Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

Mkuu ngonalugali, sikubaliani na maelezo yako!

Ukweli ni kwamba, mbegu za kiume (yaani Y) ni nyembamba kwa umbile na ni faster ukilinganisha na zile za kike (yaani X).

Hii ni kwa sababu ya ukweli kwamba, 'wembamba' wa umbo la mbegu za kiume huziwezesha kuogelea kwa urahisi kuliko zile za kike katika yale majimaji ya uke wa mwanamke. Hii inamaana kwamba, kama yai la mwanamke litakuwa tayari kwenye sehemu ya kurutubishia (yaani kama mwanamke atakutana kimwili na mwanaume siku ile ya mimba) basi mbegu moja tu ya kiume itakayotangulia kulifikia yai itaweza kurutubisha na kisha yai huvaa koti gumu ambalo huyazuia mamillioni ya mbegu zingine za kiume zilizochelewa pamoja na zile za kike zisiingie ndani ya hilo yai badala yake hubaki nje ya yai zikisubili kufa. Mtoto wa hii mimba ni wa kiume, yaani YX.

Kama mwanamke atakutana na mwanaume siku 3 kabla ya siku ya mimba (fertile day) basi kuna uwezekano mkubwa wa kuzaliwa mtoto wa kike, yaani XX. Hii ni kwa sababu zile mbegu za kiume zitaogelea kwa kasi kubwa lakini zikifika kwenye sehemu ya kurutubishia hazitalikuta lile yai kwa sababu litakuwa halijafika sehemu yake. Zitasubili kwa siku mbili kisha zinakufa! Mbegu za kike zitaogelea polepole mpaka ile sehemu ya kurutubishia kisha zitakaa hapo kwa siku 3 zikilisubili lile yai lifike. Likifika tu ndani ya hizo siku 3 basi mbegu moja tu ya kike itakayochangamkia tenda italirutubisha yai hilo na kutengeneza mtoto wa kike, yaani XX.

Kama itatokea kwamba mbegu zaidi ya moja zitafanikiwa kulirutubisha yai, basi yai hilo litagawika katika vipande vyenye idadi sawa na mbegu zilizorutubisha na kupata watoto mapacha wasiofanana! Kwa mfano, kama mbegu 2 zitarutubisha yai basi watazaliwa mapacha wawili wasiofanana. Na kama mbegu 6 zitarutubisha yai, basi watazaliwa mapacha 6 wasiofanana; kitu ambacho hata hivo ni nadra sana kutokea, yaani mapacha 6.

Kama mbegu moja itarutubisha yai halafu muungano huo ukawa na idadi ya chromosomes zinazozidi kiwango kinachotakiwa, basi yai hilo litagawika sehemu mbili zilizo sawa na kupata mapacha wawili wanaofanana na ambao ni wa jinsia moja kufuatana na mbegu ipi kutoka kwa mwanaume ilirutubisha yai, ya kiume au ya kike.

very educative. Asante sana kwa mchango wako
 
What is Ovulation Calendar?

Ovulation Calendar is an effective software aid for any woman who either desires a pregnancy or wishes to prevent one. It can help you specify the gender of your baby and her zodiac sign
Designed by a woman in consultation with women physicians, Ovulation Calendar is a program that calculates the time of ovulation and generates your personal fertility calendar. Simply enter the length of your menstrual cycle and the date of your last period, and Ovulation Calendar will calculate your fertile days. The results are presented as a color-coded calendar showing your fertile and non-fertile periods.

Ovulation Calendar helps you become pregnant

You are most fertile when you are ovulating, so knowing your time of ovulation will help you determine the best days to conceive. Ovulation Calendar calculates the probability of conception based on your ovulation time and other factors such as lifespan of the egg and sperm; and shows you the days that are most promising for conception.

Ovulation Calendar allows you to choose the gender of your baby

You can increase your chances of having a boy or a girl by choosing the right time for intercourse. Sperm carrying X-chromosomes lives longer and swims slower than male Y-carrying sperm. Therefore, if you have intercourse about 3 days prior to ovulation, you have a better chance of conceiving a girl; and the closer to ovulation you have sex, the better the chances are of having a boy. Ovulation Calendar helps you calculate the perfect time for conception, increasing your chances of conceiving a boy or a girl.

