Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

Nashukuru kwa hoja na michango ya kila mtu hapa, mimi pia ni mwanamke na kwa kweli nataka sasa kuanza kuzaa na ningependa sana mtoto wa kwanza awe wa kike.

Kugurumweupe nimekupata vizuri sana kaka, ila sasa mimi na siku machanganyiko ndefu na fupi. hapa sijui utaweza kunisaidiaje. Na hiyo 15th day ndo umeniacha njia panda kabisaaaa. Maana kwa uelewa wangu, nikivipi utaanza hesabu kwa kurudi nyuma mpaka upate the 15 day while itakuwa imeshapita, sasa mimba utapataje na siku hiyo ndo itakuwa imepita. Au ulikuwa ukimaanisha kwa the coming month! naomba kueleweshwa hapo please.

Nimekupata dada Lorain! Lakini kabla sijaendelea naomba nifafanue kama ifuatavo:

Naomba watu wasichanganye Kalendar ya menstral cycle ninayoongelea hapa na ile 'kalendar ya mwaka' inayohusu tarehe za miezi 12 ya mwaka ambayo huwa tunaitundika ukutani huko nyumbani na maofisini kwetu! This is a very important point to note, otherwise our lesson will be of no importance! Hebu angalia mfano ufuatao:

Assumed Kalendar for Lorain's menstral cycle (assuming she has a 22 days menstral cycly):

1st, 2nd, 3rd, 4th, 5th, 6th, 7th, 8th, 9th, 10th, 11th, 12th, 13th, 14th, 15th, 16th, 17th, 18th, 19th, 20th, 21st, 22nd.

Kwa mfano: Katika 'kalendar ya mwaka', today is a 29th day. Lakini kama leo hii hii 'tarehe 29/august/2008' dada Lorain angeanza ku-bleed (period), basi leo ingekuwa 1st day ya kalenda yake kwa mwezi huu wa August 2008! Na kalendar yake ingeonekana kama hapo juu. Na 8th day ya kalendar hii ingekuwa ndiyo fertile day yake (siku ya mimba). Kwa hiyo tusichanganye kalenda ya mwaka na kalenda ya menstral cycle! Is very important!

Kwa hiyo basi, leo hii hii Lorain anaweza ku-pin point siku ya mimba yake (8th)kwa mwezi huu wa August kwa kutumia utaratibu wa ku-count 15 days backward from the last day (22nd day for this case) of her above menstral cycle kama tulivoona kwenye posts zilizotangulia. Lakini hili litawezekana tu if and only if she knows in advance the length of of her mentral cycle (i.e. total days of her cycle which is 22 days for this case)!

Hapa tunaona kwamba, jambo la kwanza ambalo Lorain anatakiwa ajuwe ni ku-establish the length of her menstral cycle/s. Akishajua urefu wa menstral cycle yake itamurahisishia kui-pin point ile siku yake ya mimba kwa kutumia njia ya counting backward 15 days from the last day kama tulivojifunza hapo awali!

Swali: Lorain atawezaje kuestabliush the length of her menstral cycle/s?!

Jibu: Kama Lorain ameanza ku-bleed leo 29/08/2008, na kama leo hii hii Lorain bado hajui urefu wa menstral cycle yake, basi itabidi ai-note/aiandike siku ya leo kwenye diary yake kwa kumbukumbu (reference point), halafu aanze kuhesabu kuanzia leo 1, 2, 3, 4, 5, ... mpaka siku atakapopata next bleed ambayo definitely itaangukia kwenye tarehe yeyote ya mwezi ujao (September). Kama kwa mfano Lorain ana menstral cycle ya siku 22 na ameanza ku-bleed leo, basi her next bleed itakuwa tarehe 19/sepember/2008 (22nd day-which is the last day of the first menstral cycle and it will automatically become the first day of the second menstral cycle as we will see below). Kwa hiyo tarehe 19/09/2008 ndiyo itakuwa the 22nd day for Lorain's mentral cycle which started today 29/08/2008 (1st day), na tarehe 5/09/2008 (8th day) itakwa ndiyo siku yake ya mimba (fertile day).

