Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 55,779
- 90,505
watu walitaka lile jimbo kwanza mambo mengine baadae acha kujambajamba.ushauri na hoja nzuri sana
uchaguzi mkuu huwa unafanyika siku 1 sasa itakuwaje,inatakiwa chadema wajipange
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
watu walitaka lile jimbo kwanza mambo mengine baadae acha kujambajamba.ushauri na hoja nzuri sana
uchaguzi mkuu huwa unafanyika siku 1 sasa itakuwaje,inatakiwa chadema wajipange
Wewe ndiyo unaandika bila kuelewa hata hoja unayoichambua, inawezekana unasoma andiko lingine!.Ndio maana nakuambia wewe hujui kitu ni mpiga porojo tu wa kwenye keyboard, uchaguzi wa madiwani ufanyika pamoja na wa Rais acha porojo.
Kama mimi ni mnafiki, wewe ni nani?.
Ungechambua na kuonyesha unafiki wangu ndani ya hoja angalau ungewasaidia watakao soma andiko lako, kinyume cha hivyo, utaonekana ni debe tupu.
Ni kweli mazingira ya chaguzi ndogo ni tofauti na chaguzi kuu lakini zoezi zima la uchaguzi katika chaguzi ndogo kwa kiwango kikubwa linatoa akisi la zoezi zima la uchaguzi mkuu.Mazingira ya chaguzi ndogo ni tofauti kabisa na mazingira wakati chaguzi kuu zinapofanyika !
Vyama kwa ujumla huwa vinaconcentrate resources zake zote kwenye chaguzi hizi kwani hakuna chaguzi nyingine katika sehemu nyingine. Viongozi wa kitaifa wa vyama na viongozi wengine kama wabunge wanakuwa kwa wingi sana kwenye chaguzi ndogo tofauti na wakati wa chaguzi kuu, kwani wakati wa chaguzi kuu kila mtu anaconcentrate kwenye eneo lake !
Tunarudi kwenye hoja ile ile ambayo ndiyo mzizi wa hoja yangu.Imagine kwa mfano kwa upande wa CDM wabunge karibia wote watakuwa Kalenga, pamoja na madiwani wengi tu pamoja na viongozi wengine wa kitaifa. Vile vile wabunge peke yao wamechanga million 98 kwa ajili ya kumpiga tafu Grace kwenye uchaguzi wa Kalenga !. Na ninakuhakikishia CCM resources zao (especially zile za kuhonga) zitakuwa kubwa mno ! Haya yote huwezi kuyakuta kwenye chaguzi kuu !
Chama hakiwezi kikawa na wanachama wanakiamini wakati chama hakiwaamini wanachama wake. Uhai wa chama unategemea sana kujengeka katika imani kati ya wanachama na viongozi kuanzia ngazi za kijiji mpaka taifa. Chama kinapaswa kiweke imani kwa wanachama wake ili wanachama waweze hata kuwashawishi wananchi wengine na kukiamini chama na katika kukiamini chama, ndiyo watakapo kipigia kura katika chaguzi mbali mbali za kitaifa.Wale wezi wa kura (either kwa kuiba au kuhonga) inakuwa rahisi kufanya kwenye chaguzi ndogo sababu eneo la concentration ni dogo, na kwa mfano wakitafuta hela kama billion 1 inaweza ikaleta impact kubwa sana tofauti na hata billion 10 kwenye chaguzi kuu !
Hivyo katika mazingira hayo, mbinu zinazotumika kwa kila Chama lazima ziwe tofauti. Kama chama kinahisi kitaibiwa kura au mawakala wake wanaweza wakanunuliwa, then inabidi kitafute watu ambao wana uelewa na uzalendo wa kushinda hayo majaribu !....Na kwa sababu kaeneo ka concentration ni kadogo Chama kinachotaka kuhonga kama kina resources kinaweza kikawahonga mawakala wengi tu kwa hela nyingi ambazo most of them wanaweza kujaribiwa na kununulika....
Huwa siamini hii dhana ya kusema mawakala wananunuliwa otherwise, chama kitakuwa kinaweka mawakala wa kuokota na siyo wanachama wanaokipenda na kukipigania chama.Hili la kununua mawakala linatokea sana ndugu yangu na Mbunge mmoja wa CCM alinithibitishia kwamba huwa wanafanya hivyo kunapokuwa na opportunity......Hivyo sioni ubaya wa CDM kufanya hivyo katika mazingira haya na sioni hilo linaweza kuwa problem kwa mwanachadema wa kweli !
