15Oyaaa nimekokotoa 30/03/1998 nikapata jibu 15 hay nimepata namba kiongoziii na hiii ina sifa zipiii mkuuu
30/03/1998
Tarehe
30= 3+0=3
Mwezi
03= 0+3=3
Mwaka
1998= 1+9+9+8=27= 2+7=9
9+3+3=15
Nipe maana za kiongoz 15 mkuu
Mwanzoni mwa uzi hukumalizia namba tisa mkuuAngalia katika maelezo ya mwanzo ya uzi
Hakuna ramli ni elimu ya namba tu ambayo wengi hawaipendi.Watu mnapiga ramli, hongereni.
Mkuu kwa sisi wenye imani ya yesu kutosulubiwa inatuhusu hiiHakuna ramli ni elimu ya namba tu ambayo wengi hawaipendi.
Nikupe mfano kidogo
Mwanasayansi Nicole Tesla anasema ukielewa 369 basi umeweza kuelewa siri za ulimwengu.
Katika ijumaa ya kusulubiwa Yesu, masaa yaliyotajwa ni saa 3, 6 na 9.
Namba ni zaidi ya unvyozijua, punguza ugumu wa kupokea maarifa mapya.
01/11/1982 nimepaya namba mama 5,lakini ukiondoa kipengele cha kazi sifa zingine zote sina,hapa kwangu imekaaje?.Sizungumzii imani nazungumzia namba, pingili 33 za mgongo na shahada 33 za wajenzi huru.