Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

Kwa harakaharaka hapa bado sijaona mwanamke amechangia hoja hii. Naona wanatazama tu hoja na kuguna mmgh!!!! mbona hawajitokezi kutoa ilimu?
Ni kweli kabisa wangesaidia kutupatia mwanga zaidi. Sijui wamejificha wapi?
 
Leo kunguru mweupe hujaonekana darasani kulikoni mkuu Dr. wetu tumekusubili kwa hamu sana kupata majibu ya members walio uliza maswali..ok naona utakuwa busy na wagonjwa.
 
Leo kunguru mweupe hujaonekana darasani kulikoni mkuu Dr. wetu tumekusubili kwa hamu sana kupata majibu ya members walio uliza maswali..ok naona utakuwa busy na wagonjwa.


Wakuu samahani sana, nina wageni wamenitembelea kikazi na kwa kweli niko very bussy. Nimepata muda kidogo nikaona nije darasani kuangalia kama wanafunzi wanajisomea. Najuwa kuna maswali ambayo bado sijayajibu, hivo naomba tukutane siku nyingine.
 
Wakuu,

Naomba nijibu maswali ya Yassin kama ifuatavyo:


Swali
la kwanza la Yassin: Kama inabidi iwe siku ya 14 or 15 sasa si kila mtu angekuwa na birthday hizo siku 2???


Jibu:
Watu wote hawawezi kuwa na birth day siku ulizozitaja pekee kwa sababu kila mwanamke ana kalenda yake inayoanza tofauti na ya mwingine hata kama wote wakiwa na menstration cycles zenye urefu unaofanana e.g 22 days. Hata kama itatokea kwamba wanawake wawili wakawa na menstration cycles zenye urefu unaolingana, e.g 22 days, halafu hawa watu wakaanza ku-bleed siku moja e.g 01/sept/08 halafu wakapata mimba siku moja e.g 08/sept/08 (yaani siku ya mimba for this case), kamwe haitatokea wakajifungua siku moja kwa sababu, pamoja na kwamba tunafahamu mtoto huwa anakaa miezi 9 tumboni, lakini wajawazito wengi huwa wanatofautiana idadi ya siku za kubeba mtoto tumboni! Wengine huwa wanatimiza exact 9 months, wengine hujifungua chini ya miezi 9, na wengine hujifungua zaidi ya miezi 9 (yaani miezi 9 na week 1 au 2)


Mfano hai: Kama Lorain na Asha wote wawili wana cycles za urefu wa siku 22 kila mmoja, basi Lorain anaweza kuianza cycle yake tarehe 1/sept/08 na akapata mimba 8/sept/08, wakati Asha akawa pengine anaianza cycle yake tarehe 9/set/08 na akapata mimba tarehe 16/sept/08. Pamoja na kwamba wote wana cycles zenye urefu unaolingana(yaani siku 22) lakini safari ya cycle ya kila mmoja wao inaanza siku tofauti na ya mwenzake! Hii ndiyo sababu tosha ya wao wawili kukosa uwezekano wa kujifungua siku moja (same birth day)!


Swali
la pili la Yassin: Kwa nini sasa unahesabu kuanzia mbele kurudi nyumba?

Jibu: Kwanza hapa tunataka tuwe na a single/systematic/uniform counting, ili tulahisishe maisha kama kawaida yetu wanadamu! Ndo maana wanasayansi wa zamani walipendekeza tuhesabu siku 14 kuanzia ile siku bleed inapoanza! Kweli hili walifanikiwa lakini ni kwa wanawake wale tu wenye cycle ya siku 28. Walisahau kwamba hii siku ya mimba huwa inasogea mbele kama cycle itarefuka zaidi ya siku 28, na husogea nyuma kama cycle itakuwa fupi chini ya siku 28. Hapa ndipo wengine ikatubidi tufikilie upya jinsi ya kupata that single/systematic/uniform counting! Na hapa ndipo counting back 15 days inapopata umuhimu wake! That's all!

To conclude therefore, Counting back 15 days from the end becomes the only reliable solution for all women, and it replaces the traditional one of counting forward 14 days from the first day of bleed!



Hebu tujikumbushe tena maswali yetu:



Swali: Je, nifanye nini ili nizae mtoto wa KIUME:

Jibu: Ili mwanamke aweze kuzaa mtoto wa KIUME, inabidi alale na mwanaume siku ile ya mimba (fertile day), ambayo ni siku ya 15 unayoi-pin point when counting backward from the last day!


