Entreprenuare
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,616
- 1,714
Ndio ipo hivyo duniani kote mtu mwenye uzoefu zaidi ni cheap leba
Ndio ipo hivyo duniani kote mtu mwenye uzoefu zaidi ni cheap leba
umenena vema kiongoziHata wewe ukikaa gereji kwa muda aliokaa huyo unaemuona hajasoma utakuwa mkali kuliko yeye na atakufuata umfundishe baadhi ya vitu kikubwa uvumilivu.
Wa shule wanachokosa ni uzoefu tu, ambao unapatikana baada ya kukaa field kwa kipindi fulani cha muda.
Msomi ni mtu anayeamini katika kutembea na bahasha yenye fotokopi ya vyeti vyakeKwanza Msomi ni nani?? Tuanzia hapa
Hahahah hilo nalo nenoGari halitengenezwi kwa Course work
Kwa maneno haya tu, una kila dalili ya kupenda ukubwa wa kazi! Ukiwa field jishushe.kama ni hivyo mkuu basi kuna maana gani ya kukaa chuoni miaka mitatu au minne na kusoma mikozi migumu na kulipia mamilioni ya ada halafu mwisho wa siku mtu asiye na elimu awe bora kuliko wewe
Ni kweli mkuu yan wange base kwenye practical sana mtu anakuambia ana master au degree muingize field utashangaa.Mimi binafsi natupia lawama kwenye huu mfumo wetu wa elimu.. kwa nini tunatumia muda mwingi na nguvu nyingi kusoma mambo ambayo tukienda mtaani hatuoni uhalisia wake? kwa nini tusiwekeze nguvu zaidi kwenye kujijengea uwezo wa kufanya kazi tukaachana na hizi theory ambazo hazina ulazima
lengo langu sio kuweka matabaka ya waliosoma na wasiosoma don't misquote me...Kitu ambacho mleta mada nimeshindwa kumuelewa ni tofauti ya msomi na ambaye si msomi. Navyofahamu mm kuna aina mbili za Elimu, elimu rasmi (formal education) ambayo mwisho wake mwanafunzi anakuwa certified na pia hutolewa na taasisi za elimu rasmi, na yapili ni informal isiyo rasmi ambayo mara nyingi sana huwa ni ya viyendo, na utolewa tu, kijana anaweza ipata kwenye workshop mfano gereji, kwa baba ake, mjomba... nk
Faida: ya aliepitia formal education ni kwamba anajirika, hii nikutokana na certification alizonazo tofauti na aliepitia elimu isiyo rasmi kwa ukakasi wa ajira unawezakuwa mingi
Lakini ikumbukwe kuwa Elimu zote hizi mbili lengo lako ni moja, nikubadilisha tabia (behaviour ) ya mwanafunzi. Yani tunategemea mabadiliko ya tabia yatokea kwenye utendaji na maisha ya mwanafunzi. Yaani na maana gani, kama mwanafuzi alikuwa hajui kufunga nut kwenye tairi la gari bas baadae ya masomo yake tabia yake ibadilike na aweze kufanya hivo
Basi moja kwa moja naomba kumpinga mleta mada, kwa kuweka matabaka ya wasomi na ambao si wasomi kwa maelezo yake. Kwan wote hawa niwasomo, sema tofauti iyopo nikwamba njia walizopita ni tofauti
Excellent 100% VETA na FDC wako vizuri mnoMimi huwa naona kwa mambo ya Ufundi usiende Xhuo Kikuu kasome VETA
lakini mimi nahisi hili tatizo lipo tu kwenye hizi nchi zetu... hivi hata huko kwa wazungu kweli kwamba na wenyewe hali itakua ni kama huKu?Kuna ukweli sana katika hili jambo lkn hili limechangiwa na jamii yetu kuwa na mtazamo wa kusoma na badae kuenda kuajiliwa ofisini tu huku tukisahau fursa zingine zaidi
Lkn pia kuna vitu unaweza kusoma au kukariri kama kizazi hiki kilivyo zoea lkn kwenye hii fani ya ufundi inahitaji kuelewa kwelikweli na sio kukariri sasa hapa ndio mshikemsike unaanza mtu anaenda na degree ya kukaririsha field lazima achemke