Hence note that, if Lorain's first bleed is today 29/08/08 (1st day), then her second (next) bleed will be on 19/09/08 (22nd day). That is why in the above Lorain's Kalendar both 1st and 22nd days are marked in blue colour to let you know that they actually represent the same event, the bleed or period event! Therefore, on 19/09/2008, Lorain will start counting her second (next) mentral cycle, which, will actually end on 10th/October/2008 and its . That is why is called CYCLE! Where you end is where you start in order to make another cycle and so on and so forth ...!

Kwa vile Lorain amedai ana cycles mbili, yaani fupi na ndefu, basi inabidi afuate the same procedure kama ile tuliyojifunza hapo juu (22 days cycle) ili aweze kuestablish urefu wa menstral cycle yake ile ndefu e.g 35 days cycle! Wanawake wengi wana cycle 2!

Swali: Je, nifanye nini ili nizae mtoto wa KIUME:

Jibu:
Ili mwanamke aweze kuzaa mtoto wa KIUME, inabidi alale na mwanaume siku ile ya mimba (fertile day), ambayo ni siku ya 15 unayoi-pin point when counting backward from the last day!

Swali: Je, nifanye nini ili nizae mtoto wa KIKE:

Jibu:
Ili mwanamke aweze kuzaa mtoto wa KIKE, inabidi alale na mwanaume siku 3 kabla ya ile siku ya mimba (yaani siku 3 kabla ya ile fertile day)! Hii inaondoa uwezekano wa mbegu za kiume kulirutubisha yai, kwani mbegu zote za kiume zitakuwa zimeshakufa ndani ya siku mbili za mwanzo na kuziacha zile za kike zikidunda kwa siku moja zaidi zikilisubili yai lifike!

Swali: Je, kama menstration cycle yangu ni siku 15, nifanye nini ili nipate mtoto wa kike?

Jibu:
Ili mwanamke mwenye menstration cycle ya siku 15 aweze kuzaa mtoto wa KIKE, inabidi alale na mwanaume siku 3 kabla ya siku ile ya bleed (yaani siku 3 kabla ya ile siku anayoanza kutokwa damu ya hedhi)! Kwa mwanamke wa kundi hili inabidi tukumbuke kwamba, siku yake ya mimba ndiyo siku hiyo hiyo anayoanza ku-bleed!

NOTE:
Majibu yote matatu tuliyoyaona hapo juu na katika posts zilizotangulia yana-aply kwa wanawake wote wenye uwezo wa kuzaa, yaani wasiokuwa na utasa [/B]!

Nawakilisha wakuu.
 
Last edited:
Jamanie, naomba mnisaidie hapa, mimi yakwangu ina tofauti kama inavyoonyesha pao mnavyoongea, naomba sana unisaidie mkuu. yaani, nilianza 23, nikaja 22, nikaja 26, nikaja 28, na mwezi huu uliopita nimepata mcy nikiwa na siku 25 tu. hivyo utaona kuwa ni tofauti sana. mfano mwezi huu nilienda tarehe moja, nikaongukia tena tarehe 25 hivyo zikawa zimeenda siku 25 tu. hivyo inaenda tofautitofauti hivyohivyo. Namba mnitoe mimi kama mfano hapa, mnipe ushauri siku probable itakuwa lini jamani. nilifikiri mimi ni abnormal, kumbe kuko wengi. and i need kupata mtoto.
 
Nimekupata dada Lorain! Lakini kabla sijaendelea naomba nifafanue kama ifuatavo:

Naomba watu wasichanganye Kalendar ya menstral cycle ninayoongelea hapa na ile 'kalendar ya mwaka' inayohusu tarehe za miezi 12 ya mwaka ambayo huwa tunaitundika ukutani huko nyumbani na maofisini kwetu! This is a very important point to note, otherwise our lesson will be of no importance! Hebu angalia mfano ufuatao:

Assumed Kalendar for Lorain's menstral cycle (assuming she has a 22 days menstral cycly):

1st, 2nd, 3rd, 4th, 5th, 6th, 7th, 8th, 9th, 10th, 11th, 12th, 13th, 14th, 15th, 16th, 17th, 18th, 19th, 20th, 21st, 22nd.

