likandambwasada
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,403
- 6,071
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dalili ya kukojoa mara kwa mara inaanza wiki 12 wakati mtoto anaposukuma kibofu akipanda juu na siku za mwisho wakati ana shuka tayari kwa kuzaliwa. Moja ya dalili za abortion ni period yenye harufu kidogo. Si mbaya kusafisha thought.Jamani naomba kuuluza swali mwenzenu nina miezi 2 sijapata period na baada ya wiki 5 nilianza kuhisi dalili za mimba km kichefuchefu kupata haja ndogo mara kwa mara kuchagua vyakula uchovu baada ya wiki ya 7 dalili zikafutika nikaenda pharmacy nikanunua kipimo cha mimba nikakuta positive lkn baada ya wiki ya 8 nimeanza kupata damu lkn ni matone halafu cn maumivu nikaenda hospital wakanambia nikachek utrasound nilivyocheck dokta akasema mimba imeharibika incomplete arbotion hivyo tukusafishe lkn nafsi inakataa kwa sababu nilishawahi kuharibu mimba na dalili sio hizi lazima ningepata maumivu makali na leo ni siku ya 5 lazima damu ingetoka nyingi au mabonge kabisa km nimeharibu bado nafsi inakataa maana yule dokta alionyesha tamaa ya pesa anisafishe apate pesa aliningangania sana anisafishe naombeni ushauri jamani
Umenunua UPT?26yrz, huwa napitisha 1month bila period
Kwa mfano nimefnya mapenzi siku ya 14 nikarudia tena siku ya 16 mimba ikatunga je hiyo mimba itakua imetunga siku ya 14 au ya 16Naomba kuongeza hapo.
Mbezu za kiume zinazoweza kutoa mtoto wa kiume huweza kukaa muda wa masaa 48.na zinazoweza kutoa mtoto wa kike hukaa masaa 72. Kwa hiyo toka siku ya 11 mpaka siku ya 14 yai linapokuwa released ni masaa 72.KWA HIYO BASI, kama wataka mtoto wa kike wapaswa kufanya tendo la ndoa siku ya 11 au 12 maana mbegu za kutoa mtoto wa kiume zinakuwa zimeishiwa nguvu kabisa ifikapo siku ya 14 na za kike zitakuwa bado zinadunda.
Ila kwa siku ya 13,14 yenyewe ukifanya tendo la ndoa mara nyingi posibility ya kupata mtoto wa kiume ni kubwa maana speed ya mbegu zitoazo mtoto wa kiume ni kubwa kuliko zitoazo mtoto wa kike. Na itakuwa ni ndani ya masaa 48 .
Amisa mimba itatunga tu ila kujua mpaka utakapokosa siku zako maana baada ya siku ya 28Kwa mfano nimefnya mapenzi siku ya 14 nikarudia tena siku ya 16 mimba ikatunga je hiyo mimba itakua imetunga siku ya 14 au ya 16
Asnte sana bora umenijibu kitaalamu asnte na Mungu akubarikiAmisa mimba itatunga tu ila kujua mpaka utakapokosa siku zako maana baada ya siku ya 28
na je ni wanaume tofauti au ni huyo huyo mmoja (hapo ni DNA)
kama ni mwanamume mmoja ukitunga mimba siku za mwanzo kabla ya hiyo 14 utapata mtoto wa kiume
na baada ya 15 yaani kaja siku ya 16 utapata mtoto wa kike
yaani mbegu ya mwanamume yenye XY inamaanisha Y itawahi kwenda kukutana na XX za mwanamke na kutunga kaDume na iwapo XY zitachelewa hadi siku ya 17 Y zitachoka na uwezekano X itawaikuta XX na kiBinti katakuja
ngoja wataalm waje au nitakurushia Link
identifies days 8 - 19 as the potentially fertile days for women with cycles between 26 and 32 days long. This fertile window takes into account the variation in the timing of ovulation from one cycle to the next, the lifespan of the sperm and ovum, as well as cycle lengths for the majority of women*.
When Can You Get Pregnant, What Days of Cycle Can I Get Pregnant? | CycleBeads
UPT ndio nini??Umri wako? Uwa unapitisha miezi mingap bila MP? Sasa nunua kwanza UPT afu uje unipe majibu.
