wankuru nyankuru
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 490
- 763
TARURA wananchi wanasubiria kwa hamu sana barabara nzuri maana mwezi January mmethaminiwa sana.
Na taasisi nyingine muendelee kupiga kazi kwa kuwa tunaenda kwa zamu zamu.
Sasa sijajua kuongezewa mishahara kwa watumishi wa TARURA ina maana gani? Hivi sasa barabara za mitaa mbovu sana hasa huko mikoani halafu wanaongezewa mishahara?
Sent using Jamii Forums mobile app
Na taasisi nyingine muendelee kupiga kazi kwa kuwa tunaenda kwa zamu zamu.
Sasa sijajua kuongezewa mishahara kwa watumishi wa TARURA ina maana gani? Hivi sasa barabara za mitaa mbovu sana hasa huko mikoani halafu wanaongezewa mishahara?
Sent using Jamii Forums mobile app