AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,078
Angali Hollywood, hawatishwi na piracy ya Wachina kwa kuwa wana uhakika wa kurudisha gharama zao
zote na kutengeneza faida maradufu. isitoshe kwenye tafiti zilizofanywa (kama ile iliyokuwa presented na
Bishop J. Hiluka; The Perspective of Film and Television Industry in Tanzania) zinaonesha kuwa
Tanzania ni nchi yenye kiwango nafuu sana Afrika katika uharamia huu wa kazi za sanaa, huku nchi tano
zinazoongoza katika Afrika kwa kiwango kikubwa cha uharamia wa kazi za sanaa zikiwa ni Nigeria,
Cameroon, Togo, Kenya, na Benin, na nchi zenye unafuu sana katika uharamia huu ni Afrika Kusini
(kwa sababu imerekebisha sana sheria zake ikilinganishwa na nchi nyingine za Afrika), Namibia,
Ghana, Tanzania na Zimbabwe.
WS katika post yako hii nimekubali about yoote uloongea na kukupata vizuri zaidi sasa... Lakini the above kipengele pauses a problem kwangu... Ukiizungumzia TZ kwa kufanananisha na nchi zingine katika issue ya Piracy ni wazi lazima wao wataonekana nafuu tokana na ukweli kua Piracy goes hand in hand na technology ambazo zina liquidate the whole complicated issue of piracing... hivyo in that sense naweza kubali.. BUT hata hivyo ukweli unabaki kua Piracy ni serious case in TZ for tunaona the way wasaniii kazi zao zinapokelewa positively na jamiii mpaka kukuza majina but the Matunda wanayo pata hio ndo issue... Katika watu 10 ambao nawafahamu woote waweza kua na kazi ya msanii fulani but alonunua the origina kazi ni 1 or 2.. huoni kama ilo ni tatizo saana, kwa msanii mwenyewe na the entertainment business??? Na bora hataa wa filamu a bit, but music... Hawa ndo huchakachuliwa to the maximum!