Kwa mfano: Katika 'kalendar ya mwaka', today is a 29th day. Lakini kama leo hii hii 'tarehe 29/august/2008' dada Lorain angeanza ku-bleed (period), basi leo ingekuwa 1st day ya kalenda yake kwa mwezi huu wa August 2008! Na kalendar yake ingeonekana kama hapo juu. Na 8th day ya kalendar hii ingekuwa ndiyo fertile day yake (siku ya mimba). Kwa hiyo tusichanganye kalenda ya mwaka na kalenda ya menstral cycle! Is very important!

Kwa hiyo basi, leo hii hii Lorain anaweza ku-pin point siku ya mimba yake (8th)kwa mwezi huu wa August kwa kutumia utaratibu wa ku-count 15 days backward from the last day (22nd day for this case) of her above menstral cycle kama tulivoona kwenye posts zilizotangulia. Lakini hili litawezekana tu if and only if she knows in advance the length of of her mentral cycle (i.e. total days of her cycle which is 22 days for this case)!

Hapa tunaona kwamba, jambo la kwanza ambalo Lorain anatakiwa ajuwe ni ku-establish the length of her menstral cycle/s. Akishajua urefu wa menstral cycle yake itamurahisishia kui-pin point ile siku yake ya mimba kwa kutumia njia ya counting backward 15 days from the last day kama tulivojifunza hapo awali!

Swali
: Lorain atawezaje kuestabliush the length of her menstral cycle/s?!

Jibu: Kama Lorain ameanza ku-bleed leo 29/08/2008, na kama leo hii hii Lorain bado hajui urefu wa menstral cycle yake, basi itabidi ai-note/aiandike siku ya leo kwenye diary yake kwa kumbukumbu (reference point), halafu aanze kuhesabu kuanzia leo 1, 2, 3, 4, 5, ... mpaka siku atakapopata next bleed ambayo definitely itaangukia kwenye tarehe yeyote ya mwezi ujao (September). Kama kwa mfano Lorain ana menstral cycle ya siku 22 na ameanza ku-bleed leo, basi her next bleed itakuwa tarehe 19/sepember/2008 (22nd day-which is the last day of the first menstral cycle and it will automatically become the first day of the second menstral cycle as we will see below). Kwa hiyo tarehe 19/09/2008 ndiyo itakuwa the 22nd day for Lorain's mentral cycle which started today 29/08/2008 (1st day), na tarehe 5/09/2008 (8th day) itakwa ndiyo siku yake ya mimba (fertile day).

Hence note that, if Lorain's first bleed is today 29/08/08 (1st day), then her second (next) bleed will be on 19/09/08 (22nd day). That is why in the above Lorain's Kalendar both 1st and 22nd days are marked in blue colour to let you know that they actually represent the same event, the bleed or period event! Therefore, on 19/09/2008, Lorain will start counting her second (next) mentral cycle, which, will actually end on 10th/October/2008 and its . That is why is called CYCLE! Where you end is where you start in order to make another cycle and so on and so forth ...!

Kwa vile Lorain amedai ana cycles mbili, yaani fupi na ndefu, basi inabidi afuate the same procedure kama ile tuliyojifunza hapo juu (22 days cycle) ili aweze kuestablish urefu wa menstral cycle yake ile ndefu e.g 35 days cycle! Wanawake wengi wana cycle 2!


Swali: Je, nifanye nini ili nizae mtoto wa KIUME:

Jibu: Ili mwanamke aweze kuzaa mtoto wa KIUME, inabidi alale na mwanaume siku ile ya mimba (fertile day), ambayo ni siku ya 15 unayoi-pin point when counting backward from the last day!


Swali: Je, nifanye nini ili nizae mtoto wa KIKE:

Jibu: Ili mwanamke aweze kuzaa mtoto wa KIKE, inabidi alale na mwanaume siku 3 kabla ya siku ile ya bleed (siku 3 kabla ya ile siku anayoanza kutokwa damu ya hedhi)!

Sababu za majibu yote mawili tumeziona hapo juu na katika posts zilizotangulia. Na majibu yote mawili yana-aply kwa wanawake wote wenye uwezo wa kuzaa, hata kwa wale ambao menstral cycles zao ni siku 15 (abnormal menstral cycle of 15 days)!


