pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,344
Leo ndio sikukuu ya Moi Dei, na ingawa Rais mstaafu Daniel Toroitich Arap Moi hakuacha tupumue kwa miaka ishirini na nne kuna mengi ya kukumbukwa, kwenye enzi hizo za utawala wake. Kwa mfano.
Maziwa ya Nyayo. Ambayo wanafunzi wote nchini walipewa, bure bila malipo.
Jogoo wa KANU.
Bila kusahau rungu ya musee.