TARURA Mwanza na kero ya maegesho - Rais Magufuli tusaidie

fikirikwanza

JF-Expert Member
Jan 25, 2012
7,452
3,065
1. Unascaniwa ikiwa haupo
2. Hakuna anayekujulisha kwa mdomo au text message
3. Unafanya jitihada kujua iwapo ulikuwa scanned, unaulizia kwa kutumia simu 152*00, usafiri, TARURA, deni jibu linakuja huna deni

4. Unakaa baada ya masaa kama 4 unajaribu tena jibu ni huna deni, unaachana na suala hilo

5. Baada ya siku mbili ya tatu hivi unapata message unadaiwa na TARURA, ukiulizia kunakuta ada na faini kubwa kuliko deni mara 12 na zaidi,

Mheshimiwa Rais ukija Mwanza muulize Mkuu wa Mkoa na TARURA suala hili ni hujuma ya wazi kwako na taifa.

Yaani unamdai mtu baada ya siku mbili inakuwa kutoka 1500/- hadi 21500/-? wakati huo huo mfumo wako hautumi invoice kwa mdaiwa kwa wakati, bila control number mteja analipaje sasa?

Ushauri: Mtu adaiwe hiyo 1500 kwa mwezi mzima ambaye halipi awekewe hiyo faini 20,000 ikibidi na gharama za kumtafuata na kumfunga cheni

Pia kuwe na notification right away mtu anapokuwa scanned tu, sio make siku mbili ndio mtume akiwa tayari anadaiwa faini ya 20,000/- ugumu uko wapi kumpa mtu invoice yake baada ya ku scan?

Sio kila mtu anajua na uelewa wa kutafuta namna ya kulipa, e-invoce itumwe ili mtu aanze kudaiwa rasmi, lakni kumudai mtu bila invoice ni uhuni mkubwa sana.

Rais kazi kwako Mwanza ni shida, ni tunakomoana tu.
 
TARURA MWANZA ni uhuni na wizi. Yaani picha inapigwa inatumwa kwenye mifumo yao, mwenye gari hajulishwi. Ulitakiwa kulipa sh 1,500. Ukikosa kulipa baada ya siku moja inabadilika na kuwa sh 21,500! Yaani faini ni 1,333%.

Huyo au hao waliopanga hiyo faini hakika wana uwendawazimu. Mtu mwenye akili timamu huwezi ukafikiria kumtoza mtu sh 1,500 halafu asipolipa ndani ya masaa 24 faini yake ni sh 20,000 (1,333%). Hivi hao waliopanga hayo wana akili timamu?
 
Nimewaza sana nikaona hujuma kwa Rais na watu wake, Nchi ni watu na huduma za jamii ni suala la kwenda vizuri na watu maana iwapo unamfanyi mtu kama hana maana huduma ya jamii inakosa maana pia. SASA UTASHANGAA viongozi Mwanza wapo na malalamiko haya kushoto kulia chni juu lazma wanayasikia maana wanaishi mwanza wana marafiki ndugu na jamaa, wafanyakzi wenzao pia kilio mtindo mmoja idara na kada zote, labda vile wao wanajulikana na magari yao hayachangii ada ya kupaki
 
1. Unascaniwa ikiwa haupo
2. Hakuna anayekujulisha kwa mdomo au text message
3. Unafanya jitihada kujua iwapo ulikuwa scanned, unaulizia kwa kutumia simu 152*00, usafiri, TARURA, deni jibu linakuja huna deni

4. Unakaa baada ya masaa kama 4 unajaribu tena jibu ni huna deni, unaachana na suala hilo

5. Baada ya siku mbili ya tatu hivi unapata message unadaiwa na TARURA, ukiulizia kunakuta ada na faini kubwa kuliko deni mara 12 na zaidi,

Mheshimiwa Rais ukija Mwanza muulize Mkuu wa Mkoa na TARURA suala hili ni hujuma ya wazi kwako na taifa.

Yaani unamdai mtu baada ya siku mbili inakuwa kutoka 1500/- hadi 21500/-? wakati huo huo mfumo wako hautumi invoice kwa mdaiwa kwa wakati, bila control number mteja analipaje sasa?

Ushauri: Mtu adaiwe hiyo 1500 kwa mwezi mzima ambaye halipi awekewe hiyo faini 20,000 ikibidi na gharama za kumtafuata na kumfunga cheni

Pia kuwe na notification right away mtu anapokuwa scanned tu, sio make siku mbili ndio mtume akiwa tayari anadaiwa faini ya 20,000/- ugumu uko wapi kumpa mtu invoice yake baada ya ku scan?

Sio kila mtu anajua na uelewa wa kutafuta namna ya kulipa, e-invoce itumwe ili mtu aanze kudaiwa rasmi, lakni kumudai mtu bila invoice ni uhuni mkubwa sana.

Rais kazi kwako Mwanza ni shida, ni tunakomoana tu.
Tangu 2018 TARURA PMU wamekuwa wakiwapendelea Kampuni ya NPK kwa kuwapa tenda ya makusanyo ya parking Jijini Mwanza Kwa maslahi yao Binafsi.Mfumo wenyewe umeonekana Kufeli kwa asilimia kubwa. Sisi wakusanya mapato wengine mnatuumiza kwakuwa na sisi pia tunahitaji kufanya kazi. Nani aliyewaambia kuwa hatuna uwezo wa kutumia mfumo Kielectronic kukusanya hayo mapato??? Hamtangazi Zabuni, mnafanya Shortlisting tu Kwa NPK always. Hii Si Haki. Hata kama mna njaa, lakini isiwe kwa kiasi Hiki.
 
Back
Top Bottom