Swali: Je, nifanye nini ili nizae mtoto wa KIKE:

Jibu: Ili mwanamke aweze kuzaa mtoto wa KIKE, inabidi alale na mwanaume siku 3 kabla ya ile siku ya mimba (yaani siku 3 kabla ya ile fertile day)! Hii inaondoa uwezekano wa mbegu za kiume kulirutubisha yai, kwani mbegu zote za kiume zitakuwa zimeshakufa ndani ya siku mbili za mwanzo na kuziacha zile za kike zikidunda kwa siku moja zaidi zikilisubili yai lifike ili zigombanie kulirutubisha! Kumbuka kwamba, ni mbegu moja tu inahitajika kurutubisha yai. Endapo itatokea mbegu zaidi ya moja zikalirutubisha, basi yai hilo litagawika sehemu zenye idadi sawa na mbegu zilizorutubisha ili kutengeneza mapacha wasiofanana kwa sura na pengine jinsia!


Swali:
Je, kama menstration cycle yangu ni siku 15, nifanye nini ili nipate mtoto wa kike?


Jibu:
Ili mwanamke mwenye menstration cycle ya siku 15 aweze kuzaa mtoto wa KIKE, inabidi alale na mwanaume siku 3 kabla ya siku ile ya bleed (yaani siku 3 kabla ya ile siku anayoanza kutokwa damu ya hedhi)! Kwa mwanamke wa kundi hili inabidi tukumbuke kwamba, siku yake ya mimba ndiyo siku hiyo hiyo anayoanza ku-bleed!


NOTE:
Majibu yote matatu tuliyoyaona hapo juu na katika posts zilizotangulia yana-aply kwa wanawake wote wenye uwezo wa kuzaa, yaani wasiokuwa na utasa [/B]!

Asante sana mkuu kwa ushauri wako nimefuragi sana mimi kwa upande wangu na nadhani sio mimi tu ambao tumefaidika hapa ni wengi so nashukuru sana na endelea kutuelisha zaidi na zaidi maana inabidi tusaidiane kuna wengine waliofanikiwa kupata walichonacho lakini ukimuuliza kutaka kujua majibu watakayo kujibu utajuta kwa nini uliuliza so tunashukuru na tupo pamoja
 
Swali: Je, nifanye nini ili nizae mtoto wa KIKE:

. Endapo itatokea mbegu zaidi ya moja zikalirutubisha, basi yai hilo litagawika sehemu zenye idadi sawa na mbegu zilizorutubisha ili kutengeneza mapacha wasiofanana kwa sura na pengine jinsia!


mkuu angalia vizuri mkate wako(kitabu)


Mkuu Mr. Kiroboto,

Kumbuka kwamba, ni mbegu moja tu inahitajika kurutubisha yai. Endapo itatokea mbegu zaidi ya moja zikalirutubisha yai, basi yai hilo litalazimika kugawika katika sehemu zenye idadi sawa na mbegu zilizolirutubisha ili kutengeneza mapacha wasiofanana kwa sura na pengine jinsia. Hapa ni pale inapotokea mbegu zaidi ya moja (yaani za kike na/au za kiume) zote kwa pamoja zimechangia kulirutubisha hilo yai! Hata hivyo, probability ya mbegu zaidi ya moja kulirutubisha yai ni ndogo sana na ndiyo maana idadi ya mapacha duniani nayo ni ndogo sana!

Endapo itatokea mbegu moja tu ya kike au ya kiume (either X or Y) itahusika kulirutubisha yai halafu yai hilo likalazimika kugawika katika vipande viwili, basi mapacha watakaotokana na hilo yai watakuwa wa jinsia moja na watafanana kwa sura!
 
Wakuu Lorain & Kidzogole,

Tatizo lenu naona linafanana. Lakini, kabla hamjayafanyia kazi maelezo nitakayoyatoa hapa, naomba kwanza mfanye uchunguzi wa kina juu ya hizo menstration cycles zenu! Nahisi kama takwimu zenu hamjazifanya kwa umakini! Nasema hivo kwa sababu wanawake wengi huwa hawahesabu siku zao kiasi cha kutunza kumbukumbu mithili ya zile mlizozitoa hapa darasani! Jaribuni kuchunguza tena validity ya menstration cycles zenu!

Lakini kama takwimu zenu mlizozitoa ziko sahihi, basi inawezekana sababu kubwa ikawa ni moja, nayo ni ile ya kisaikolojia!