Urine Pregnancy Test.UPT ndio nini??
shukran mkuuUrine Pregnancy Test.
Wewe ni muongo wwAsnte sana bora umenijibu kitaalamu asnte na Mungu akubariki
Kivipi?Wewe ni muongo ww
Amisa achana naye huyoKivipi?
Wakuu,
Nakubaliana kwa kiasi fulani na wachangiaji wengine waliotangulia. Lakini natofautiana nao juu ya jambo moja tu, nalo ni namna wanavyoweza kui-pin point siku ile ya kilele (i.e fruitful/productive/fertile day), hapa nina maana ya siku ile ambayo wao wanaiita siku ya 14.
Ikumbukwe kuwa wanawake wanatofautiana katika suala zima la urefu wa MENSTRAL CYCLE, yaani idadi ya siku kati ya period ya kwanza hadi ile ya pili inayofuatia. Kundi kubwa la wanawake wana fall kwenye range ya siku 22-35. Japo walio-normal wana siku 28. Vile vile kuna wengine huwa na menstral cycle mbili, yaani fupi na ndefu. Hivyo walio na menstral cycle fupi, mathalani wale wenye siku 22, huwa vilevile wana kipindi kifupi sana cha kutokwa na damu (period), yaani damu inaweza kukatika ndani ya siku 2 tu! Na wale wenye siku 35 au zaidi huwa wana kipindi kirefu sana cha kutokwa na damu (period) ambapo wengine huwachukua hata siku kati ya 5 hadi 8.
Hivo basi, kama wewe ni mwanaume inakubidi umwelewe vizuri mwenzi wako juu ya hayo niliyoyasema hapo juu ili ikusaidie kui-pin point ile fertile day (yaani siku ya mimba).
Swali: Je siku ya mimba ni ipi?
Jibu lisilosahihi: Watu wengi na hata baadhi ya wanasayansi wanafikiri siku ya mimba ni ile ya 14 baada ya dalili za kwanza za damu ya hedhi! Wao huhesabu kuanzia siku ile damu ilipoanza kutoka hadi siku ya 14! Utaratibu huu ume-prove failure! Hii ni kwa sababu wanawake wana menstral cycle zinazotofautiana kwa urefu. Hivo basi jibu sahihi ni hili hapa chini:
Jibu sahihi:
1. Kwanza inabidi ujue kama mwenzi wako ana menstral cycle ipi? Fupi au ndefu, ama zote mbili?
2. Baada ya kujua urefu wa menstral cycle ya mwenzi wako then pin point siku ile ya mwisho halafu uhesabu backwards siku 15 kuanzia siku ile ya mwisho. Siku hii ya 15 kuanzia mwisho ndiyo siku ya mimba kwa mwanamke yeyote!
Once you know the '15th day' from the last one, then you can manoeuvre whatever you want to get her pregnant or to avoid pregnancy!
With this new approach of pin pointing the fertile day you will find that all women (menstral cycles) are covered, whereas the old way of counting fits only to women whose menstral cycles are 28 days!
Sahihi kabsaaa..!!Naomba kuongeza hapo.
Mbezu za kiume zinazoweza kutoa mtoto wa kiume huweza kukaa muda wa masaa 48.na zinazoweza kutoa mtoto wa kike hukaa masaa 72. Kwa hiyo toka siku ya 11 mpaka siku ya 14 yai linapokuwa released ni masaa 72.KWA HIYO BASI, kama wataka mtoto wa kike wapaswa kufanya tendo la ndoa siku ya 11 au 12 maana mbegu za kutoa mtoto wa kiume zinakuwa zimeishiwa nguvu kabisa ifikapo siku ya 14 na za kike zitakuwa bado zinadunda.
Ila kwa siku ya 13,14 yenyewe ukifanya tendo la ndoa mara nyingi posibility ya kupata mtoto wa kiume ni kubwa maana speed ya mbegu zitoazo mtoto wa kiume ni kubwa kuliko zitoazo mtoto wa kike. Na itakuwa ni ndani ya masaa 48 .
Sahihi kabsaaMkuu ngonalugali, sikubaliani na maelezo yako!
