Tarime kuna tatizo na tatizo si CHADEMA, ni Barrick

Hii ni laana kubwa sana, yaani dhahabu yetu wachukuwe kwa mikataba ya kifisadi, wawabake dada zetu na binti zetu, wawauwe kwa risasi wazawa wa ardhi wanayochimbia dhahabu hiyo, watuachie sumu kwenye ardhi yetu na vyanzo vya maji kiasi kwamba watu,mifugo na mimea imekufa.

Bado wazalendo wenye uchungu na nchi wakifuatilia wana bambikiziwa kesi za uchochezi na majamabazi(polisi) wa CCM.

Machozi ya wana Nyamongo na watanzania wote wenye kuipenda nchi yetu hayatapotea bure. Ni lazima utawala huu dhalimu wa CCM utalipa haya yote.MWISHO WA UBAYA NI AIBU.
 
Kumbe Polisi walibaka Tarime aibu kwa jeshi la polisi.

Si ndiyo maana hawataki Tundu Lissu akanyage tena ardhi ya Nyamongo kumbe taarifa za ubazazi wao ziko wazi dunia nzima, masikini jeshi letu fisadi la polisi.
 
Barrick Gold is a shameless business involved inb destroying the environment and the people.

Time to demand accountability. Barrick has been in Tanzania for many years and there are many reports of human rights abuse and murder. Peter Monk is in a spiritual mess.

He is abusing power, resources and destroying people's livelihood... What world are we creating?
 
duh nimekata kauli
ina maana hawa jamaa kwa ukubwa wao wameiweka magogoni mfukoni!!!!!!!
Nyerere aliondoka mapema na kutuashi hawa walafi,
washukuru sio arabuni watu wangeanza kulipuka nao mpaka kieleweke
 
Pesa, Nguvu na mwanamke. Yani hapo ni unatawala nchi, hakuna kiongozi atake sema hapo. Nyie subirini hata wabakwe kijiji kizima hakuna anaejali. Kulinda utajiri ni muhimu kuliko kingine chochote.
 
inasikitisha hawa "wawekezaji" wanawapiga risasi raia, waiba mali za nchi, hawalipi kodi, na sasa askari wanao walinda wanabaka mama na dada zetu! IGP anapaswa atoe tamko na kuwachukulia hatua wauaji, wezi na wabakaji. Imetosha
 
TORONTO - Barrick Gold Corp. says it is investigating allegations of sexual assaults against local women at one of its gold mines in Tanzania. The company says the assaults are alleged to have taken place at the North Mara mine, which is owned and operated by Barrick's subsidiary, African Barrick Gold PLC (LSE:ABG). The Toronto-based gold miner says that a preliminary investigation by ABG has found credible evidence of sexual assaults by members of the Tanzanian police and the company's security guards.

Barrick says local police are also probing the allegations and a senior level investigations unit will be deployed to the mine in the coming days. The company says it is "deeply distressed" by the evidence that has emerged. Its own investigation is ongoing and the findings will be made public once the report is concluded Earlier this month, North Mara was the site of deadly clashes between police and a crowd of about 800 people trying to steal ore from the mine. Seven people were killed and a dozen more were injured.

Barrick says it has a zero tolerance approach to human rights violations and any employee implicated in human rights violations or other serious criminal acts will be terminated. "These deplorable crimes, if confirmed, are neither acceptable nor excusable," the company said in a statement posted on their website Monday. "They send a clear message to us that we have not met the promises we have made to the community, and to ourselves, to pursue responsible mining in every location where we and our affiliates operate. We can, and will, do more."

Barrick owns and operates gold mines in Canada, the U.S., Peru, Argentina, Chile, Australia and Papua New Guinea. Its major development projects include Pueblo Viejo in the Dominican Republic, Cortez Hills in Nevada, and Pascua-Lama on the border between Argentina and Chile.

The Canadian Press: Barrick Gold investigating allegations of sexual assaults at Tanzania gold mine
 
imamishangaza kwamba haya madudu ni mapaka uchunguzi ufanywe na njemba za nje ndo tuelezwe mama zetu na dada zetu wamebakwa.
hata issue ya radar ilikuwa hivyohivyo.
sasa hii huyo comandar sijui IGI anasema asante kwa uchunguzi na sisi tutafanya wa kwetu.........mbona hamkufanya all those years
 
Mbele ya viongozi malimbukeni na wasio na maono ya kiuongozi,
Nadhani kuna mengi tutaendelea kushuhudia, kwenye sector zote tu....
Kama notation hii "tatizo ni Barick" imeshindwa kuwakaa kichwani na ku-act
 
Kama walifanya hayo sheria ichukue mkondo wake!...Watupige masasi, halafu watutamani na kutubaka tena?
 
i think its a PR attempt to deal with the recent killings...pointing at sexual allegations..but when they conclude investigation they will include the shootings and come up with measures to improve relations with local community..
 
Barrick wamefanya kosa gani? yani mtu akimtongoza mke wako na mkeo anatabia ya umalaya akatembea naye unamlalamikia mtongozaji badala ya mke ambaye hapiti mtu mbele!

Ebu angalia tabia ya mke haifai kila mwanaume!
 
Barrick wamefanya kosa gani? yani mtu akimtongoza mke wako na mkeo anatabia ya umalaya akatembea naye unamlalamikia mtongozaji badala ya mke ambaye hapiti mtu mbele!

Ebu angalia tabia ya mke haifai kila mwanaume!
Ndugu yangu hivi kubaka hujui kama ni kosa? Au hujaifahamu article hapo juu? Wee mwenzetu labda inabidi wakutafsirie hiyo article kwa kiswahili
 
i think its a PR attempt to deal with the recent killings...pointing at sexual allegations..but when they conclude investigation they will include the shootings and come up with measures to improve relations with local community..

inawezekana mkuu. How come ndio wanajua sasa? Vipi wale polisi waliowauawa wananchi.
 
Back
Top Bottom