Kwa hiyo CHADEMA wanamwaga watu Kalenga kwa vile CCM pia wamemwaga watu. Kwa hiyo CHADEMA wanachofanya ni copy & Paste ya mikakati ya CCM.Mleta mada kajiuliza kuwa,Kwa nini kalenga wamemwagwa policcm wengi kutoka mikoa ya jirani? Je 2015 watakuwepo kalenga ili kufanikisha wizi wa kura? Na je,kwa nini kuna greengard kibao toka maeneo ya jirani? Au wao ruksa ila nongwa ni kwa cdm tu? Jipange upya,njaa ya tumbo isikufanye mwe.hu!
Kwa hiyo CHADEMA wanamwaga watu Kalenga kwa vile CCM pia wamemwaga watu. Kwa hiyo CHADEMA wanachofanya ni copy & Paste ya mikakati ya CCM.
Nini tofauti yao na CCM kimkakati katika chaguzi nchini.
Kwa hiyo CHADEMA wanamwaga watu Kalenga kwa vile CCM pia wamemwaga watu. Kwa hiyo CHADEMA wanachofanya ni copy & Paste ya mikakati ya CCM.
Nini tofauti yao na CCM kimkakati katika chaguzi nchini.
Mkuu Ng'wamapalalaWewe ndiyo unaandika bila kuelewa hata hoja unayoichambua, inawezekana unasoma andiko lingine!.
Wapi nimesema uchaguzi wa Rais pamoja na madiwani unafanyika siku moja?.
uchaguzi upi wa madiwani unaousema , madiwani watachaguliwa mwakani wala sio kipindi hiki, mwaka huu kuna uchaguzi wa serikali za mitaanimejaribu kiangalia kwa mtazamo wa tanzania na siyo jimbo la kalenga pekee.
Kwa angalizo lako una maana training inafanyika pale kunapokuwa na uchaguzi!.
Kwa sasa kuna miezi tu kabla ya uchaguzi wa madiwani. Nani na muda gani atatoa training kwa zaidi ya kata 3000.
Haya bana, acha hiyo sindano iingie taratibu huku nikipiga kelele kama ilivyo mtazamo wako. Daktali makini akisikia kelele za mgonjwa wakati akimchoma sindano lazima atataka kufahamu kulikoni!.
Ni kweli mazingira ya chaguzi ndogo ni tofauti na chaguzi kuu lakini zoezi zima la uchaguzi katika chaguzi ndogo kwa kiwango kikubwa linatoa akisi la zoezi zima la uchaguzi mkuu.
Kama kuna maandalizi mazuri yanayochangiwa na mizizi ya chama katika maeneo hayo kuanzia katika kaya, haihitaji kuwa na timu nzima ya chama (viongozi wakuu) kufanya kampeni. Kukosekana kwa mizizi ya chama katika maeneo ya jimbo la uchaguzi lililowazi ndiyo kunasababisha chama kuwa reactive pale chaguzi ndogo zinapojitokeza katika majimbo la uchaguzi.
Tunarudi kwenye hoja ile ile ambayo ndiyo mzizi wa hoja yangu.
Kama hii ndiyo mikakati, watafanyaje wakati wa chaguzi katika majimbo ya uchaguzi zaidi ya 230 yanayofanya kampeni na uchaguzi kwa muda mmoja.
Mzizi wa hoja yangu ndiyo huu kwa sababu kama wananchi wa maeneo mengi hawawezi kuaminiwa na chama na kukabidhiwa kazi katika mchakato mzima wa uchaguzi, chama kitatoa wapi watu inaowaamini kwenda kwenye majimbo yote ya uchaguzi kusimamia zoezi la uchaguzi katika uchaguzi mkuu.
Chama hakiwezi kikawa na wanachama wanakiamini wakati chama hakiwaamini wanachama wake. Uhai wa chama unategemea sana kujengeka katika imani kati ya wanachama na viongozi kuanzia ngazi za kijiji mpaka taifa. Chama kinapaswa kiweke imani kwa wanachama wake ili wanachama waweze hata kuwashawishi wananchi wengine na kukiamini chama na katika kukiamini chama, ndiyo watakapo kipigia kura katika chaguzi mbali mbali za kitaifa.
Huwa siamini hii dhana ya kusema mawakala wananunuliwa otherwise, chama kitakuwa kinaweka mawakala wa kuokota na siyo wanachama wanaokipenda na kukipigania chama.
Hii hoja yako ina sadifu kile nilichokuwa ninakisema.
Maandalizi yanayofanyika mapema yanaweza kuondoa tatizo kama hili ambalo mzizi wake ni kukosa kuaminiana kati ya wanachama na viongozi wa chama. Kama chama hakifahamu hata wanachama wake ni rahisi sana kupata mamluki ambao wanadai ni wanachama lakini kiuhalisia siyo wanachama.
Chama kinapofahamu wanachama wake hata katika uchaguzi kinakuwa kinafahamu wastani wa kura ambazo kitapata kutoka kwa wanachama wake achilia mbali wananchi wengine.