Ukweli ni kwamba, mbegu za kiume (yaani Y) ni nyembamba kwa umbile na ni faster ukilinganisha na zile za kike (yaani X).
Hii ni kwa sababu ya ukweli kwamba, 'wembamba' wa umbo la mbegu za kiume huziwezesha kuogelea kwa urahisi kuliko zile za kike katika yale majimaji ya uke wa mwanamke. Hii inamaana kwamba, kama yai la mwanamke litakuwa tayari kwenye sehemu ya kurutubishia (yaani kama mwanamke atakutana kimwili na mwanaume siku ile ya mimba) basi mbegu moja tu ya kiume itakayotangulia kulifikia yai itaweza kurutubisha na kisha yai huvaa koti gumu ambalo huyazuia mamillioni ya mbegu zingine za kiume zilizochelewa pamoja na zile za kike zisiingie ndani ya hilo yai badala yake hubaki nje ya yai zikisubili kufa. Mtoto wa hii mimba ni wa kiume, yaani YX.
Kama mwanamke atakutana na mwanaume siku 3 kabla ya siku ya mimba (fertile day) basi kuna uwezekano mkubwa wa kuzaliwa mtoto wa kike, yaani XX. Hii ni kwa sababu zile mbegu za kiume zitaogelea kwa kasi kubwa lakini zikifika kwenye sehemu ya kurutubishia hazitalikuta lile yai kwa sababu litakuwa halijafika sehemu yake. Zitasubili kwa siku mbili kisha zinakufa! Mbegu za kike zitaogelea polepole mpaka ile sehemu ya kurutubishia kisha zitakaa hapo kwa siku 3 zikilisubili lile yai lifike. Likifika tu ndani ya hizo siku 3 basi mbegu moja tu ya kike itakayochangamkia tenda italirutubisha yai hilo na kutengeneza mtoto wa kike, yaani XX.
Kama itatokea kwamba mbegu zaidi ya moja zitafanikiwa kulirutubisha yai, basi yai hilo litagawika katika vipande vyenye idadi sawa na mbegu zilizorutubisha na kupata watoto mapacha wasiofanana! Kwa mfano, kama mbegu 2 zitarutubisha yai basi watazaliwa mapacha wawili wasiofanana. Na kama mbegu 6 zitarutubisha yai, basi watazaliwa mapacha 6 wasiofanana; kitu ambacho hata hivo ni nadra sana kutokea, yaani mapacha 6.
Kama mbegu moja itarutubisha yai halafu muungano huo ukawa na idadi ya chromosomes zinazozidi kiwango kinachotakiwa, basi yai hilo litagawika sehemu mbili zilizo sawa na kupata mapacha wawili wanaofanana na ambao ni wa jinsia moja kufuatana na mbegu ipi kutoka kwa mwanaume ilirutubisha yai, ya kiume au ya kike.
Namna ya kupata mapacha. Baada ya kufanya tendo la ndoa katika ile siku ya 12,13,14,au 15.Nataka kuelewa jinsi ya kupata mapacha pia anayefahamu aweke hapa
Wakuu wote,
Kwanza napenda nitoe shukurani zangu za dhati kwa wote wanaofuatilia kwa makini hii thread na hasa kwa yule aliyeanzisha. Pamoja na kwamba aliyeanzisha hii thread hakui-present vizuri lakini ameeleweka na nitamrekebisha kwenye post inayofuata kuhusiana na neno 'Tarehe 13 &14' kama linavyosomeka kwenye title ya thread hii!
Pia, pamoja na kwamba posts ni chache lakini naamini kuwa, kuna watu wengi wa kila jinsia, kada na kila age wanafuatilia kwa makini hili somo kwa faida yao pamoja na ustawi wa jamii yetu. Usitegemee kupata hili somo shuleni au chuoni kwani vitabu vingi bado vinaongelea au kung'ang'ania theory ya zamani iliyo-prove failure juu ya hili jambo nyeti. Nami nitajitahidi kuanika wazi kila ninachokijua kuhusiana na hii mada. Pale nitakapokwama basi nitaomba yeyote anayefahamu katika kipengere hicho atusaidie ili twende sambamba!
Karibuni tuendeleee...