MzalendoHalisi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2007
- 4,300
- 955
Wana JF,
Nimeona hii makala Majira ya jana over negative portray ya Tanzania kwa mwanamke wa US aliyepata PhD kwa data alizokusnya Bagamoyo. (http://www.majira.co.tz/kurasa.php?soma=sayansi&habariNamba=4822).
My take;
1. Kuna mtu anawafahamu zaidi kwa undani zaidi Laura Edmonson- Profesa katika chuo kikuu cha Florida State na Thomas Riccio ambae nae ni Profesa katika Chuo Kikuu cha Texas –Dallas? Ili asaidie kuverify na kutoa mwanga zaidi habari hizo za Majira hapo juu?
2. Leo ni 46 years tangu tuwe huru- na watawala wetu wamekuwa kimya na kundelea kutoa vibali vya utafiti kwa Wazungu ambao leo hii wanatarnish good image of Tanzania. Ni taasisi gani ya serikali which monitors the conduct of research activities of hawa wageni- who bears responsibilities kama jina la nchi linakuwa tarnished?
3. Over 70% of findings from researchers conducted by West and America in Tanzania- they represent Tanzania so negatively! Je hakuna hata moja zuri wanaloliona? Should research findings represent negative view always? Je utafiti wao hulenga tu kufatuta mabaya?
4. This is not fair- Tanzania has many good things to offer- and we must fight- kwa nguvu zote, attempts to portray our beautiful country negatively!
Naomba kuwakilisha!
Nimeona hii makala Majira ya jana over negative portray ya Tanzania kwa mwanamke wa US aliyepata PhD kwa data alizokusnya Bagamoyo. (http://www.majira.co.tz/kurasa.php?soma=sayansi&habariNamba=4822).
My take;
1. Kuna mtu anawafahamu zaidi kwa undani zaidi Laura Edmonson- Profesa katika chuo kikuu cha Florida State na Thomas Riccio ambae nae ni Profesa katika Chuo Kikuu cha Texas –Dallas? Ili asaidie kuverify na kutoa mwanga zaidi habari hizo za Majira hapo juu?
2. Leo ni 46 years tangu tuwe huru- na watawala wetu wamekuwa kimya na kundelea kutoa vibali vya utafiti kwa Wazungu ambao leo hii wanatarnish good image of Tanzania. Ni taasisi gani ya serikali which monitors the conduct of research activities of hawa wageni- who bears responsibilities kama jina la nchi linakuwa tarnished?
3. Over 70% of findings from researchers conducted by West and America in Tanzania- they represent Tanzania so negatively! Je hakuna hata moja zuri wanaloliona? Should research findings represent negative view always? Je utafiti wao hulenga tu kufatuta mabaya?
4. This is not fair- Tanzania has many good things to offer- and we must fight- kwa nguvu zote, attempts to portray our beautiful country negatively!
Naomba kuwakilisha!