Kumbuka kwamba cycles kwa kiasi kikubwa huwa-controlled na akili. Hivo kama akili itakuwa na mawazo mengi juu ya tatizo la kimapenzi au wasiwasi unaotokana na kushindwa kubeba mimba kwa muda ambao wanandoa au mmoja wao amekusudia, basi kunauwezekano mkubwa hali hii ikapelekea kuathili mzunguko wa cycle ya mwanamke! Na pengine hii husababishwa na kuwa over ambitious kupata mtoto kwa muda mrefu bila mafanikio!

Hapa ndipo wanawake wengi hujikuta wanapata 'Irregular menstration cycles' kama zile za Lorain na Kidzogole, ambazo kwa kiasi kikubwa husababishwa na unsettled mind!

Msongo wa mawazo huathili kwa kiasi kikubwa swala zima la mapenzi kwa jinsia zote. Kwa mfano: Mwanaume akiwa na msongo wa mawazo halafu hapohapo akataka kufanya tendo la ndoa, basi kuna hatari ya jogoo lake kushindwa kuwika! Hii ni kwa sababu akili yake inamawazo mengi kiasi cha kushindwa ku-concentrate vizuri kwenye tendo lenyewe!

Nini tiba ya hili tatizo:

Jibu: Tiba kubwa ni peace of mind! Kwa msaada zaidi muone psychologist!


NOTE:
Mazingira na mabadiliko ya hali ya hewa nayo huchangia kwa kiasi fulani kupata Irregular menstral cycles!
 
Wakuu Lorain & Kidzogole,

Tatizo lenu naona linafanana. Lakini, kabla hamjayafanyia kazi maelezo nitakayoyatoa hapa, naomba kwanza mfanye uchunguzi wa kina juu ya hizo menstration cycles zenu! Nahisi kama takwimu zenu hamjazifanya kwa umakini! Nasema hivo kwa sababu wanawake wengi huwa hawahesabu siku zao kiasi cha kutunza kumbukumbu mithili ya zile mlizozitoa hapa darasani! Jaribuni kuchunguza tena validity ya menstration cycles zenu!

Lakini kama takwimu zenu mlizozitoa ziko sahihi, basi inawezekana sababu kubwa ikawa ni moja, nayo ni ile ya kisaikolojia!

Kumbuka kwamba cycles kwa kiasi kikubwa huwa-controlled na akili. Hivo kama akili itakuwa na mawazo mengi juu ya tatizo la kimapenzi au wasiwasi unaotokana na kushindwa kubeba mimba kwa muda ambao wanandoa au mmoja wao amekusudia, basi kunauwezekano mkubwa hali hii ikapelekea kuathili mzunguko wa cycle ya mwanamke! Na pengine hii husababishwa na kuwa over ambitious kupata mtoto kwa muda mrefu bila mafanikio!

Hapa ndipo wanawake wengi hujikuta wanapata 'Irregular menstration cycles' kama zile za Lorain na Kidzogole, ambazo kwa kiasi kikubwa husababishwa na unsettled mind!

Msongo wa mawazo huathili kwa kiasi kikubwa swala zima la mapenzi kwa jinsia zote. Kwa mfano: Mwanaume akiwa na msongo wa mawazo halafu hapohapo akataka kufanya tendo la ndoa, basi kuna hatari ya jogoo lake kushindwa kuwika! Hii ni kwa sababu akili yake inamawazo mengi kiasi cha kushindwa ku-concentrate vizuri kwenye tendo lenyewe!

Nini tiba ya hili tatizo:

Jibu: Tiba kubwa ni peace of mind! Kwa msaada zaidi muone psychologist!


NOTE:
Mazingira na mabadiliko ya hali ya hewa nayo huchangia kwa kiasi fulani kupata Irregular menstral cycles!

Asante kaka,

Maelezo yako nimeyaelewa vizuri na asante sana, katika hili swala la irregular mens niko nalo toka nivunje ungo. Sasa and when u said i go and see a psychologist does it mean am insaine sorry kama nimekosea spelling nilimaanisha nimechanganyikiwa! and does it mean I cannot conceive?

Thanks
 
Kwa wale ambao siku zao ni irregular, kwa nini , ili kucover all the bases, wasidunde siku ZOTE za kati? Au kila baada ya siku moja? Najua itakuwa kazi lakini mtaka cha uvunguni. Si aibu kutafuta msaada wa vile vidonge vya buluu (Sildenafil citrate) ikibidi. Au vijamaa vitakuwa vidhaifu vikiendekezwa?

