show me the way
Member
- Dec 10, 2020
- 32
- 78
Kama kichwa cha thread kinavyosema hili shirika la TASAF lilitoa nafasi za kazi katika kada mbalimbali toka mwezi juni tukaja kuitwa kwenye interview kupitia utumishi mwezi November.
Ila toka tulipofanya ile written na oral interview sasa huu unaenda mwezi wa 3 bilabila si utumishi wala tasaf wanaotoa majibu ya kueleweka jamani tuomba mtupe majibu yetu tujue tunapambana na mengine.. nawasilisha.
Ila toka tulipofanya ile written na oral interview sasa huu unaenda mwezi wa 3 bilabila si utumishi wala tasaf wanaotoa majibu ya kueleweka jamani tuomba mtupe majibu yetu tujue tunapambana na mengine.. nawasilisha.