Ovulation Calendar helps you avoid pregnancy

The natural way to avoid unwanted pregnancy is to abstain from unprotected intercourse during your fertile days. The most fertile time is the day of ovulation. Ovulation Calendar calculates the unsafe days taking into account possible variations in your menstrual cycle, helping you avoid an unwanted pregnancy.

Ovulation Calendar always keeps you informed of your fertility

The program sits in the Windows tray, near the clock, and reminds you of important changes in your fertility. For example, you can configure Ovulation Calendar to show pop-up reminders on the days that are optimal for conceiving a baby boy.

Ovulation Calendar is very easy to use

You don't have to know anything about corpus luteum, progesterone levels, or LH surges Ovulation Calendar does all this work for you. All you need to know to get started is the length of your menstrual cycle and the date of your last period. Simply enter these data and Ovulation Calendar will do the rest!

Soma hiyo link hapo chini

Ovulation Calendar - Homepage
 
What is Ovulation Calendar?

Ovulation Calendar is an effective software aid for any woman who either desires a pregnancy or wishes to prevent one. It can help you specify the gender of your baby and her zodiac sign
Designed by a woman in consultation with women physicians, Ovulation Calendar is a program that calculates the time of ovulation and generates your personal fertility calendar. Simply enter the length of your menstrual cycle and the date of your last period, and Ovulation Calendar will calculate your fertile days. The results are presented as a color-coded calendar showing your fertile and non-fertile periods.

Ovulation Calendar helps you become pregnant

You are most fertile when you are ovulating, so knowing your time of ovulation will help you determine the best days to conceive. Ovulation Calendar calculates the probability of conception based on your ovulation time and other factors such as lifespan of the egg and sperm; and shows you the days that are most promising for conception.

Ovulation Calendar allows you to choose the gender of your baby

You can increase your chances of having a boy or a girl by choosing the right time for intercourse. Sperm carrying X-chromosomes lives longer and swims slower than male Y-carrying sperm. Therefore, if you have intercourse about 3 days prior to ovulation, you have a better chance of conceiving a girl; and the closer to ovulation you have sex, the better the chances are of having a boy. Ovulation Calendar helps you calculate the perfect time for conception, increasing your chances of conceiving a boy or a girl.

Ovulation Calendar helps you avoid pregnancy
The natural way to avoid unwanted pregnancy is to abstain from unprotected intercourse during your fertile days. The most fertile time is the day of ovulation. Ovulation Calendar calculates the unsafe days taking into account possible variations in your menstrual cycle, helping you avoid an unwanted pregnancy.

Ovulation Calendar always keeps you informed of your fertility

The program sits in the Windows tray, near the clock, and reminds you of important changes in your fertility. For example, you can configure Ovulation Calendar to show pop-up reminders on the days that are optimal for conceiving a baby boy.

Ovulation Calendar is very easy to use
You don't have to know anything about corpus luteum, progesterone levels, or LH surges Ovulation Calendar does all this work for you. All you need to know to get started is the length of your menstrual cycle and the date of your last period. Simply enter these data and Ovulation Calendar will do the rest!

Soma hiyo link hapo chini

Ovulation Calendar - Homepage

Ndugu asante sana kwa information nzuri, nimejaribu kusoma hiyo homepage nikaipenda sana. Ila sasa nikitaka kuji register ndo hivyo tena inakataa wanaomba code. Vipi unaweza kunisaidia zaidi ya hapo au vipi. Shukrani
 
Mimi mwanamke wa pili kuchangia hii.nawapongeza wote mliochangia mada hii pamoja na huyu aliyeanza kui introduce hewani.somo limeeleweka na likizingatiwa litasaidia wanajamii.mi nimeshajaribu kutumia hiyo tarehe 15 na ikafanya kazi.so watu waifuate na hii ni kwa wanawake wote wenye menstrual cycle ndefu na fupi.congratulations all.!!!!!!naomba sasa njia ya kupata mapacha wandugu.
 
Wakuu,

Kwanza napenda nimsahukuru sana Mkuu Nziku kwa kuona kosa moja nililolifanya bila kutarajia wakati najibu swali la: Je, nifanye nini ili nizae mtoto wa KIKE?

