Maxence Melo
JF Founder
- Feb 10, 2006
- 4,230
- 13,414
John Heche, Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa anahojiwa na polisi muda huu na anahojiwa na OCCID George wa Sirari kwa kutumia lugha za uchochezi jukwaani na kumwita Rais Kikwete "ombaomba".
Mwandishi wetu anatufahamisha kuwa mpaka muda huu alikuwa anaendelea kuhojiwa hivyo taarifa za kitakachofuata tutaziongezea kwenye hii thread.
UPDATE:
- Saa 2 dk 40 kwa mida ya Tanzania, Heche kamaliza kuandika maelezo yake ambayo yameandikwa kurasa nne hivi. Amehojiwa na ASP George Wilbert.
- Wakati Heche akifanyiwa mahojiano kuna kachero mmoja alionekana akitaka kurekodi maelezo, Heche akamkatalia na kufuta kilichokuwa kimeanza kurekodiwa kwenye simu ya kachero huyo.
Mwandishi wetu anatufahamisha kuwa mpaka muda huu alikuwa anaendelea kuhojiwa hivyo taarifa za kitakachofuata tutaziongezea kwenye hii thread.
UPDATE:
- Saa 2 dk 40 kwa mida ya Tanzania, Heche kamaliza kuandika maelezo yake ambayo yameandikwa kurasa nne hivi. Amehojiwa na ASP George Wilbert.
- Wakati Heche akifanyiwa mahojiano kuna kachero mmoja alionekana akitaka kurekodi maelezo, Heche akamkatalia na kufuta kilichokuwa kimeanza kurekodiwa kwenye simu ya kachero huyo.