Tate nane!!: Hata Sierral Leone?

Tanzania tunatakiwa tufanye mabadiliko makubwa kadhaa ili tujinasue:

(a) Tufupishe kipindi cha serikali kutoka miaka mitano hadi miaka mitatu (Kama Australia).


Kanchi maskini hakana kako s almost nature hakawezi kufanya uchaguzi kila kukicha na uslow we utachagua utawala by time semina elekezi zinaisha uvhaguzi mwingine
(b) Tuunde tume huru ya utumishi (Civil Service Comission) yenye kukaa madarakani miaka mitatu tu. Kazi yake iiwe ni kusimamia ajira za kitaalamu serikalini.



Hili la tume poa lakinililisha ongelewa na linakuja
(c) Tumpunguzie madaraka rais wetu; asiteue watu wengi sana
(d) Tutenganishe kabisa vitengo vye serikali: utendaji, bunge na mahakama.

(e) Tuwe na utaratibu wa wazi kabisa wa kuwavua madaraka wabunge na rais anayeonyesha kushindwa kutimiza majukumu yake hata kabla ya kipindi chake kuisha.


....... na mengineyo mengi.


second
 
Ondoa kwanza CCM madarakani halafu hayo mengine yatajipa yenyewe......

Mambo matatu ya kufanya ili tusonge mbele

1. Ondoa kwanza CCM madarakani

2. Ondoa kwanza CCM madarakani

3. Ondoa kwanza CCM madarakani

Tusipokiondoa hichi kigingi, hatuendi mbele....
 
Unafikiri bila CCM madarakani Tanzania inaweza kutawalika kwa amani, umoja, na mshikamano?
 
Unafikiri bila CCM madarakani Tanzania inaweza kutawalika kwa amani, umoja, na mshikamano?

Kama itakuwa imeondolewa kwa amani (kiuchaguzi), ndiyo Tanzania inaweza kutawaliwa kwa amani. Umoja na mshikamano ni components za amani.

Lakini kama kinaondolewa kwa njia nyingine... hilo nitaishia kulihisi tu lisitokee...


SteveD.
 
Back
Top Bottom