Nawakilisha wakuu...

Kaka asante sana,
Kwa kweli pole sana kwa usumbufu tunaokupa, mimi nimekuelewa vizuri sana on how to go about with menstral cyles calender which is not the same as the year calender. My questions still remains the same, how will i pin-point my fertile days while my mens from February until now went like this:- March 08th, March 31st, April 24th, May 30, June 26th July 24th and now August 20th. This means i dont have a proper cirle. Hebu niambie sasa hapa nitafanyaje na nimekuwa nikijilengesha siku za 12-17 kwenye cirlce yangu niconcieve lakini hola kaka yangu! Nisaidie please maana.......... mambo yatakuwa si mambo. Asante
 
Kunguru hongera sana mkuu kwa mawazo yako mazuri maana nahisi wewe ni mwalimu maana maelezo yako hata mtu awe vipi ataelewa tu lazima. Lakini sasa mimi nilikuwa naomba kuuliza kwamba kama inabidi iwe siku ya 14 or 15 sasa si kila mtu angekuwa na birthday hizo siku? Anyway nadhani mlishasema kwasababu kuna wengine wanasiku ndefu. Pia swali langu lingine ni kwamba kwa nini sasa unahesabu kuanzia mbele kurudi nyumba naomba kufahamishwa hapo maana sisi wengine hatujasomea science so nitashukuru sana kama nitasaidiwa maana nisije kumuharibu mke wangu bure.
 
Swali: Je, nifanye nini ili nizae mtoto wa KIKE:[/B]

Jibu: Ili mwanamke aweze kuzaa mtoto wa KIKE, inabidi alale na mwanaume siku 3 kabla ya siku ile ya bleed (siku 3 kabla ya ile siku anayoanza kutokwa damu ya hedhi)!

Sababu za majibu yote mawili tumeziona hapo juu na katika posts zilizotangulia. Na majibu yote mawili yana-aply kwa wanawake wote wenye uwezo wa kuzaa, hata kwa wale ambao menstral cycles zao ni siku 15 (abnormal menstral cycle of 15 days)!


Nawakilisha wakuu...

Mwalimu hilo la kupata mtoto wa kike halijakaa sawa, linavuruga concept yote uliyokwisha eleza hapo awali. What i know, you can increase the chances of getting a female child kwa kujamiana siku 3 - 4 kabla ya ovulation siyo bleeding. Yaani pinpoint ya siku ya 18 au 19 toka siku ya hedhi. Kwa maana hiyo wanawake wanao tumia siku 15 chance za kupata mtoto wa kike is almost zero.

Unaweza ukadownload ovulation calendar.exe, ukainstall then itaku-lead katika siku salama, za hatari na siku unazoweza kupata mtoto wa kike au wa kiume. Software hiyo unaweza kuipata ktk ovulation-calendar.com
 
Mwalimu hilo la kupata mtoto wa kike halijakaa sawa, linavuruga concept yote uliyokwisha eleza hapo awali. What i know, you can increase the chances of getting a female child kwa kujamiana siku 3 - 4 kabla ya ovulation siyo bleeding. Yaani pinpoint ya siku ya 18 au 19 toka siku ya hedhi. Kwa maana hiyo wanawake wanao tumia siku 15 chance za kupata mtoto wa kike is almost zero.

Unaweza ukadownload ovulation calendar.exe, ukainstall then itaku-lead katika siku salama, za hatari na siku unazoweza kupata mtoto wa kike au wa kiume. Software hiyo unaweza kuipata ktk ovulation-calendar.com


Wakuu,

Kwanza napenda nimsahukuru sana Mkuu Nziku kwa kuona kosa moja nililolifanya bila kutarajia wakati najibu swali la: Je, nifanye nini ili nizae mtoto wa KIKE?

Napenda niseme kwamba, what I did was just a human error! Sikukusudia na wala sikutarajia kufanya hilo kosa. Hilo jibu ni sahihi kwa mwanamke ambaye menstration cycle yake ni siku 15. Tafadhali fuatilia majibu ya mapya hapa chini:


Swali: Je, nifanye nini ili nizae mtoto wa KIKE?

