TARURA Halmashauri ya Mji wa Kibaha mnakera

luangalila

JF-Expert Member
Jan 12, 2014
6,325
6,871
Wadau habari za mchana wa leo

Naandika UZI huu kwa masikitiko makubwa sanaaa kwa kile nilichojionea na kukumbana nacho wakati nimepita njia ya Kutoka picha yq Ndege kwenda Boko kupitia kata ya SOFU.

TARURA Kibaha TC tambueni pembezoni mwa barabara hii kuna makazi ya watu, mmeichonga barabara hii na kumwaga kifusi kinachotoa vumbi mithili ya migodi katika machimbo alkazalika barabara hii pia ni kero kwa watembea kwa miguu pale ambapo magari makubwa (fuso) na madogo yanapopita kwa speed husababisha vumbi kalii mnoo.

Ivi mlifikiria nini kumwagaa kifusi kinachozua kero sanaa mkumbuke pia watoto wa shule ya twende pamoja hutumia njia kurejea makwao wanapotoka shule ni wazi vumbi hili litawaletea shida katika mfumo wa upumuaji na kusababisa magonjwa kama ya mafua na kifua.

DED wa Kibaha TC pamoja Major wa TC wote m atumia njia hii kurejea makwao ina maana hili vumbi hamlioni au sababu nyie wenzetu kwa sababu huwa mmefunga vioo na kujipulizia viyoyozi.
 
Kuna barabara inayotoka nyarugusu kwenda geita mjini hii barabara ni mbovu sana tarura mko wapi?nimepita Jana na boda boda kwa kweli hali inatisha
 
Hawa ni wahuni tu kama wahuni wengine, kule Morogoro kuna barabara ya kwenda VETA Kihonda, viongozi wa serikali za mitaa waliambiwa na wahusika inawekwa carvat nne katika maeneo korofi, lakini zimewekwa carvat mbili tu, kuna barabara inatokea Jordan University kwenda Tungi ilitakiwa kuwekwa carvat, matokeo yake imerundikiwa kifusi na kutelekezwa na pesa zimelipwa kwa contractor
 
Wadau habari za mchana wa leo

Naandika UZI huu kwa masikitiko makubwa sanaaa kwa kile nilichojionea na kukumbana nacho wakati nimepita njia ya Kutoka picha yq Ndege kwenda Boko kupitia kata ya SOFU.

TARURA Kibaha TC tambueni pembezoni mwa barabara hii kuna makazi ya watu, mmeichonga barabara hii na kumwaga kifusi kinachotoa vumbi mithili ya migodi katika machimbo alkazalika barabara hii pia ni kero kwa watembea kwa miguu pale ambapo magari makubwa (fuso) na madogo yanapopita kwa speed husababisha vumbi kalii mnoo.

Ivi mlifikiria nini kumwagaa kifusi kinachozua kero sanaa mkumbuke pia watoto wa shule ya twende pamoja hutumia njia kurejea makwao wanapotoka shule ni wazi vumbi hili litawaletea shida katika mfumo wa upumuaji na kusababisa magonjwa kama ya mafua na kifua.

DED wa Kibaha TC pamoja Major wa TC wote m atumia njia hii kurejea makwao ina maana hili vumbi hamlioni au sababu nyie wenzetu kwa sababu huwa mmefunga vioo na kujipulizia viyoyozi.
Hio barabara ya Sofu imewekwa hvyo vibao pale mwanzo (picha ya ndege) na kule mwisho (njia ya kwenda Mnemela) je inataka kuwekwa rami au nini kinaendelea? Na mbona Tarura wanaichonga mara kwa mara kuliko barabara zingine ndani ya Kibaha TC?
Screenshot_20210807-170014.jpg
View attachment 1884110
 
Hio barabara ya Sofu imewekwa hvyo vibao pale mwanzo (picha ya ndege) na kule mwisho (njia ya kwenda Mnemela) je inataka kuwekwa rami au nini kinaendelea? Na mbona Tarura wanaichonga mara kwa mara kuliko barabara zingine ndani ya Kibaha TC?View attachment 1884111View attachment 1884110
Na mm nikipita nakiona icho kibao
Lkn waenyeji wa pale wana dai iko ktk mpango wa kuwekewa lami japo nasikia ni kwa awamu nasikia itaanzia picha ya ndege mpaka sofu pale serikal ya mtaa karibu na kituo cha watoto yatima

Then iwamu itakayo fuata itaelekea kuke juu njia ya kwenda mnemela ..over mdau!!