Fundi Mchundo asie daktari.
 
Basal Thermometers - Tips for Use

A basal thermometer is an ultra sensitive thermometer that tracks your body's minutest temperature shift. A basal body temperature (BBT) thermometer is often used by women to chart their basal body temperature chart and hence predict their fertile period or ovulation. There are various kinds of BBT thermometers available but a digital basal thermometer is your best bet. Most basal thermometers come with a blank basal body temperature chart that you can use. You can also download a our free basal body temperature chart to use.

A basal thermometer is more reliable and accurate than a simple glass thermometer since glass thermometers are only accurate to .2 degrees Fahrenheit. You really need it to be accurate to .1 degrees Fahrenheit. The main advantage of the digital basal body thermometer over a fever measuring body thermometer is speed. The basal body digital thermometer is more accurate than a fever based thermometer, and it only takes 30-60 seconds. In addition, a digital basal thermometer is harder to break and remembers the temperature for you if you don't want to chart it immediately.

Charting your basal body temperature is also easy. Simply put, what you are doing is taking your temperature first thing each day and plotting the temperature on a chart. What you are looking for is to see a temperature shift of at least .4 degrees Fahrenheit after ovulation making your chart biphasic. This means that your chart should show low temperatures before ovulation in the follicular phase, and higher ones after ovulation in the luteal phase.

Here are some tips to help use your basal body thermometer with optimum accuracy:

1. Use your basal thermometer first thing in the morning before you get out of bed.
To avoiding forgetting you can leave your thermometer at your bedside within easy reach so you don't have to move much to get it. If you use a glass thermometer, make sure you shake it down before going to bed.

2. Try to take the temperature at as close to the same time each day as possible.
You may need to set an alarm to be accurate. Staying within a half hour either side of your average time is a good idea because your temp can vary with the time. For example, if you usually take your temperature at 6 a.m., it is fine to take your basal body temperature between 5:30-6:30, but the closer to 6 the better. The normal variation is by up to .2 degrees per hour. It may be lower if you take your temperature earlier than average and higher if you take it later than average time.

3. It is best to use your basal thermometer after 5 hours of uninterrupted sleep.
The minimum limit is 3 hours.

4. You can use your basal body thermometer orally, vaginally, or rectally.
But always stick with the same method for the entire cycle.

5. You should try to place the basal body thermometer the same way each day
Meaning, try and place the basal thermometer in the same location of your mouth, same depth vaginally or rectally.

6. If you see a drop in your temperature, have sex.
Some women, not all, have a temperature drop when they ovulate and then see the temperature jump following the dip. If you see this drop, it is a good idea to have sex in case you are ovulating. Otherwise continue using your basal body thermometer throughout the cycle for accurate results.
 
1.Menstrual calendar

Ni kweli ule utaratibu wa kawaida was siku 28 hauendani na menstrual cycles za wanawake wote. Hata hivo hiyo huchukuliwa kama wastani (mean au average). Ni kama vile tusemavyo moyo una mapigo 72/dakika, 15 breathes/ min n.k.

Ukweli ni kwamba karibu kila mwanamke mweye umri wa kuzaa hupata monthly cycle zinazotofautiana karibu kila mwezi. Utakuta mwezi huu ana siku 27, unaofuta labda 28, 26, 30 n.k. Hii ndio sababu imekuwa vigumu kuweza kutumia cycles hizi kwa ukakika kabisa katika kuepuka mamba, kupata mamba, kuchagua jinsia ya mototo n.k. Na hata pamoja na kuongezea monitoring of the basal body temp, vaginal mucus etc bado ufanisi katika kutumia hii “natural clock” haujawa mkubwa sana. Na ndio sababu njia mbadala chemical, surgical, condoms, na sasa IVF etc. zimekuwa zinatumiwa.

Nijuavyo mimi ni kuwa
Menstrual cycle ina phase kuu tatu:
• Menstual: zile siku 4/5 za flow (erosion of part of endometruim)
• Follicular/proliferative: ambapo yai/mayai huandaliwa for a new cycle
• Ovulation (not a phase)
• Luteal phase (mimba hutungwa or culminates into next menses)
Na hizo phases zote hutofautiana kila mwezi na kwa kila mwanamke japo kwa kiasi kidogo kama nilivoeleza hapo juu.