Jibu sahihi: Ili mwanamke aweze kuzaa mtoto wa KIKE, inabidi alale na mwanaume siku 3 kabla ya siku ile ya mimba (siku 3 kabla ya fertile day)!
 
Mwalimu Kunguru mweupe tunashukuru sana tena sana kwa mchango wako mzuri hapa Darasani....
Napenda kuwakilisha hoja tukuteue rasmi uwe JF Dr. au waungwana mnasemaje?Maana naona bro. upo ndani sana ki-biolojia.Napenda kuwakilisha hoja mezani.
 
Mwalimu Kunguru mweupe tunashukuru sana tena sana kwa mchango wako mzuri hapa Darasani....
Napenda kuwakilisha hoja tukuteue rasmi uwe JF Dr. au waungwana mnasemaje?Maana naona bro. upo ndani sana ki-biolojia.Napenda kuwakilisha hoja mezani.

Swadakta, naunga mikono pamoja na miguu, anafaa sana maana yuko makini sana katika nyanja hio.
 
Na mimi hapo naunga mkono kabisa bila kipingamizi maana katusaidia sana vya kutosha na anaeleza jinsi inavyotakiwa
 
Kaka asante sana,
Kwa kweli pole sana kwa usumbufu tunaokupa, mimi nimekuelewa vizuri sana on how to go about with menstral cyles calender which is not the same as the year calender. My questions still remains the same, how will i pin-point my fertile days while my mens from February until now went like this:- March 08th, March 31st, April 24th, May 30, June 26th July 24th and now August 20th. This means i dont have a proper cirle. Hebu niambie sasa hapa nitafanyaje na nimekuwa nikijilengesha siku za 12-17 kwenye cirlce yangu niconcieve lakini hola kaka yangu! Nisaidie please maana.......... mambo yatakuwa si mambo. Asante

Ok, tukutane kesho same venue (JF).
 
Jamanie, naomba mnisaidie hapa, mimi yakwangu ina tofauti kama inavyoonyesha pao mnavyoongea, naomba sana unisaidie mkuu. yaani, nilianza 23, nikaja 22, nikaja 26, nikaja 28, na mwezi huu uliopita nimepata mcy nikiwa na siku 25 tu. hivyo utaona kuwa ni tofauti sana. mfano mwezi huu nilienda tarehe moja, nikaongukia tena tarehe 25 hivyo zikawa zimeenda siku 25 tu. hivyo inaenda tofautitofauti hivyohivyo. Namba mnitoe mimi kama mfano hapa, mnipe ushauri siku probable itakuwa lini jamani. nilifikiri mimi ni abnormal, kumbe kuko wengi. and i need kupata mtoto.


Let's meet tomorrow my sister, same venue!
 
kunguru hongera sana mkuu kwa mawazo yako mazuri maana nahisi wewe ni mwalimu maana maelezo yako hata mtu awe vipi ataelewa tu lazima...Lakini sasa mimi nilikuwa naomba kuuliza kwamba kama inabidi iwe siku ya 14 or 15 sasa si kila mtu angekuwa na birthday hizo siku 2???Anyway nadhani mlishasema kwasababu kuna wengine wanasiku ndefu..Pia swali langu lingine ni kwamba kwa nini sasa unahesabu kuanzia mbele kurudi nyumba naomba kufahamishwa hapo maana sisi wengine hatujasomea science so nitashukuru sana kama nitasaidiwa maana nisije kumuharibu mke wangu bure

Wakuu,

Naomba nijibu maswali ya Yassin kama ifuatavyo:

Swali la kwanza la Yassin: Kama inabidi iwe siku ya 14 or 15 sasa si kila mtu angekuwa na birthday hizo siku 2?

