
Najua wengi mlikuwa Mkisubiri hili jwa hamu kujua tadhimini nzima ya show mbili za Diamond na Team nzima ya Wasafi zilizo Fanyika Iringa na Dar! Sasa leo nimekuleteeni tathimini ya show zote mbili alizo Fanya Diamond!

Kabla sijatoa tathimini nzima naomba ifahamike hizi show zote mbili za Diamond zilikuwa na Mdhamini mkubwa ambaye ni VODACOM huyu amedhamini show zote mbili Dar na Iringa hadi kupelekea show Hiyo kuitwa VODACOM WASAFI BEACH FESTIVAL! Kama unajua kadhi ya mdhamini basi ujue hicho ndicho walicho Fanya Vodacom moja ya Kazi yao kubwa ni KUANDAA NA KUTEKELEZA MATAYATISHO YOTE YA SHOW ZOTE MBILI.....kuanzia stage na kuwalipa wote walio husika kwa namna moja au nyengine ikiwa ni pamoja na malipo ya wasanii wote walio toka nje ya Tanzania chini ya SALLAM,NA BABU Tale,Malipo ya matangazo yote ikiwa ni pamoja na kuwalipa Clouds Fm na Ebony Fm walio husika katika kutangaza hii show Dar na Iringa!,Kusafirisha na kulipia sehemu ambazo show itafika na wahusika kama vile kulipia Jangwani na Samora! .... Kwa kuwa Diamond ndie alie na Mkataba na Vodacom huenda pia vodacom ilihusika kuwalipa Harmonize,Rich Mavoko,Rayvanny na Queen Darling (JAPO KWA HILI SINA UHAKIKA SANAA ILA MSININUKUU VIBAYA)

Kifupi katika tathimini ninayo ileta Pesa Iliyo patikana ni itaingia moja kwa moja Katika Lebal ya WCB na Itafuata mkataba unavo sema kwa ma meneja!

Tukianzia na Dar Diamond aliingiza Mashabiki zaidi ya 3000 ikiwa sehemu waliyo iindaa ilikuwa na uwezo wa kuchukua watu 1500 hivyo waliingia Mara mbili ya Mategemeo Yao! Na kulikuwa na Tiketi za aina mbili kawaida na VIP.......Tukianza na Kawaida ambayo kiingilio kilikuwa 30,000 waliuza tiketi zaidi ya 2,800

Sasa chukua 2,800+×30,000= Millioni 84+

Kwa VIP waliuza Tiketi 200+ ambapo kila tiketi iliuzwa kwa shilingi 100,000

Sasa chukua 200+x100,000=Millioni 20+

Kwa Dar Jumla ni sh.Millioni 104+

Baada ya Hapo ni Alienda kufanya Show Iringa! Iringa alifanikiwa kuingiza watu 9,000+ kwa kiingilio cha sh 10,000

Sasa chukua 9,000+×10,000=Millioni 90+

Sasa chukua Millioni 104+ + Millioni 90+ =Millioni 194+

Hiyo hela ni kaingiza kwa Siku mbili Tuu!

Kifupi hiyo ndiyo tathimini ya haraka haraka sasa kaaa wewe na Nafsi yako jiulize Ni msanii gani mwingine Tanzania hii anaweza kufanya hivyo? Ifike muda anae Jua apewe heshima yake!

Wasanii wengine waangalie Mikataba ya kuingia..watu walimlaumu Diamond kwa kutokushiriki Fiesta kwa kuwa na Mkataba na Vodacom sasa nafikiri sasa mnaelewa maana ya mkataba alio ingia nao na manufaa anayo yapata! Imagine bila vodacom Diamond hizo millioni 104+ angezigawa vipi?

Sasa kupitia Vodacom wanataka kuzindua Wasafi Festival Ambayo watazunguka mikoa 10 Tanzania wakiaanza na Dar tarehe 14 Feb! Wakiwa na Vodacom means hiyo itakuwa ni zaidi ya Fiesta!

Hiyo Tathimini

DANYA nawasilisha!
Kwa walioiñgía samora ñi watu 10000
Hesabu hivi 10000x10000=100,000,000 hizi pesa anaechukua ni voda au diamond
 
25 Reactions
Reply
Back
Top Bottom