Unaionaje iyo barabara ilo vumbi lake ni kero mnooo
 
Wadau habari za mchana wa leo

Naandika UZI huu kwa masikitiko makubwa sanaaa kwa kile nilichojionea na kukumbana nacho wakati nimepita njia ya Kutoka picha yq Ndege kwenda Boko kupitia kata ya SOFU.

TARURA Kibaha TC tambueni pembezoni mwa barabara hii kuna makazi ya watu, mmeichonga barabara hii na kumwaga kifusi kinachotoa vumbi mithili ya migodi katika machimbo alkazalika barabara hii pia ni kero kwa watembea kwa miguu pale ambapo magari makubwa (fuso) na madogo yanapopita kwa speed husababisha vumbi kalii mnoo.

Ivi mlifikiria nini kumwagaa kifusi kinachozua kero sanaa mkumbuke pia watoto wa shule ya twende pamoja hutumia njia kurejea makwao wanapotoka shule ni wazi vumbi hili litawaletea shida katika mfumo wa upumuaji na kusababisa magonjwa kama ya mafua na kifua.

DED wa Kibaha TC pamoja Major wa TC wote m atumia njia hii kurejea makwao ina maana hili vumbi hamlioni au sababu nyie wenzetu kwa sababu huwa mmefunga vioo na kujipulizia viyoyozi.
Mkuu una hoja ila ulivyoandika Sasa! Kibaha wanaboa hata njia ya kuingia Loliondo pale unapotoka Morogoro road ,ni pabovu balaa.Sijui hawaoni hawa jamaa?
 
Na mm nikipita nakiona icho kibao
Lkn waenyeji wa pale wana dai iko ktk mpango wa kuwekewa lami japo nasikia ni kwa awamu nasikia itaanzia picha ya ndege mpaka sofu pale serikal ya mtaa karibu na kituo cha watoto yatima

Then iwamu itakayo fuata itaelekea kuke juu njia ya kwenda mnemela ..over mdau!!

Unaionaje iyo barabara ilo vumbi lake ni kero mnooo
Vumbi ni kali sana japo naona sasa hivi limepungua kidogo, kama wanaiweka rami itakuwa jambo jema na itabust maendeleo ya Sofu.

Na pia mimi si mwenyeji sana Kibaha. Kwa Kibaha TC ni maeneo gani mazuri sana na ushuani? Maana kila Wilaya au mkoa kuna sehemu huwa kunaziangalia kama ushuani kwa Kibaha ni maeneo gani hayo?
 
Vumbi ni kali sana japo naona sasa hivi limepungua kidogo, kama wanaiweka rami itakuwa jambo jema na itabust maendeleo ya Sofu.

Na pia mimi si mwenyeji sana Kibaha. Kwa Kibaha TC ni maeneo gani mazuri sana na ushuani? Maana kila Wilaya au mkoa kuna sehemu huwa kunaziangalia kama ushuani kwa Kibaha ni maeneo gani hayo?
Mkuu mbona hujajibu hii
 
Vumbi ni kali sana japo naona sasa hivi limepungua kidogo, kama wanaiweka rami itakuwa jambo jema na itabust maendeleo ya Sofu.

Na pia mimi si mwenyeji sana Kibaha. Kwa Kibaha TC ni maeneo gani mazuri sana na ushuani? Maana kila Wilaya au mkoa kuna sehemu huwa kunaziangalia kama ushuani kwa Kibaha ni maeneo gani hayo?

Vumbi ni kali sana japo naona sasa hivi limepungua kidogo, kama wanaiweka rami itakuwa jambo jema na itabust maendeleo ya Sofu.