Jibu:
Watu wote hawawezi kuwa na birth day siku ulizozitaja pekee kwa sababu kila mwanamke ana kalenda yake inayoanza tofauti na ya mwingine hata kama wote wakiwa na menstration cycles zenye urefu unaofanana e.g 22 days. Hata kama itatokea kwamba wanawake wawili wakawa na menstration cycles zenye urefu unaolingana, e.g 22 days, halafu hawa watu wakaanza ku-bleed siku moja e.g 01/sept/08 halafu wakapata mimba siku moja e.g 08/sept/08 (yaani siku ya mimba for this case), kamwe haitatokea wakajifungua siku moja kwa sababu, pamoja na kwamba tunafahamu mtoto huwa anakaa miezi 9 tumboni, lakini wajawazito wengi huwa wanatofautiana idadi ya siku za kubeba mtoto tumboni! Wengine huwa wanatimiza exact 9 months, wengine hujifungua chini ya miezi 9, na wengine hujifungua zaidi ya miezi 9 (yaani miezi 9 na week 1 au 2)

Mfano hai: Kama Lorain na Asha wote wawili wana cycles za urefu wa siku 22 kila mmoja, basi Lorain anaweza kuianza cycle yake tarehe 1/sept/08 na akapata mimba 8/sept/08, wakati Asha akawa pengine anaianza cycle yake tarehe 9/set/08 na akapata mimba tarehe 16/sept/08. Pamoja na kwamba wote wana cycles zenye urefu unaolingana(yaani siku 22) lakini safari ya cycle ya kila mmoja wao inaanza siku tofauti na ya mwenzake! Hii ndiyo sababu tosha ya wao wawili kukosa uwezekano wa kujifungua siku moja (same birth day)!

Swali
la pili la Yassin: Kwa nini sasa unahesabu kuanzia mbele kurudi nyumba?

Jibu:
Kwanza hapa tunataka tuwe na a single/systematic/uniform counting, ili tulahisishe maisha kama kawaida yetu wanadamu! Ndo maana wanasayansi wa zamani walipendekeza tuhesabu siku 14 kuanzia ile siku bleed inapoanza! Kweli hili walifanikiwa lakini ni kwa wanawake wale tu wenye cycle ya siku 28. Walisahau kwamba hii siku ya mimba huwa inasogea mbele kama cycle itarefuka zaidi ya siku 28, na husogea nyuma kama cycle itakuwa fupi chini ya siku 28. Hapa ndipo wengine ikatubidi tufikilie upya jinsi ya kupata that single/systematic/uniform counting! Na hapa ndipo counting back 15 days inapopata umuhimu wake! That's all!

To conclude therefore, Counting back 15 days from the end becomes the only reliable solution for all women, and it replaces the traditional one of counting forward 14 days from the first day of bleed!

Hebu tujikumbushe tena maswali yetu:

Swali: Je, nifanye nini ili nizae mtoto wa KIUME:

Jibu:
Ili mwanamke aweze kuzaa mtoto wa KIUME, inabidi alale na mwanaume siku ile ya mimba (fertile day), ambayo ni siku ya 15 unayoi-pin point when counting backward from the last day!

Swali: Je, nifanye nini ili nizae mtoto wa KIKE:

Jibu:
Ili mwanamke aweze kuzaa mtoto wa KIKE, inabidi alale na mwanaume siku 3 kabla ya ile siku ya mimba (yaani siku 3 kabla ya ile fertile day)! Hii inaondoa uwezekano wa mbegu za kiume kulirutubisha yai, kwani mbegu zote za kiume zitakuwa zimeshakufa ndani ya siku mbili za mwanzo na kuziacha zile za kike zikidunda kwa siku moja zaidi zikilisubili yai lifike ili zigombanie kulirutubisha! Kumbuka kwamba, ni mbegu moja tu inahitajika kurutubisha yai. Endapo itatokea mbegu zaidi ya moja zikalirutubisha, basi yai hilo litagawika sehemu zenye idadi sawa na mbegu zilizorutubisha ili kutengeneza mapacha wasiofanana kwa sura, na pengine jinsia pale inapotokea mbegu za kike na za kiume zimechangia kulirutubisha yai!

Swali: Je, kama menstration cycle yangu ni siku 15, nifanye nini ili nipate mtoto wa kike?

