Elvis Legacy
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 3,375
- 4,697
Mkuu upo sahihi TARURA wana wajibu wa kufanya yote hayo ila maendeleo ya kweli yanaanzia ulipo.
Naamini kama viongozi wa ngazi za chini kila mmoja akisimamia vema eneo lake na kuripoti maeneo ambayo TARURA wanatakuwa kuyafanyia kazi basi kero zitapungua na hatimaye kuisha kabisa.
Tuanze na wenyeviti wa mitaa na madiwani. Hawa wana wajibu wa kusimamia mitaa na kata zao na kuhakikisha kero zote za barabara zinazosimamiwa na TARURA zinafanyiwa kazi.
Naamini kama viongozi wa ngazi za chini kila mmoja akisimamia vema eneo lake na kuripoti maeneo ambayo TARURA wanatakuwa kuyafanyia kazi basi kero zitapungua na hatimaye kuisha kabisa.
Tuanze na wenyeviti wa mitaa na madiwani. Hawa wana wajibu wa kusimamia mitaa na kata zao na kuhakikisha kero zote za barabara zinazosimamiwa na TARURA zinafanyiwa kazi.