Politely.....naona kama umekosea vile.Hoja yako ina mantiki kidogo ingawa ni lazima utambue kuwa wapinzani hawajawahi kuwa na impact yoyote kwa miaka mitano iliyopita. wao ilikuwa ni kupinga kila kitu, kutoka nje ya bunge, kutukana, kujijali wao wenyewe na matumbo yao.
Kazi zote zilifanywa na CCM na ndicho sasa wanakwenda kukifanya. Kipindi hiki tutarajie uchapa kazi uliotukuka na maendeleo chanya zaidi maana wapumbavu hawapo tena.