Jibu:
Ili mwanamke mwenye menstration cycle ya siku 15 aweze kuzaa mtoto wa KIKE, inabidi alale na mwanaume siku 3 kabla ya siku ile ya bleed (yaani siku 3 kabla ya ile siku anayoanza kutokwa damu ya hedhi)! Kwa mwanamke wa kundi hili inabidi tukumbuke kwamba, siku yake ya mimba ndiyo siku hiyo hiyo anayoanza ku-bleed!

NOTE:
Majibu yote matatu tuliyoyaona hapo juu na katika posts zilizotangulia yana-aply kwa wanawake wote wenye uwezo wa kuzaa, yaani wasiokuwa na utasa [/B]!
 
Last edited:
Wakuu,









Swali: Je, nifanye nini ili nizae mtoto wa KIKE:

. Endapo itatokea mbegu zaidi ya moja zikalirutubisha, basi yai hilo litagawika sehemu zenye idadi sawa na mbegu zilizorutubisha ili kutengeneza mapacha wasiofanana kwa sura na pengine jinsia!


mkuu angalia vizuri mkate wako(kitabu)
 
Sawa dada Haika mi siku zote nilikuwa najua wewe utakuwa baba.....nimekupata hapo kwa nini kwa walevi haifai sasa?

Ugumu wa hii njia ni pale mhusika mmoja anapoachiwa jukumu la kuhesabu siku na mwenzie anafuata mkumbo.
Inapotokea hakuna makubaliano rasmi ya hiari, lazima litaharibika jambo.

Ni muhimu hii kalenda ijulikane kwa wote wawili kwa muda wote ili 'moods' ziendane na mahitaji yao na waweze kujiandaa vizuri.

Nasema haifai walevi kwani akili ya mtu aliekunywa kidogo inakuwa haipo kawaida na maamuzi mara nyingi hawafanyi kwa kutumia akili ila hisia zao za mwili zinavyowavuta, nadhani imeeleweka.
 
Kunguru mweupe hashukuru sana kwa kuielezea mzunguko wa mwanamke. Histiria inasema wanawake wa makabila ya kigiriki waliabudu wanawake kwa ni hawakuelewa unakuwa je mzunguko wa mwezi (moon) unafanana kabisa na mzunguko wa fertility ya wanawake Waliogopa sana.

Naomba wale kina dada ambao siku zao haziendani wapate ushauri zaidi, inawezekana ni maambukizo ya magonjwa, maumbile yanayorekebishika, au madawa yaliyowahi kutumika (Si lazima ya uzazi wa mpango) mimi hii njia naipenda na kuifagilia sana kwani pamoja na kuwa haina madhara, ni kweli ya uzazi wa mpango, si ya kuzuia tu uzazi, bali ya kusaidia uzazi mara pale unapohitajika pia.
 
Kungurumweupe,

Je sahihi kama nikisumarise kuwa mkutane kimwili izo siku zote(8th na 13th,14th)(ukiacha wale wa siku 35) kama atakuwa ha-bleed? Kwa wale tunaopenda short cut? hahaha na pia c kuna kit ya kupima mkojo ili kujua kama leo au kesho ni fertile day? Naomba jibu!
 
Ok, tukutane kesho same venue (JF).

Hi kaka,

Mbona bado hujanijibu swali langu la mwisho kwako! nimelisubiria kwa hamu lakini bado sijapata jibu. Noamba tena jaribu kulisoma ulielewe then unipe jibu.
Natanguliza shukrani zangu. asante.
 
Naomba pia dokta wetu mteule atufafanulie kwamba hakuna kit maalum ya kupima fertility days.
navyojua mie kidogo nikuwa unatumia thermomenter tu na macho yako.

Siku ambazo uko fertile asubuhi unakuwa na temp kubwa kiasi, kwa hiyo inabidi uwe na thermometer ipime temp yako kwa siku zote za mzunguko, kwa muda mmoja say, saa 12 asubuhi bila kukosa, utapata trend.

Kipimo kingine ni kidole, pima vaginal discharges zako kama huna ugonjwa wowote, siku ulizo fertile kuna clear sticky discharge. kabal na baada unatakia uwe dry kabisa isipokuwa siku chache kabla ya peak days ambapo unakuwa na dry (powdery) discharge.

Nadhani Dr wetu ataeleza vizuri zaidi akija.
 
Back
Top Bottom