Napenda niseme kwamba, what I did was just a human error! Sikukusudia na wala sikutarajia kufanya hilo kosa. Hilo jibu ni sahihi kwa mwanamke ambaye menstration cycle yake ni siku 15. Tafadhali fuatilia majibu ya mapya hapa chini:


Swali: Je, nifanye nini ili nizae mtoto wa KIKE?

Jibu sahihi: Ili mwanamke aweze kuzaa mtoto wa KIKE, inabidi alale na mwanaume siku 3 kabla ya siku ile ya mimba (siku 3 kabla ya fertile day)!

Mkuu kungurumweupe wewe ulikua sahihi kabisa!, kwa kua siku zitakua 15, which mean ukianza kuhesabu kurudi nyuma kwa siku kumi na tano utakuta inaangukia kwenye ile siku ya Bleed, ambayo ndo hiyo hiyo siku ya kupata mimba!, kwahiyo in simple saying ni kwamba siku 3 kabla ya ku-bleed!
 
Hongera sana kwa mleta mada, jamani nimepitia hoja zote na nimekutana na hoja kama mbili zenye matatizo kama yangu. Ningependa kupata masaada maana nimekuwa nijaribu sasa ni kama 6 months ku concieve na nimeshindwa kabisa na nipo kwenye ndoa ni one year sasa. Ila huko nyuma kabla ya huyu bwana nilishashushaga engine kama mara 6 hivi. Je inamaanisha mayai yameisha au vipi! Mzunguko wangu kwa kweli ni wa mawengemawenge, maana sina mzunguko maalum (mfupi wala mrefu), unakuwa mara siku 22, next months 24 the other 20...25....32..and so on.
 
Hongera sana kwa mleta mada, jamani nimepitia hoja zote na nimekutana na hoja kama mbili zenye matatizo kama yangu. Ningependa kupata masaada maana nimekuwa nijaribu sasa ni kama 6 months ku concieve na nimeshindwa kabisa na nipo kwenye ndoa ni one year sasa. Ila huko nyuma kabla ya huyu bwana nilishashushaga engine kama mara 6 hivi. Je inamaanisha mayai yameisha au vipi! Mzunguko wangu kwa kweli ni wa mawengemawenge, maana sina mzunguko maalum (mfupi wala mrefu), unakuwa mara siku 22, next months 24 the other 20...25....32..and so on.

Pole inawezekana hiyo ndiyo sababu.
 
Kungurumweupe,

Nimependa sana jina na maelelezo yako! sema tu Bongo Kunguru wengi weusi!

Hivi bado wapo Kunguru weupe Bongo?
 
...Ningependa kupata masaada maana nimekuwa nijaribu sasa ni kama 6 months ku concieve na nimeshindwa kabisa na nipo kwenye ndoa ni one year sasa. Ila huko nyuma kabla ya huyu bwana nilishashushaga engine kama mara 6 hivi. Je inamaanisha mayai yameisha au vipi! Mzunguko wangu kwa kweli ni wa mawengemawenge, maana sina mzunguko maalum (mfupi wala mrefu), unakuwa mara siku 22, next months 24 the other 20...25....32..and so on.
______________________________________________________________
In China, Japan and Far-East countries, women, who do not conceive and need to strengthen the uterus, have been taking cinnamon powder for centuries. Women who cannot conceive may take a pinch of cinnamon powder in half teaspoon of honey and apply it on the gums frequently throughout the day, so that it slowly mixes with the saliva and enters the body.

A couple in Maryland, USA, had no children for 14 years and had lost hope of having a child of their own. When told about this process, husband and wife started taking honey and cinnamon as stated above; the wife conceived after a few months and had twins at full term.
_______________________________________________________________
Bofya hapa: Kujitibu Kwa Kutumia Asali
________________________________________________________________

INFERTILITY: Yunani and Ayurvedic Medicine have been using honey for thousands of years to strengthen the semen of men. If impotent men regularly take two tablespoon of honey before going to sleep, their problem will be solved.
 
Kwa wale ambao siku zao ni irregular, kwa nini , ili kucover all the bases, wasidunde siku ZOTE za kati? Au kila baada ya siku moja? Najua itakuwa kazi lakini mtaka cha uvunguni.......! Si aibu kutafuta msaada wa vile vidonge vya buluu ( Sildenafil citrate) ikibidi. Au vijamaa vitakuwa vidhaifu vikiendekezwa?

