Naomba kufahamishwa kuhusu Tarime TTC

makalango

JF-Expert Member
Feb 10, 2017
448
252
Mwenye kukijua hiki chuo anisaidie mazingira yake kwa ujumla na kama kuna mtu ana namba za mawasiliano za mtu yeyote anayesoma hapo au anayefanya kazi hapo, nimechaguliwa kwenda kusoma hapo stashahada ya ualimu, Natanguliza shukrani.
 
Mwenye kukijua hiki chuo anisaidie mazingira yake kwa ujumla na kama kuna mtu ana namba za mawasiliano za mtu yeyote anayesoma hapo au anayefanya kazi hapo, nimechaguliwa kwenda kusoma hapo stashahada ya ualimu, Natanguliza shukrani.
Mazingira yako poa kabisa, kimezungukwa na mahakama ya wilaya ,pia ya mwanzo , ofisi ya mkuu wa wilaya ukivuka ng'ambo ya barabara kuu kuna kituo kikubwa cha polisi ,magereza ,tarime sec na hospital ya wilaya boman. Ukishuka stendi ni mwendo wa nusu kilimita mpaka hapo chuoni utalipia bodaboda sh 1000.
 
Mazingira yako poa kabisa, kimezungukwa na mahakama ya wilaya ,pia ya mwanzo , ofisi ya mkuu wa wilaya ukivuka ng'ambo ya barabara kuu kuna kituo kikubwa cha polisi ,magereza ,tarime sec na hospital ya wilaya boman. Ukishuka stendi ni mwendo wa nusu kilimita mpaka hapo chuoni utalipia bodaboda sh 1000.
Ahsnte mkuu napambana kupata joining instructions kila nikipiga simu wananipiga kalenda mpaka sasa
 
unaenda tarime ndugu...ukipeleka umjinimjini wako...utashushwa bega...take care
 
Karibu tarime Tupo tutakupokea mkuu.usiogope Upo Tanzania. Huku watu wapo bize na kutafuta pesa tena zile za dhahabu sio za kudunduliza
 
Karibu sana Tarime ujionee Edeni iliyosalia. Jooohs Said kakwambia kila kitu ila mi ntajazia uzuri wa huku kwetu Tarime. Upande wa matunda, ndizi na maparachichi utakula mpaka uache, ardhi ni ya kijani afu kutoka Chuo mpaka nchi jirani ya Kenya(Boda ya SIRARI) nauli ni 1000. Kama unatokea Mwanza kuja Tarime nauli ni 10,000/= wanakuacha Chuoni mana kipo jirani na barabara.
 
Karibu sana Tarime ujionee Edeni iliyosalia. Jooohs Said kakwambia kila kitu ila mi ntajazia uzuri wa huku kwetu Tarime. Upande wa matunda, ndizi na maparachichi utakula mpaka uache, ardhi ni ya kijani afu kutoka Chuo mpaka nchi jirani ya Kenya(Boda ya SIRARI) nauli ni 1000. Kama unatokea Mwanza kuja Tarime nauli ni 10,000/= wanakuacha Chuoni mana kipo jirani na barabara.
Ahsante kaka natokea moshi moshi nasubiri joining yako bado sijaipta
 
Karibu tarime Tupo tutakupokea mkuu.usiogope Upo Tanzania. Huku watu wapo bize na kutafuta pesa tena zile za dhahabu sio za kudunduliza
Mkuu vp naskia TEMPS(tarime english medium) ili hamishwa kutoka kule cmg hotel,vp ni kweli na ilihamia wapi ? Nilisom pale
 
Tpc kiwandani kaka
Safi sana, karibu kwetu Tarime. Nilikuwa huko maeneo ya MWIKA karibu na MARANGU, Moshi nilipapenda ni kuzuri sana.

Ukitaka kuja huku kuna njia mbili 1.Inayopitia mbugani Ngorongoro na serengeti 2.Toka Moshi hadi Mwanza(nauli 35,000/= Ila ukipandia Arusha to Mwanza nauli ni elfu 28 hadi 30, hapa chukua MGHAMBA EXPRESS ambayo ni mashine. Nami nakushauri utumie njia ya Mwanza ambapo utalala NYEGEZI STAND then kesho yake utachukua daladala hadi BUZURUGA STAND ambapo kuna mabasi yaendayo TARIME na kutoka Mza to Trm ni masaa manne kutokana na tochi ila zamani ilikuwa n masaa matatu.
 
Mwenye kukijua hiki chuo anisaidie mazingira yake kwa ujumla na kama kuna mtu ana namba za mawasiliano za mtu yeyote anayesoma hapo au anayefanya kazi hapo, nimechaguliwa kwenda kusoma hapo stashahada ya ualimu, Natanguliza shukrani.
Nenda kasome ghhacha utoto, mazingra unayataka ya nn? Ww n kama mwanafunz wa sekondar, utatakiwa kuy fagia, kuhesabu namba nk.. Unaulizia mazingra ili uyafanyeje? Hata yakiwa mabaya kwani utahama?

Chuo cha ualimu tu unaulizia mazngra je ukipangwa kwenda kufanya kaz sehem itakuwaje?
 
hσngєrα ѕαnα kwα kupαngíwα chuσ chα uαlímu tαrímє...ww ukípαndα вαѕí kutσkα mwαnzα ѕhukα вuhєmвα...ní kítuσ αmвαchσ hutαwєzα kupαndα вσdα вσdα kwαní kwα míguu tu utαfíkα ílα ukípítílízα hαdí mjíní utαrudí tєnα nчumα hívчσ ukíѕhukíα вuhєmвα ní mwєndσ wα dk8 umєíngíα chuσní.
mαzíngírα чα chuσ чαpσ frєѕh mudα wσtє чαmєng'αα..nα pαlє chuσní kunα mѕєmσ чα kwαmвα "chuσ kítαjєngwα nα wαnαchuσ wєnчєwє"kwαhíчσ mzєє jípαngє kuchαpα kαzí pαlє hαkunα mudα wα вαtα mudα wσtє ní mwєndσ wα mchαkαmchαkα.
chuσ chα uαlímu tαrímє kípσ pσα kwα tααlumα nα kwα míchєzσ píα,kwαhíчσ kαmα ww unαpєndα míchєzσ mf.вαѕkєtвαll,fσσtвαll,hαndвαll,vσllєвαl чσtє hípσ mααnα kílα mchєzσ unα kíwαnjα chαkє hαpσ hαpσ chuσní.
nαkutαkíα mαѕσmσ mєmα tαrímє tc....chuσ chα kαzí
 
Safi sana, karibu kwetu Tarime. Nilikuwa huko maeneo ya MWIKA karibu na MARANGU, Moshi nilipapenda ni kuzuri sana.

Ukitaka kuja huku kuna njia mbili 1.Inayopitia mbugani Ngorongoro na serengeti 2.Toka Moshi hadi Mwanza(nauli 35,000/= Ila ukipandia Arusha to Mwanza nauli ni elfu 28 hadi 30, hapa chukua MGHAMBA EXPRESS ambayo ni mashine. Nami nakushauri utumie njia ya Mwanza ambapo utalala NYEGEZI STAND then kesho yake utachukua daladala hadi BUZURUGA STAND ambapo kuna mabasi yaendayo TARIME na kutoka Mza to Trm ni masaa manne kutokana na tochi ila zamani ilikuwa n masaa matatu.
Thanks mkuu nashkuru mno
 
Back
Top Bottom