dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
Ndugu wa 2 wa Familia moja wamefariki wakati wakiwa wanajaribu kuokoana Baada ya mmoja kuhofiwa kufariki kwenye Shimo La Dhahabu
Nyamongo Tarime.
Nyamongo Tarime.
Ni kweli hii tarifa. Imetokea kijiji cha Kerende wilaya ya Tarime. Eneo la tukio ni mgodi ambao kwasasa haufanyi kazi. Ni moja ya vitalu vinavyomilikiwa na Peter Zakaria, na eneo hilo lilichimbwa bwawa kwaajili ya kuhifadhia maji. R i p Mussa, rafiki yangu