Sasa labda naomba elimu kidogo
Ule utaratibu wa kuhesabu siku 15 kurudi nyuma msingi wake ni nini hasa? Je hizo siku 15 ni za luteal phase? Na kama ni hivo basi siku hizo nazo hutautiana kila mwezi na kwa kila mwanamama. Tafadhali nipe maelezo ya kina hapo.

Inawezekana ukawa ni utafiti mpya kwa maana elimu huongezeka kila leo. Au labda ni elimu ya zamani ambayo sikubahatika kufundishwa au kujisomea. Je huo utafiti umepechapishwa? Na kama hivo ni katika jarida/ journal ipi au kitabu gani? Au website ipi? Na kama ni new findings zako ningekushauri uupublish mara moja maana itatusaidia wengi mkuu.

2. Fertilization and twinning:

Wakati unamjibu mkuu Kiroboto umeandika hivi:

Kumbuka kwamba, ni mbegu moja tu inahitajika kurutubisha yai. Endapo itatokea mbegu zaidi ya moja zikalirutubisha yai, basi yai hilo litalazimika kugawika katika sehemu zenye idadi sawa na mbegu zilizolirutubisha ili kutengeneza mapacha wasiofanana kwa sura na pengine jinsia. Hapa ni pale inapotokea mbegu zaidi ya moja (yaani za kike na/au za kiume) zote kwa pamoja zimechangia kulirutubisha hilo yai! Hata hivyo, probability ya mbegu zaidi ya moja kulirutubisha yai ni ndogo sana na ndiyo maana idadi ya mapacha duniani nayo ni ndogo sana!

Hapo penye red mkuu panagomba: Mbegu zaidi ya moja kurutubisha ya huitwa polyspermy. Na jinsi ova zinavodevelop electric current and physical rigidity kiasi inakuwa haiwezekani kwa mbegu zaidi ya moja kurutubisha yai moja. Hiyo nafahamu uko deep! Na ikitokea basi, as rare as it is, ile embryo inakufa mara moja ending in miscarriage, abortion, stillbirth au hata kufa baada ya kuzaliwa kwa vile kungetokea kiumbe chenye entire polyploid genome yenye chromosomes 23x 3, 4 etc = 69 au 92 na huyo sio binadamu.

Kwa hiyo polysperm sio inayosababisha twins bali:
Fraternal twins (dizygotic): hutokana na multiple ovulataions + fertilizations
Identical (monozygotic): hutokana na multiple embryos per single fertilization

Mengine sina nyongeza mkuu bali naomba uendelee kutoa ndozo zako zimetulia.
 
Mkuu Kungurumweupe na wadau wote.

Kwanza Natanguliza samahani kwa double posting.
Pili nakushukuru kwa kutoa darasa la uhakika katika hii nyaja nyeti ya afya ya jisia na uzazi. Hata hivo napenda kutoa angalizo katika maambo mawili:

1. Menstrual calendar

Ni kweli ule utaratibu wa kawaida was siku 28 hauendani na menstrual cycles za wanawake wote. Hata hivo hiyo huchukuliwa kama wastani (mean au average). Ni kama vile tusemavyo moyo una mapigo 72/dakika, 15 breathes/ min n.k.

Ukweli ni kwamba karibu kila mwanamke mweye umri wa kuzaa hupata monthly cycle zinazotofautiana karibu kila mwezi. Utakuta mwezi huu ana siku 27, unaofuta labda 28, 26, 30 n.k. Hii ndio sababu imekuwa vigumu kuweza kutumia cycles hizi kwa ukakika kabisa katika kuepuka mamba, kupata mamba, kuchagua jinsia ya mototo n.k. Na hata pamoja na kuongezea monitoring of the basal body temp, vaginal mucus etc bado ufanisi katika kutumia hii natural clock haujawa mkubwa sana. Na ndio sababu njia mbadala chemical, surgical, condoms, na sasa IVF etc. zimekuwa zinatumiwa.

Nijuavyo mimi ni kuwa
Menstrual cycle ina phase kuu tatu:
Menstual: zile siku 4/5 za flow (erosion of part of endometruim)
Follicular/proliferative: ambapo yai/mayai huandaliwa for a new cycle
Ovulation (not a phase)
Luteal phase (mimba hutungwa or culminates into next menses)
Na hizo phases zote hutofautiana kila mwezi na kwa kila mwanamke japo kwa kiasi kidogo kama nilivoeleza hapo juu.

Sasa labda naomba elimu kidogo
Ule utaratibu wa kuhesabu siku 15 kurudi nyuma msingi wake ni nini hasa? Je hizo siku 15 ni za luteal phase? Na kama ni hivo basi siku hizo nazo hutautiana kila mwezi na kwa kila mwanamama. Tafadhali nipe maelezo ya kina hapo.

