Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Wana jamvi amani iwe kwenu. Hali ya CCM wilayani Tarime inazidi kudhoofu baada ya wananchi kushuhudia jinsi CCM inavyo wakumbatia wala rushwa wana Tarime hasa kina mama wameamua kukihama CCM na kujiunga na chama bora barani Afrika CHADEMA, tizameni picha zote hapa chini