Fundi Mchundo asie daktari.
Je, mbegu za kiumne zitakazotoka kwenye bao la kwanza zina ubora sawa na zile zitakazotoka kwenye bao la pili? Je, hakuna upungufu wa uwezo (ubora) wa mbegu za kiume kupevusha yai la mwanamke endapo ngono itafanywa kwa siku mfululizo?
 
Kungurumweupe hukunijibu hili swali chini.

Je, sahihi kama nikisumarise kuwa mkutane kimwili izo siku zote(8th na 13th,14th)(ukiacha wale wa siku 35 na 15)kwa wale tunaopenda short cut? hahaha na pia c kuna kit ya kupima mkojo ili kujua kama leo au kesho ni fertile day? Naomba jibu!
 
Kungurumweupe..mkuu nimeisoma hii thread toka mwanzo mpka hapa..kwa kweli wewe ni gwiji! Duh! Hats off!
 
Kungurumweupe hukunijibu hili swali chini..

je sahihi kama nikisumarise kuwa mkutane kimwili izo siku zote(8th na 13th,14th)(ukiacha wale wa siku 35 na 15)kwa wale tunaopenda short cut? hahaha na pia c kuna kit ya kupima mkojo ili kujua kama leo au kesho ni fertile day?..naomba jibu!

Mkuu pole sana, lakini ukweli ni kwamba hakuna short cut! Short cut means that unataka kubahatisha! Lazima ufuate utaratibu niliouelezea kama hutaki kubahatisha. Kumbuka nimetoa mifano ya cycle lengths chache tu lakini fahamu kwamba, utaratibu huohuo unaweza ukatumika kwa kila cycle length. Cha msingi hapa kwanza ni ku-estabrish your cycle length kisha una-apply the same procedure as I did for the few examples (few cycle lengths)! Otherwise, kama unataka kubahatisha then do it everyday, if you are very strong anyway! But from my experience, no one can do it with his wife (or her husband) everyday!
 

______________________________________________________________
In China, Japan and Far-East countries, women, who do not conceive and need to strengthen the uterus, have been taking cinnamon powder for centuries. Women who cannot conceive may take a pinch of cinnamon powder in half teaspoon of honey and apply it on the gums frequently throughout the day, so that it slowly mixes with the saliva and enters the body.

A couple in Maryland, USA, had no children for 14 years and had lost hope of having a child of their own. When told about this process, husband and wife started taking honey and cinnamon as stated above; the wife conceived after a few months and had twins at full term.
_______________________________________________________________
Bofya hapa: Kujitibu Kwa Kutumia Asali
________________________________________________________________

INFERTILITY: Yunani and Ayurvedic Medicine have been using honey for thousands of years to strengthen the semen of men. If impotent men regularly take two tablespoon of honey before going to sleep, their problem will be solved.

Hiyo Cinnamon Powder ndio unga gani kwa KIBANTU? na je ni common upatikanaji wake kwa huku kwetu tz?
 
Je mbegu za kiumne zitakazotoka kwenye bao la kwanza zina ubora sawa na zile zitakazotoka kwenye bao la pili?Je hakuna upungufu wa uwezo(ubora) wa mbegu za kiume kupevusha yai la mwanamke endapo ngono itafanywa kwa siku mfululizo?

Kunguru Mweupe tunasubiria majibu yako mkuu; kwa faida ya wanafunzi wote hapa darasani. Maana hatujakuona cku nyingi.
 
Hiyo Cinnamon Powder ndio unga gani kwa KIBANTU? na je ni common upatikanaji wake kwa huku kwetu tz?

Ni mdalasini ndugu, unauzwa kila kona ya Tz. Sema pengine kama uko wa aina mbalimbali...tusaidieni zaidi hapo.
 
...Otherwise, kama unataka kubahatisha then do it everyday, if you are very strong anyway![/B] But from my experience, no one can do it with his wife (or her husband) everyday!

I can do it! ...thought ni kawaida, kumbe ni 'hitilafu'?
 

Attachments

  • students-raise-hand.jpg
    students-raise-hand.jpg
    13.2 KB · Views: 405
Back
Top Bottom