Pole Mwera
Naongezea na pole Chadema, pole CUF, mtagawana hizo kura za Tarime katika hii vita ta panzi, kunguru amejisimami pembeni akisubiri kufurahia.Pole Mwera
Angekuwa mwelewa, angegombea udiwani baada ya kuangushwa kugombea ubunge.
Pasco kule ni Tarime.Naongezea na pole Chadema, pole CUF, mtagawana hizo kura za Tarime katika hii vita ta panzi, kunguru amejisimami pembeni akisubiri kufurahia.
Pasco kule ni Tarime.
Naongezea na pole Chadema, pole CUF, mtagawana hizo kura za Tarime katika hii vita ta panzi, kunguru amejisimami pembeni akisubiri kufurahia.
Baada tu ya Prof.Lipumba kuongea na wanachi,aka ponda chadema kadri alivo weza!
Badae akakaribishwa mwera kuongea na wana tarime,....nilijua naondoka peke yangu....oooooh nashangaa umati wa watu unaondoka kama vile mkutano umeahirishwa et duh![/QUO
huko ndo tarime bwana, i love these people...wanafaa kuwa role model wa watanzania wote. AM PROUD TO BE ONE OF THEM!
Pasco ndivyo walivyokuwa wanasema hata kwa Bukoba lakini hizo ni siasa za sisi m zisizo na mantiki. Ukifanya hesabu utagundua kura za kafu zote ni za sisi m kama battle tuseme ingelikuwa ni ya vyama viwili tu yaani sisi m na chadema.Naongezea na pole Chadema, pole CUF, mtagawana hizo kura za Tarime katika hii vita ta panzi, kunguru amejisimami pembeni akisubiri kufurahia.
Naongezea na pole Chadema, pole CUF, mtagawana hizo kura za Tarime katika hii vita ta panzi, kunguru amejisimami pembeni akisubiri kufurahia.