Entim
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 4,021
- 2,253
Wadau,
Mfumo wa kulipia parking jijini Mwanza unaoratibiwa na TARURA imejaa dhuluma tupu. Issue iko hivi; ukingia jijini Mwanza ukapaki gari lako sehemu wanapita watu/agents wa TARURA fasta na kupiga picha gari lako kimya kimya bila kumtafuta mwenye gari wanatuma TARURA. Wewe unakuja hujui kinachoendelea unawasha gari na kuondoka. Kumbe unatakiwa ulipie tzs 1,500 kupitia mitandao ya simu. Ikipita siku moja tu fain ya TZS 40,000 inakuhusu. Juzi tu nilitoka kulipia tzs 80,000/=
Mfumo wa kulipia parking jijini Mwanza unaoratibiwa na TARURA imejaa dhuluma tupu. Issue iko hivi; ukingia jijini Mwanza ukapaki gari lako sehemu wanapita watu/agents wa TARURA fasta na kupiga picha gari lako kimya kimya bila kumtafuta mwenye gari wanatuma TARURA. Wewe unakuja hujui kinachoendelea unawasha gari na kuondoka. Kumbe unatakiwa ulipie tzs 1,500 kupitia mitandao ya simu. Ikipita siku moja tu fain ya TZS 40,000 inakuhusu. Juzi tu nilitoka kulipia tzs 80,000/=