Na pia mimi si mwenyeji sana Kibaha. Kwa Kibaha TC ni maeneo gani mazuri sana na ushuani? Maana kila Wilaya au mkoa kuna sehemu huwa kunaziangalia kama ushuani kwa Kibaha ni maeneo gani hayo?
Mkuu unajuavktk izi halmashauri za miji midogo wanajitahid sana kuzngatia swala la mipango mijib..so maeneo mengi sofu yamepimwa na kuna wazito kadha kulee

Nasikia kuna balozi mmoja ana mjengo wake wa maana tu na sio huyo tu wapo pia ma brigedia kadhaa kule

So pocket yako ndio ita amua ukakae na wazito au changanyikeni high density
Ila kutaja eneo specific kiukweli sifahamu maana na mm nilikuwa nasaka plot maeneo ya kule sofu
 
Mkuu unajuavktk izi halmashauri za miji midogo wanajitahid sana kuzngatia swala la mipango mijib..so maeneo mengi sofu yamepimwa na kuna wazito kadha kulee

Nasikia kuna balozi mmoja ana mjengo wake wa maana tu na sio huyo tu wapo pia ma brigedia kadhaa kule

So pocket yako ndio ita amua ukakae na wazito au changanyikeni high density
Ila kutaja eneo specific kiukweli sifahamu maana na mm nilikuwa nasaka plot maeneo ya kule sofu
Mimi nilinunua Sofu pale mbele ya kanisa la Rc na mbele kidogo ya ile nyumba nzuri iliyopo barabarani kabisa yenye mataataa.. nlinunua Sq 1,600 kwa mil 7 kipo Mita 200 kutoka barabarani na ni KM 5.5 kutoka Morogoro road. Kampuni ilipima ikaweka mitaa vizuri kabisa. Ila sasa nilikuwa nataka kununua kingine sehemu nyingine ndo maana nkakuuliza. Maana nimetembea sehemu nyingi naona za kawaida so natafuta wenyeji wanipe uelekeo mzuri.
 
Mimi nilinunua Sofu pale mbele ya kanisa la Rc na mbele kidogo ya ile nyumba nzuri iliyopo barabarani kabisa yenye mataataa.. nlinunua Sq 1,600 kwa mil 7 kipo Mita 200 kutoka barabarani na ni KM 5.5 kutoka Morogoro road. Kampuni ilipima ikaweka mitaa vizuri kabisa. Ila sasa nilikuwa nataka kununua kingine sehemu nyingine ndo maana nkakuuliza. Maana nimetembea sehemu nyingi naona za kawaida so natafuta wenyeji wanipe uelekeo mzuri.
Huko ulipo ni pazuri sanaa japo sijafika lkn kwa ukubwa wa eneo na iyo pesa naona ume lamba dume..mm nilinunua vile vya halmashauri vya mwanzon kabisa . Sq 1430 kipo 1 km toka morogoro road ...kipo njiani kabisaaa wali taka 7M
 
Huko ulipo ni pazuri sanaa japo sijafika lkn kwa ukubwa wa eneo na iyo pesa naona ume lamba dume..mm nilinunua vile vya halmashauri vya mwanzon kabisa . Sq 1430 kipo 1 km toka morogoro road ...kipo njiani kabisaaa wali taka 7M
Km moja si ni pale shule ya twendepamoja!? Maana viwanja vya halmashauri navyovijua vipo kule maeneo ya shule ya msingi sofu au mimi ndo sielewi mkuu
 
Km moja si ni pale shule ya twendepamoja!? Maana viwanja vya halmashauri navyovijua vipo kule maeneo ya shule ya msingi sofu au mimi ndo sielewi mkuu
Zaman walianzia kupima juanzia pale ktk manguzo ya umeme upande wa kulia kama unatokea picha ya ndege
 
Baada ya miezi kadhaa ya uzii huu cheki hali ya barabara na mitaro ilivyo mbaya ...bila shaka hapa usanii mtupu

IMG_20220319_085930.jpg


IMG_20220319_085808.jpg


IMG_20220319_085703.jpg
 
Back
Top Bottom