Ally Kanah
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 1,479
- 388
Jamani hii ndio Tanzania niulize swali "UPINZANI ukichukua nchi hao viongozi wa POLICE watakuwa upande upi kwan iright now wanaonesha kutopenda what UPINZANI does"
Kuchukua nchi hiyo sahau Mkuu labda waichukue ndotoni