TARURA Dodoma angalieni barabara hizi hazileti picha nzuri kwa nchi

HARRISON ONE

Member
Jan 8, 2014
42
30
Awali ya yote, napenda niwapongeza TARURA kwa juhudi zao za kuimarisha barabara za mijini na vijijini, kazi ambayo wanaifanya vizuri pamoja na kuwa na bajeti ndogo.

Hivi karibuni nimefanikiwa kutembelea Makao Makuu ya nchi Dodoma na katika mizunguko yangu nimekutana na maeneo yenye hali mbaya ya barabara, mjini kabisa mita chache toka Makazi ya Mh. Waziri Mkuu mitaa ya nyuma ya Ofisi za UN Dodoma na kukutana na barabara ambazo hazileti picha nzuri kwa hasa tukizingatia Dodoma ni Makao Makuu ya nchi.

Natumai kwa picha hizi Wahusika walione na kulifanyia kazi kwa haraka.

barabara mlimwa 1.png


barabara mlimwa 3.png


mlimwa 6.png


mlimwa 5.png


barabara mlimwa 4.png


barabara mlimwa 3.png
 
Awali ya yote, napenda niwapongeza TARURA kwa juhudi zao za kuimarisha barabara za mijini na vijijini, kazi ambayo wanaifanya vizuri pamoja na kuwa na bajeti ndogo.

Hivi karibuni nimefanikiwa kutembelea Makao Makuu ya nchi Dodoma na katika mizunguko yangu nimekutana na maeneo yenye hali mbaya ya barabara, mjini kabisa mita chache toka Makazi ya Mh. Waziri Mkuu mitaa ya nyuma ya Ofisi za UN Dodoma na kukutana na barabara ambazo hazileti picha nzuri kwa hasa tukizingatia Dodoma ni Makao Makuu ya nchi.

Natumai kwa picha hizi Wahusika walione na kulifanyia kazi kwa haraka.

View attachment 1765220

View attachment 1765221

View attachment 1765222

View attachment 1765224

View attachment 1765225

View attachment 1765226
Huu uchochezi. Unatakiwa kupimwa mkojo
 
"Kwa kuongezea tu hapo Mh. Mbunge, jambo la kushangaza ni wakurugenzi wa RUWASA na TARURA kulipwa mishahara mikubwa kuliko wakurugenzi wa Halimashauri" Alisikika Woofer akisema
 
Awali ya yote, napenda niwapongeza TARURA kwa juhudi zao za kuimarisha barabara za mijini na vijijini, kazi ambayo wanaifanya vizuri pamoja na kuwa na bajeti ndogo.

Hivi karibuni nimefanikiwa kutembelea Makao Makuu ya nchi Dodoma na katika mizunguko yangu nimekutana na maeneo yenye hali mbaya ya barabara, mjini kabisa mita chache toka Makazi ya Mh. Waziri Mkuu mitaa ya nyuma ya Ofisi za UN Dodoma na kukutana na barabara ambazo hazileti picha nzuri kwa hasa tukizingatia Dodoma ni Makao Makuu ya nchi.

Natumai kwa picha hizi Wahusika walione na kulifanyia kazi kwa haraka.

View attachment 1765220

View attachment 1765221

View attachment 1765222

View attachment 1765224

View attachment 1765225

View attachment 1765226
Hata hiyo barabara ya royal kwenda barabara ya morogoro ina mashimo balaa nilipita mwezi ulipita, cha kushangaza Jaffo aliifungua hiyo barabara mwaka jana nadhani, mpaka mkurugenzi wa kampuni iliyopewa kandarasi ya SKOL alianguka baada ya kuhojiwa kwa kuijenga chini ya kiwango
 
Hivyo ni vichochoro,njia za miguu au barabara.
Meneja asaidiwe amechoka
Mleta mada ni mshamba,hajui priorities ktk kufanya decisions, uwezi tengeneza barabara isiyo na traffic ya kutosha ukaacha zenye traffic volume kubwa..yaani utengenezee magari 5 yanayopita hapo per day,uwezi!penye traffic volume kubwa ndo penye mahitaji
 
Mleta mada ni mshamba,hajui priorities ktk kufanya decisions, uwezi tengeneza barabara isiyo na traffic ya kutosha ukaacha zenye traffic volume kubwa..yaani utengenezee magari 5 yanayopita hapo per day,uwezi!penye traffic volume kubwa ndo penye mahitaji
Achana na hiyo mkuu,mbona ile ya nyuma ya kwa PM ina traffic ya kutosha tu na hamjishughulishi nayo? Kama nawe ni mmoja wa hao wa barabara tengenezeni barabara za michepuko Kama hiyo ili kupunguza kero ya barabara ya Royal.Napia msiendelee kututengezea vibarabara VIFINYU KAMA VYA VIJIJINI ambavyo hata mpishano wa magari tu ni tabu hakuna hata sehemu ya watembea kwa miguu!
 
Mleta mada ni mshamba,hajui priorities ktk kufanya decisions, uwezi tengeneza barabara isiyo na traffic ya kutosha ukaacha zenye traffic volume kubwa..yaani utengenezee magari 5 yanayopita hapo per day,uwezi!penye traffic volume kubwa ndo penye mahitaji
Mshamba ni mtu anayecomment jambo bila kuelewa!!! Mfano halisi ni wewe!!! Elewa kwanza mada .nimeanza kwanza kuwapo geza Tarura nikijua wameweza kufanya priority vzr.barabara hizi ndogo ndogo za mitaani huwa zinasaidia kukwepa jam kwa kiasi kikubwa hasa ukizingatia Dom misafara ya Viongozi ni ya mara kwa mara ,so badala ya kuganda dk 30 brbrn kupisha msafara wa kiongozi!! Barabara hizi ni mbadala!!!!so Hadi hapo l hope ushajijua mshamba ni wewe!!! Comment kwa kufocus na kuelewa mada!!!
 
Back
Top Bottom