Inawezekana ukawa ni utafiti mpya kwa maana elimu huongezeka kila leo. Au labda ni elimu ya zamani ambayo sikubahatika kufundishwa au kujisomea. Je huo utafiti umepechapishwa? Na kama hivo ni katika jarida/ journal ipi au kitabu gani? Au website ipi? Na kama ni new findings zako ningekushauri uupublish mara moja maana itatusaidia wengi mkuu.

2. Fertilization and twinning:

Wakati unamjibu mkuu Kiroboto umeandika hivi:

Kumbuka kwamba, ni mbegu moja tu inahitajika kurutubisha yai. Endapo itatokea mbegu zaidi ya moja zikalirutubisha yai, basi yai hilo litalazimika kugawika katika sehemu zenye idadi sawa na mbegu zilizolirutubisha ili kutengeneza mapacha wasiofanana kwa sura na pengine jinsia. Hapa ni pale inapotokea mbegu zaidi ya moja (yaani za kike na/au za kiume) zote kwa pamoja zimechangia kulirutubisha hilo yai! Hata hivyo, probability ya mbegu zaidi ya moja kulirutubisha yai ni ndogo sana na ndiyo maana idadi ya mapacha duniani nayo ni ndogo sana!
Hapo penye red mkuu panagomba: Mbegu zaidi ya moja kurutubisha ya huitwa polyspermy. Na jinsi ova zinavodevelop electric current and physical rigidity kiasi inakuwa haiwezekani kwa mbegu zaidi ya moja kurutubisha yai moja. Hiyo nafahamu uko deep! Na ikitokea basi, as rare as it is, ile embryo inakufa mara moja ending in miscarriage, abortion, stillbirth au hata kufa baada ya kuzaliwa kwa vile kungetokea kiumbe chenye entire polyploid genome yenye chromosomes 23x 3, 4 etc = 69 au 92 na huyo sio binadamu.

Kwa hiyo "probability" ya polysperm sio inayosababisha "probability" ya twins bali:
Fraternal twins (dizygotic): hutokana na multiple ovulataions + fertilizations
Identical (monozygotic): hutokana na multiple embryos per single fertilization

Mengine sina nyongeza mkuu bali naomba uendelee kutoa ndozo zako zimetulia.
 
Mkuu Verily Verily,

Naomba nisisitize kwamba, utaratibu wa counting 15 days back ni sahihi na umesaidia wanawake wengi. Halafu suala la mwanamke kuwa na multiple cycles hali-aply kwa wanawake wote! Wengi wana cycle moja au mbili ambazo zaweza ku-fluctuate kidogo kutokana na internal or external forces lakini badae hu-resume their normal lengths!

Kwa mfano: Kama itatokea akili au mwili wa mwanamke utapata big changes within a short time, mathalani kuongezeka au kupungua uzito kwa kiasi kikubwa kwa muda mfupi, basi cycle pia yaweza badilika lakini badiliko hili huwa siyo permanent! Hizi ni fluctuations tu za muda mfupi lakini baadaye cycle hu-resume its normal length!

TWINS:

Twins wako wa aina mbili nazo ni:

1. Fraternal twins:

Hawa hutokana na multiple ovulation. Multiple ovulation ni uwezo wa ovaries za mwanamke kutoa mayai mengi ndani ya cycle moja, na maranyingi huwa ni mayai mawili (double ovulation) lakini yote ni lazima yatoke ndani ya siku moja (yaani ndani ya masaa 24)!

Kama itatokea mayai haya mawili ya double ovulation yakarutubishwa na mbegu mbili za kiume (Y & Y), basi mapacha watakaozaliwa watakuwa na jinsia ya kiume lakini hawatafanana kwa sura!

Kama mbegu zote mbili zilizorutubisha ni za kike (X & X) basi mapacha watakuwa wakike lakini hawafanani kwa sura!

Kama X na Y kila moja itarutubisha yai moja basi mapacha watakuwa wa kike na wa kiume wasiofanana kwa sura!

NOTE: Multiple ovulation is an inherent character, hivo si kila mwanamke anaweza kupata multiple ovulation au mapacha!

