kutokana na na kwamba tayari amesharipoti katika mamlaka husika juu ya kutishiwa usalama wake hata kabla kampeni zake hazijaanza, ni dhahiri sasa mtu huyu atalazimika kupewa ulinzi mkali katika kampeni zake za kuzunguka nchi nzima akieneza kampeni ya MAGUFULI BAKI. Je gharama za ulinzi zitatolewa na yeye mwwnyewe au atalazimika kupewa support na chama au serikali?