2. Identical Twins:


Hawa ni mapacha wanaopatika tu pale inapotokea yai moja likarutubishwa na mbegu moja (X or Y), halafu yai hili likalazimika kugawika katika vipande viwili vilivyo sawa kutokana na internal forces! Mapacha hawa lazima wawe na jinsia moja na lazima wawe na sura zinazofanana! Na hawa ndio niliowahi kuwaongelea katika posts zangu zilizopita! They have nothing to do with natural inheritance!

Swali: Je kuna uwezekano wa kupata mapacha wa aina zote mbili (Fraternal & identical twins) kwa wakati mmoja?

Jibu: Ndiyo!

How?

Kwa mfano:
Kama itatokea mwanamke akawa na double ovulation (2 eggs) harafu mayai haya 2 yakarutubishwa na mbegu mathalani 2 za kike ( X & X), halafu hapohapo ikatokea yai moja kati ya hayo likagawika katika vipande viwili kutokana na idadi ya chromosomes zilizozidi kiwango kinachotakiwa, basi mwanamke huyu atajifungua mapacha watatu wa kike ambapo wawili watafanana kwa sura na mmoja atakuwa na sura tofauti na wenzake japo wote watatu watakuwa na jinsia moja ya kike! However, the probability of this happening is very small!
 
Asante kaka,

Maelezo yako nimeyaelewa vizuri na asante sana, katika hili swala la irregular mens niko nalo toka nivunje ungo. Sasa and when u said i go and see a psychologist does it mean am insaine sorry kama nimekosea spelling nilimaanisha nimechanganyikiwa! and does it mean I cannot conceive?

Thanks


Dada Lorain,

Sorry for inconveniences, if any!

I didn't mean you are insane when I suggested that you see your psychologist! Labda sikutumia neno mwafaka! Nia yangu ilikuwa ni kwamba, kama hili la irregular mens huwa pengine unalipa muda mwingi wa kulifikiria kama tatizo, basi linaweza likapelekea ku-disturb urefu wa cycle yako. Na kama umeolewa halafu ukakaa kwa muda mrefu bila kupata mtoto, basi hili nalo linaweza kuifanya akili ikawa na mawazo juu ya hatima ya ndoa yenu, kitu ambacho ni hatari kwa 'cycle Consistence'! Kama ni kweli basi jaribu kubadilisha huo mtazamo na utashangaa litaisha after few months! Just think positively! That's it!
 
Dada Lorain,

Sorry for inconveniences, if any!

I didn't mean you are insane when I suggested that you see your psychologist! Labda sikutumia neno mwafaka! Nia yangu ilikuwa ni kwamba, kama hili la irregular mens huwa pengine unalipa muda mwingi wa kulifikiria kama tatizo, basi linaweza likapelekea ku-disturb urefu wa cycle yako. Na kama umeolewa halafu ukakaa kwa muda mrefu bila kupata mtoto, basi hili nalo linaweza kuifanya akili ikawa na mawazo juu ya hatima ya ndoa yenu, kitu ambacho ni hatari kwa 'cycle Consistence'! Kama ni kweli basi jaribu kubadilisha huo mtazamo na utashangaa litaisha after few months! Just think positively! That's it!

Thanks brother,
Don´t worry nilikuelewa, sema tuu nilishikwa na mshangao wa kuambiwa nikamuone psy.. dr.
Kwa kweli to tell u the truth my brother, I just got married for the past six months. Na hilo swala la mens cycle nilikuwa silijui kabisaaa. Sasa baada ya mimi kuona hoja ya swala hilo hapa jamvini likichambuliwa ndo hapo nikaanza kupata muamko na kufatialia kwa ukaribu zaidi. Na nilichokipenda ni jinsi ulivyokuwa ukitoa maelekezo ya kuhesabu mens cycle to know the pin-point for conceiving, ambayo mimi ndo bado inanipiga chenga hapoooo!
 
Thanks brother,
Don´t worry nilikuelewa, sema tuu nilishikwa na mshangao wa kuambiwa nikamuone psy.. dr.
Kwa kweli to tell u the truth my brother, I just got married for the past six months. Na hilo swala la mens cycle nilikuwa silijui kabisaaa. Sasa baada ya mimi kuona hoja ya swala hilo hapa jamvini likichambuliwa ndo hapo nikaanza kupata muamko na kufatialia kwa ukaribu zaidi. Na nilichokipenda ni jinsi ulivyokuwa ukitoa maelekezo ya kuhesabu mens cycle to know the pin-point for conceiving, ambayo mimi ndo bado inanipiga chenga hapoooo!


Lorain,

Nakushauri ufuatilie tena ili uwe na uhakika zaidi kuhusu urefu wa hiyo cycle yako. Jaribu hili kwa miezi mitatu mfululizo. Huenda ukakuta iko normal!

Kuna dada mmoja aliwahi kuwa rafiki yangu wa karibu sana miaka 10 iliyopita. Siku moja aliniomba nimpe ushauri wa nijinsi gani ataweza ku-avoid pregnancy bila kutumia artificial measures like condom ...etc. Nilimuomba anieleze urefu wa cycle yake. Yeye akasema cycle yake huwa inabadilika kila mwezi (irregular mens). Nikataka anipe ufafanuzi zaidi kuhusu jibu lake. Nilishangaa alipofafanua kwamba urefu wake ni irregular kwa sababu the next period huwa inapatikana kwenye tarehe tofauti na ile iliyotangulia! Hapo ndipo nilipogundua kwamba alikuwa anaongelea kalenda ya mwaka, ambapo ni kweli kwamba period huwa inaangukia kwenye tarehe tofauti karibia kila mwezi ukitumia kalenda ya mwaka!

Nilimuomba afanye tena utafiti wa kina kwa miezi 3 kwa kutumia kalenda niliyoiongelea humu (menstual calendar) na si kalenda ya mwaka. Baada ya miiezi mitatu alishangaa alipobaini kwamba urefu wa cycle yake uko constant (regular cycle) na ilikuwa na siku 26!

Ndo maana ninakushauri ufanye utafiti tena kuhusu urefu wa cycle yako kwa kutumia Menstual Calendar na si kuangalia mabadiliko ya tarehe inapoangukia period yako kwenye kalenda ya mwaka, ili uwe na uhakika zaidi kama una regular or irregular cycle!

I wish you the best!
 
Lorain,

Nakushauri ufuatilie tena ili uwe na uhakika zaidi kuhusu urefu wa hiyo cycle yako. Jaribu hili kwa miezi mitatu mfululizo. Huenda ukakuta iko normal!

Kuna dada mmoja aliwahi kuwa rafiki yangu wa karibu sana miaka 10 iliyopita. Siku moja aliniomba nimpe ushauri wa nijinsi gani ataweza ku-avoid pregnancy bila kutumia artificial measures like condom ...etc. Nilimuomba anieleze urefu wa cycle yake. Yeye akasema cycle yake huwa inabadilika kila mwezi (irregular mens). Nikataka anipe ufafanuzi zaidi kuhusu jibu lake. Nilishangaa alipofafanua kwamba urefu wake ni irregular kwa sababu the next period huwa inapatikana kwenye tarehe tofauti na ile iliyotangulia! Hapo ndipo nilipogundua kwamba alikuwa anaongelea kalenda ya mwaka, ambapo ni kweli kwamba period huwa inaangukia kwenye tarehe tofauti karibia kila mwezi ukitumia kalenda ya mwaka!

Nilimuomba afanye tena utafiti wa kina kwa miezi 3 kwa kutumia kalenda niliyoiongelea humu (menstual calendar) na si kalenda ya mwaka. Baada ya miiezi mitatu alishangaa alipobaini kwamba urefu wa cycle yake uko constant (regular cycle) na ilikuwa na siku 26!

Ndo maana ninakushauri ufanye utafiti tena kuhusu urefu wa cycle yako kwa kutumia Menstual Calendar na si kuangalia mabadiliko ya tarehe inapoangukia period yako kwenye kalenda ya mwaka, ili uwe na uhakika zaidi kama una regular or irregular cycle!

I wish you the best!

Ok kaka,

Njoja nijipe tena mda na nitakuwa na ku update kila niingiapo ili na wewe uone inavyokwenda. To keep the last date was on 20th August 2008. Lets see nexts coming.

Have a wonderful weekend.
 
Jamani naomba niulize swali.
Kama mwanamke anaingia perioud kila baada ya 2 month inakuwaje kwenye swala la mimba.
 
Jamani naomba niulize swali,

Kama mwanamke anaingia perioud kila baada ya 2 month inakuwaje kwenye swala la mimba.


Kwa nini aingie kila baada ya miezi miwili? kuna kitu kimeingilia? Ana umri gani?
 
Jamani naomba niulize swali,

Kama mwanamke anaingia perioud kila baada ya 2 month inakuwaje kwenye swala la mimba.

For a genetic jackhammer like Nyani it doesn't matter. Mlio na matatizo ya ku conceive nitafuteni....
 
Back
Top Bottom